Mliokuwa mnauliza kazi ya Rostam Aziz kwenye ziara ya Rais Samia ya Marekani, hili ndio jibu lenu!

Dua zetu kwa mawakili wasomi hawa walio kiwasha mahakamani mkataba unaenda kutenguliwa huu mbele ya mahakama ya sheria. Wapi kibatala wakili msomi sana wapi TL wakili mbobezi
 
Nakumbuka akiwa kijana na alipofanikiwa kuwa mbunge kijana zaidi wa Igunga baada ya kifo cha Kabeho(?) alikuwa ni mchuuzi tu wa ngozi lakini akautumia udhaifu wa viongozi wetu na sasa yeye ndie Don, mfalme wa mikataba na dili nyeti, huyu ndie kama akina Vallambia wale wa Rada magumashi.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…