Halijawahi kuwepo. Kwahiyo wamwache Mwemdazake apumzike kwa amaniSikumbuki kama lipo bunge lolote hata kabla ya mwendazake lililowahi kukwamisha muswada wowote ule uliopelekwa na Serikali ili ukajadiliwe Bungeni. !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halijawahi kuwepo. Kwahiyo wamwache Mwemdazake apumzike kwa amaniSikumbuki kama lipo bunge lolote hata kabla ya mwendazake lililowahi kukwamisha muswada wowote ule uliopelekwa na Serikali ili ukajadiliwe Bungeni. !!
Unakumbuka sakata la Richmond? Unakumbuka sakata la buzwangi? nk yote yaliibukia bungeni enzi hizoSikumbuki kama lipo bunge lolote hata kabla ya mwendazake lililowahi kukwamisha muswada wowote ule uliopelekwa na Serikali ili ukajadiliwe Bungeni. !!
mpango mzima !!Katiba ya Warioba
Sasa effect yake ndio hii hapa ya bunge kuwa butu kabisa. Inabidi kuangalia matokeo ya mbeleni na hiyo ndio shida ya afrika. Kwamba huyu mnayemsema mzalendo kwa haya ya kupoka madaraka na kuongoza bunge, je akija mtu asiye mzalendo itakuwaje? Na matokeo ndio haya sasa.Ishu ni kuwa mwendazake alikuwa mzalendo na mtetez wa wanyonge....angekuwa mwizi na mlafi kama mama asingependwa na mtu yeyote nchini
Hii vita itakushinda ukiendelea kumuona mwendazake mbaya! Kwenye hili taka usitake mwendazake anaendelea kuwa shujaa
Wanyonge ni akina Nani? Nani kaleta unyonge? Unyonge sio sifa ni TUSIIshu ni kuwa mwendazake alikuwa mzalendo na mtetez wa wanyonge....angekuwa mwizi na mlafi kama mama asingependwa na mtu yeyote nchini
Mwendazaka was an evil to this country he did more harm than good......huo ndo ukweli mtupu.Hii vita itakushinda ukiendelea kumuona mwendazake mbaya! Kwenye hili taka usitake mwendazake anaendelea kuwa shujaa
Kwangu mimi, shujaa ni yule kiongozi ataehakikisha watanzania wanapata katiba mpya na iliyo bora hata kama hatajenga hata kilomita moja ya lami, kwani kupitia katiba mpya, hata barabara za lami zitajengwa tena nyingi zaidi ya hizi tulizonazo leo hii.Hii vita itakushinda ukiendelea kumuona mwendazake mbaya! Kwenye hili taka usitake mwendazake anaendelea kuwa shujaa
Mwendazaka was an evil to this country he did more harm than good......huo ndo ukweli mtupu.
Lakini hayati JPM alipinga hadharani masuala kama ya mikataba ya kienyeji na kilaghai kama mkataba wa Bagamoyo wa wachina. Alitaka kuwepo upembuzi katika zile "terms" ile aloikuta na ile ilokuwa ikipigiwa chapuo.Sikumbuki kama lipo bunge lolote hata kabla ya mwendazake lililowahi kukwamisha muswada wowote ule uliopelekwa na Serikali ili ukajadiliwe Bungeni. !!
Ewaaaaa well Said, haya maupumbavu yanayoendelea ni matunda ya maujinga yakeMwendazaka was an evil to this country he did more harm than good......huo ndo ukweli mtupu.
Jizi ni wewe na mwendazako wako kule chato kasha oza tayari.JIZI wewe in Mange’z voice
Hivi weye kwa akili zako timamu wadhani CCM ikiendelea kukaa madarakani kutakuwepo na katiba mpya?Kwangu mimi, shujaa ni yule kiongozi ataehakikisha watanzania wanapata katiba mpya na iliyo bora hata kama hatajenga hata kilomita moja ya lami, kwani kupitia katiba mpya, hata barabara za lami zitajengwa tena nyingi zaidi ya hizi tulizonazo leo hii.
Kwakweli !! Labda kwa Rehema za Mungu tu !!Hivi weye kwa akili zako timamu wadhani CCM ikiendelea kukaa madarakani kutakuwepo na katiba mpya?
Mkataba wa Bandari tayari ni kielelezo cha kuonyesha kwamba CCM bado itaendelea kuwepo kwa miaka zaidi na zaidi
Mkuu, acha kudanganya wakati jua lachwea.Mkataba wa bomba la mafuta aliingia mwenda zake kimya kimya hauna masirahi kwa taifa bora mama kawake wazi kwa kila mtanzania kujua.
Mpina angeungana na wapinzani wangekuwa wengi bungeni.Kwaio uchaguzi huru na wa haki ni kwa JPM tu?sio kwa Mwinyi, Mkapa or JK, au hawa wengine hawakufanya uchaguzi?ht uchaguzi ungekua huru na wa haki upinzani wasingekua na wabunge zaidi ya Nusu bungeni kuweza kuzuia muswada, hizi ni hesabu za kawaida tu huitaji kua mtaalam wa statistics kulijua hili.
Endelea kutetea CCM ila siku moja utashudia wajukuu zako wanakosa ajira kwenye bandari zetu huku waarabu wakiajiri ndugu na jamaa zao kutoka uarabuni.Tutusa katika ubora
Unajua details za huo mkataba, mda wake? Faida ya taifa? Nk.Mkuu, acha kudanganya wakati jua lachwea.
Kama wazungumzia mradi wa Chongoleani mbona ulitangazwa na video zipo yotube...
CCM ni "masters in the game" au "legends" waliishagundua kitambo watanzania wengi ndo hivyo tena.Mpina angeungana na wapinzani wangekuwa wengi bungeni.