Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Nimesikia waliotumwa area D kumshambulia TL wameuwawa ili kutunza siri.
Nope wapo wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesikia waliotumwa area D kumshambulia TL wameuwawa ili kutunza siri.
Huyo huyo aliyewatuma atasema tu maana hajuagi kutunza siriNimesikia waliotumwa area D kumshambulia TL wameuwawa ili kutunza siri.
Hearsay?Nimesikia waliotumwa area D kumshambulia TL wameuwawa ili kutunza siri.
Umesahau kilichotokea Tunisia na Egypt kupitia social media?Fikra zenu watu wengine mnazijuaga wenyewe! Wewe ulishawahi kuona wapi jambazi anatishika kwa message ya kwenye social media?
Ni juhudi ambazo hazina hata ile harufu tu ya tija!
Hapana hautakoma maana ccm Ni Mungu mwenye enzi.Hahaha Unao uhakika huu utawala utakoma ?
Exactly by 100%Unadhani kwanini utawala huu unawalinda waliompiga risasi Lissu ? je utawala wenyewe hauhusiki ?
Mkuu hivi huyu jamaa mmemfanya nini huko CCM?Unadhani kwanini utawala huu unawalinda waliompiga risasi Lissu ? je utawala wenyewe hauhusiki ?
Hiyo pia inaweza kuwa 'misinformation' ikitumika kuwalinda.Nimesikia waliotumwa area D kumshambulia TL wameuwawa ili kutunza siri.
Hiyo pia inaweza kuwa 'misinformation' ikitumika kuwalinda.