Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ati wapinzani wanatuchelewesha. Haya sasa.Awamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.
Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!
Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!
kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.
Tutegemee msoto zaidi.
Bunge la Tanzania 2021-2025 ni utopolo mtupu.Awamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.
Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!
Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!
kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.
Tutegemee msoto zaidi.
kwani zanzibar iko ukraine mbona bei zao za kawaidi,mnaongea kama mmewekewa bro-work kinywaniHuna mantiki kwenye andiko lako,kwa sababu bunge la kijani sio chanzo cha kupandisha bei ya mafuta nchini.
Huko kote ilikopanda bei ya mafuta Duniani,hakuna bunge la chama kimoja.
Leo wabunge walisitisha shughuli rasmi za bunge.
Ili kujadili hoja binafsi ya dharula ya mbunge wa CCM.
Kuhusiana na ongezeko la bei ya mafuta isiyoendana na uhalisia wa maisha mtaani.
Serikali imepewa muda ili ikajipange na kuja na majibu sahihi siku ya Jumanne ya wiki ijayo.
Tunajua mko kijiweni ila tumieni muda huu kujifunza ubunge wa kisasa zaidi,badala ya ubunge wa matusi na kejeli mliokuwa mkiufanya.
Karibuni tena kwenye Boksi 2025,ili mjaribu bahati yenu.
Kwa sasa endeleeni na bunge la Club House na Maria Sarungi Spaces.
NDIOHivi Mbowe na genge lake wameshamaliza kuandika katiba mpya?
Kikao Cha ccm sio bungeHuna mantiki kwenye andiko lako,kwa sababu bunge la kijani sio chanzo cha kupandisha bei ya mafuta nchini.
Huko kote ilikopanda bei ya mafuta Duniani,hakuna bunge la chama kimoja.
Leo wabunge walisitisha shughuli rasmi za bunge.
Ili kujadili hoja binafsi ya dharula ya mbunge wa CCM.
Kuhusiana na ongezeko la bei ya mafuta isiyoendana na uhalisia wa maisha mtaani.
Serikali imepewa muda ili ikajipange na kuja na majibu sahihi siku ya Jumanne ya wiki ijayo.
Tunajua mko kijiweni ila tumieni muda huu kujifunza ubunge wa kisasa zaidi,badala ya ubunge wa matusi na kejeli mliokuwa mkiufanya.
Karibuni tena kwenye Boksi 2025,ili mjaribu bahati yenu.
Kwa sasa endeleeni na bunge la Club House na Maria Sarungi Spaces.
Waaapii. Just a gathering of bunch of thugs.Tuna Bunge la Kizalendo kuwahi kutokea.
Muovu alikuwa anatamka maneno mabaya muda woteUwongozi wenyewe wameupata hauna baraka za wananchi kwahiyo utendaji wao lazima uwe mbovu tuu pengine ukute ni laana inatutesa
Haiwezakani mtu muda wote hadi anamaliza uwongozi wake nikujiteteaga tuu na kubembeleza wananchi wamwelewe wakati haeleweki
Hatari sana..., hii kauli ilifungulia njia ya kupambana na upinzani kwa gharama yoyote."Mheshimiwa Spika nakupongeza,wewe endelea kuwatimua huko ndani,wakitoka nje wataropoka tu,unajua huko ndani wana immunity fulani anaweza kuropoka lolote,nakuhakikishia wakiropoka huku nje nitadeal nao"
Alisikika Kiongozi mmoja aliyedhani yeye ana hatimiliki na nchi hii na wajinga wakamshangilia
Hivi Mbowe na genge lake wameshamaliza kuandika katiba mpya?
Namchukia sana baba Riz 1 ndo chanzo cha yote"Mheshimiwa Spika nakupongeza,wewe endelea kuwatimua huko ndani,wakitoka nje wataropoka tu,unajua huko ndani wana immunity fulani anaweza kuropoka lolote,nakuhakikishia wakiropoka huku nje nitadeal nao"
Alisikika Kiongozi mmoja aliyedhani yeye ana hatimiliki na nchi hii na wajinga wakamshangilia
Bunge la Tanzania 2021-2025 ni utopolo mtupu.
Bunge halina hoja Wala mvuto ni sawa na pombe ya kienyeji iliyolala.
CDM bado ni wapumbavu kama CCM ya huyu Mama.Awamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.
Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!
Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!
kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.
Tutegemee msoto zaidi.
Shujaa alituvuruga mnooAwamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.
Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!
Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!
kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.
Tutegemee msoto zaidi.
Na bado!Bado, wanapiga mahesabu kwanza mshahara upande kwa kiasi gani hiyo Julai.
Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+Awamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.
Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!
Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!
kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.
Tutegemee msoto zaidi.