Mliokuwa mnafurahia wabunge wa Chama kimoja, Chadema ife, upinzani ufe ibaki CCM tu nadhani Sasa akili zimerudi

Mliokuwa mnafurahia wabunge wa Chama kimoja, Chadema ife, upinzani ufe ibaki CCM tu nadhani Sasa akili zimerudi

Awamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.

Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!

Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!

kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.

Tutegemee msoto zaidi.
Ati wapinzani wanatuchelewesha. Haya sasa.
 
Awamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.

Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!

Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!

kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.

Tutegemee msoto zaidi.
Bunge la Tanzania 2021-2025 ni utopolo mtupu.

Bunge halina hoja Wala mvuto ni sawa na pombe ya kienyeji iliyolala.
 
Huna mantiki kwenye andiko lako,kwa sababu bunge la kijani sio chanzo cha kupandisha bei ya mafuta nchini.

Huko kote ilikopanda bei ya mafuta Duniani,hakuna bunge la chama kimoja.

Leo wabunge walisitisha shughuli rasmi za bunge.
Ili kujadili hoja binafsi ya dharula ya mbunge wa CCM.

Kuhusiana na ongezeko la bei ya mafuta isiyoendana na uhalisia wa maisha mtaani.

Serikali imepewa muda ili ikajipange na kuja na majibu sahihi siku ya Jumanne ya wiki ijayo.

Tunajua mko kijiweni ila tumieni muda huu kujifunza ubunge wa kisasa zaidi,badala ya ubunge wa matusi na kejeli mliokuwa mkiufanya.

Karibuni tena kwenye Boksi 2025,ili mjaribu bahati yenu.

Kwa sasa endeleeni na bunge la Club House na Maria Sarungi Spaces.
kwani zanzibar iko ukraine mbona bei zao za kawaidi,mnaongea kama mmewekewa bro-work kinywani
 
Huna mantiki kwenye andiko lako,kwa sababu bunge la kijani sio chanzo cha kupandisha bei ya mafuta nchini.

Huko kote ilikopanda bei ya mafuta Duniani,hakuna bunge la chama kimoja.

Leo wabunge walisitisha shughuli rasmi za bunge.
Ili kujadili hoja binafsi ya dharula ya mbunge wa CCM.

Kuhusiana na ongezeko la bei ya mafuta isiyoendana na uhalisia wa maisha mtaani.

Serikali imepewa muda ili ikajipange na kuja na majibu sahihi siku ya Jumanne ya wiki ijayo.

Tunajua mko kijiweni ila tumieni muda huu kujifunza ubunge wa kisasa zaidi,badala ya ubunge wa matusi na kejeli mliokuwa mkiufanya.

Karibuni tena kwenye Boksi 2025,ili mjaribu bahati yenu.

Kwa sasa endeleeni na bunge la Club House na Maria Sarungi Spaces.
Kikao Cha ccm sio bunge
 
Uwongozi wenyewe wameupata hauna baraka za wananchi kwahiyo utendaji wao lazima uwe mbovu tuu pengine ukute ni laana inatutesa

Haiwezakani mtu muda wote hadi anamaliza uwongozi wake nikujiteteaga tuu na kubembeleza wananchi wamwelewe wakati haeleweki
 
Uwongozi wenyewe wameupata hauna baraka za wananchi kwahiyo utendaji wao lazima uwe mbovu tuu pengine ukute ni laana inatutesa
Haiwezakani mtu muda wote hadi anamaliza uwongozi wake nikujiteteaga tuu na kubembeleza wananchi wamwelewe wakati haeleweki
Muovu alikuwa anatamka maneno mabaya muda wote
 
"Mheshimiwa Spika nakupongeza,wewe endelea kuwatimua huko ndani,wakitoka nje wataropoka tu,unajua huko ndani wana immunity fulani anaweza kuropoka lolote,nakuhakikishia wakiropoka huku nje nitadeal nao"

Alisikika Kiongozi mmoja aliyedhani yeye ana hatimiliki na nchi hii na wajinga wakamshangilia
Hatari sana..., hii kauli ilifungulia njia ya kupambana na upinzani kwa gharama yoyote.

Kilichofuata ilikuwa maumivu makubwa kwa wana wa nchi, huku kosa lao kubwa likiwa kuwa na mawazo mbadala.

Mungu ni mwema
 
Bado nafuuu sana hata nauli 400 ? Ikifika nauli elf 10 kwa kituo na lita elf 20 ndo wataisoma number
 
"Mheshimiwa Spika nakupongeza,wewe endelea kuwatimua huko ndani,wakitoka nje wataropoka tu,unajua huko ndani wana immunity fulani anaweza kuropoka lolote,nakuhakikishia wakiropoka huku nje nitadeal nao"

Alisikika Kiongozi mmoja aliyedhani yeye ana hatimiliki na nchi hii na wajinga wakamshangilia
Namchukia sana baba Riz 1 ndo chanzo cha yote
 
Bunge la Tanzania 2021-2025 ni utopolo mtupu.

Bunge halina hoja Wala mvuto ni sawa na pombe ya kienyeji iliyolala.

Ahaaa ahaaa, ni kama uji usio na sukari kisha umepoa.
 
CCM ndiyo chanzo cha yote haya.Sijuwi kwanini hawawataki watu wenye akili nchini kufanya nao kazi. Anglia chadema kama wangeliacha tungesalomika zaidi kipindi hiki kigumu mno
 
Awamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.

Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!

Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!

kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.

Tutegemee msoto zaidi.
CDM bado ni wapumbavu kama CCM ya huyu Mama.
 
Awamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.

Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!

Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!

kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.

Tutegemee msoto zaidi.
Shujaa alituvuruga mnoo
 
Bado, wanapiga mahesabu kwanza mshahara upande kwa kiasi gani hiyo Julai.
Na bado!

Tuliwaonya kwamba mwamba ameshaelekea kibra toka siku ile ameenda kwa hangaya
 
Awamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.

Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!

Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!

kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.

Tutegemee msoto zaidi.
Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!

kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom