Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Hiyo ni Polisi ya Chato ndiyo ina kanuni hizo za kihuniApproach ya kuchunguza case ya shambulio ambalo limemuacha victim akiwa hai haifanani na ile ya shambulio ambalo victim wake amekufa.
Kama victim yuko hai, hakuna investigation itakayofanyika bila input ya victim. Kama victim anataka case ifie kituo cha police aache kutoa ushirikiano unaohitajika.
Kama victim amekufa, hilo ni swala jingine; wapelelezi watajaribu kujenga na kutathimini theories mbalimbali kutoka vyanzo vyovyote (na wakati mwingine kwa gharama kubwa) ili kusolve hiyo crime.