Mkuu usiuze kua jasiri kua na Imani.....usione watu wamekaa kweny nyumba zao wamezeeka walikua majasiriMambo ya kutekenywa tena, ila nikipata mteja ninauza kuishi na walughalugha inahitaji uvumilivu sana
kwanza hongera na nilikuwa nataka kujua jina la kampuni?Mimi hili hekalu langu nilikabidhiwa ndani ya miezi miwili tu baada ya kuwapa kampuni tenda ya ujenzi😎😎😎
View attachment 2369574
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3061]Kumbe unasali huku? Ndio maana, basi sitakulaumu tena
Nipo hapa mkuu asante kwa mwalikoHapa ngoja naomba nikuitie hawa, Mshana Jr na Bujibuji Simba Nyamaume wakishindwa hawa wahi kwa Mwamposa.
Kheeee[emoji16]Mimi site kwangu Tegeta, walikuwa wanavunja nazi pia wanakunya na kuacha vimimika kwenye chupa zenye maandishi ya kiarabu ya rangi nyekundu.
Nilimtafuta jamaa yangu, tukaenda kununua kondoo tukaja nae site akiwa amefungwa kitambaa cheusi shingoni tukamfunga kwenye mti mbele ya site.
Usiku saa sita tukachimba shimo kondoo tukambana korodani akapiga kelele sana,
Tulipohisi majirani wamesikia zile kelele.
Tukachukua majani tukafukia ktk shimo.
Kondoo tukamtia kwenye buti ya gari tukaondoka, kesho yake tukamchinja tukamchoma, na supu ya kutosha,
Waliogopa hata mafundi wakisahau vifaa asubuhi wanavikuta,
Toka siku hiyo sijaona upuuzi tena,
Unajenga wapi mkuu? Yaani uliponunua kiwanjaWadau niombe msaada kihusu mada tajwa hapo juu. Nimekuwa napambana na ujenzi wa kibanda changu cha ndoto yangu kwa kipindi cha miaka mitano hivi.
Ilivyofika mwaka jana wakati wanapiga plasta nilikuta kitu kisichocha kawaida katika mchanga, nilimkuta sungura aliyechinjwa akiwa amefukiwa kwenye mchanga.
Tukio hilo nililipuzia nikamtupa huyo sungura kwa kumfukia kwenye shimo.
Mwezi huu tena baada kusimama ujenzi kwa muda mrefu nilianza kujenga fensi cha kushangaza kwenye msingi uliochimbwa tulikuta ngozi ya kondoo ikiwa imefukiwa napo nilipuzia
Kilichosababisha kuandika thread hii ni tukio la leo tumekuta kisu kilicho na damu pamoja na manyoya ya ndege kisu kikiwa na damu.
Niombe wadau walioexperience changamoto hiyo mlifanyeje. Lakini nini maana ya mauzauza hayo? Nini kinatafutwa
Kuhusu kiwanja niliuziwa na kijana mmoja ambaye naye alinunua kwa mmiliki, ambapo huyo kijana naye anaishi karibu na jengo langu ingawa miye sijahamia
Mtu akitaka kukusumbua au kukudhuru haijarishi umemfanyia mabaya au mema la! Unaweza fanya mema yote na kipapai ukapewa bila hata huruma.Unajenga mkoa gani, wilaya gan nk. Lakini watu wengi wakipata vipesa kidogo unaanza dharau sana kusalimia majirani, ubabe usio na msingi, kujiona umeyapatia maisha ndio wanaanza kukufanyia visa na mikasa ili ukome. Rekebisha na majirani wape hi, wasalimie saidia unapoweza then fanya mambo yako utaona fresh sanaa.
Huwa haijarishi mtu mbaya ni mbaya tu.Sawa ila ukiwa unaenda weka unafki kwa majirani kidogo, unajua sisi weusi nuksi sana, yaani unapiga hatua kimaendeleo majirani wanavimba hasira so kuepusha wape hi kidogo, jifanye unawasikiliza ushauri wao nk yaani fast mauza uza yanaisha
Huo ndiyo ukweli mtu mbaya ni mbaya tu hata ujipendekeze vipi, tena ukiwa na mazoea yakujipendekeza ndiyo anakukula bila kelele huku anakuchekea Meno yote 32½Watu wabaya ni wabaya tu.Hata ukiamua kujipendekeza kwake atataka kukuumiza tu.Ukiumia kwake ni kicheko.Kujinyenyekeza au kuwa karibu nao sidhani kama ni jibu la haraka.
Hata chumv nuia mwagaMwaga maji ya Mwamposa kuzunguka kiwanja chako
Vip hao mbwa usiku uliwaachia njeJenga mji wako, maliza, hamia halafu ukishahamia fuga mbwa. Narudia tena, FUGA MBWA sio kambwa koko...ukiendelea kuona vitimbwi njoo niite **** utanikuta nimekaa pale. Hawa wanahizaya walinisumbua sana hata mimi kipindi niko kwenye ujenzi na punde baada ya kuhamia mara usikie vishindo nje, mara kama watu wanamwaga mchanga juu ya bati, ila nlivyoleta masela hyo habari ilikuwa ni historia.
Eneo lenyewe ninalojenga ni la mjini waliojenga eneo hilo waliowengi sio wenyeji harakaharaka wenyeji eneo hilo waliokaribu nami ni kama watatu.Wazee wa hiyo sehemu walikukaribisha? Unatishiwa tu, ongea na wazee. Mimi walitaka kunipiga kipapai, ila nilipambana na sasa tunaheshimiana. Wewe jua tu maisha ni mchezo, basi cheza kwa step.
Mwenye hicho kiwanja yaani yule alomuuziq dogo ndo anakufanyia ujinga.Wadau niombe msaada kihusu mada tajwa hapo juu. Nimekuwa napambana na ujenzi wa kibanda changu cha ndoto yangu kwa kipindi cha miaka mitano hivi.
Ilivyofika mwaka jana wakati wanapiga plasta nilikuta kitu kisichocha kawaida katika mchanga, nilimkuta sungura aliyechinjwa akiwa amefukiwa kwenye mchanga.
Tukio hilo nililipuzia nikamtupa huyo sungura kwa kumfukia kwenye shimo.
Mwezi huu tena baada kusimama ujenzi kwa muda mrefu nilianza kujenga fensi cha kushangaza kwenye msingi uliochimbwa tulikuta ngozi ya kondoo ikiwa imefukiwa napo nilipuzia
Kilichosababisha kuandika thread hii ni tukio la leo tumekuta kisu kilicho na damu pamoja na manyoya ya ndege kisu kikiwa na damu.
Niombe wadau walioexperience changamoto hiyo mlifanyeje. Lakini nini maana ya mauzauza hayo? Nini kinatafutwa
Kuhusu kiwanja niliuziwa na kijana mmoja ambaye naye alinunua kwa mmiliki, ambapo huyo kijana naye anaishi karibu na jengo langu ingawa miye sijahamia
mwamposa ndo nani! Muombe na kumuamini Mungu sio binadamuMwaga maji ya Mwamposa kuzunguka kiwanja chako
mwamposa ndo nani! Muombe na kumuamini Mungu sio binadamu