Unahusika nini mbona povuDogo umekosa chakuandika yaani huyu jamaa alieko ulaya ndo ashinde vichwani mwa watu kama alipigwa risasi na amepona inatosha kumshukuru mungu maswala ya haki yeye anajua sheria zaidi yako mwachie mwenyewe
Agiza kg ya ngisi kwa bill yangu, nakuja kulipa sasa hiviHahaha Unao uhakika huu utawala utakoma ?
Serikali ilihamia kwao kabisa siku ya msiba wakamalizana nae....Yule Dada yetu Akwilina Akwilini mpake leo imebaki kuwa history tu
Isieleweke yaliishia wapi[emoji26]
Hujui mbeleni atakuja Kiongozi gani.Watz ni watu wapole duniani hakuna tena, limeisha hilo
Hata kamaHujui mbeleni atakuja Kiongozi gani.
Jamaa (polisi), hata kujaribu kuweka juhudi za kuzuga wameshindwa, wameona waache watu wajiamrie wenyewe waonavyo inafaa.Vilevile kwanini jeshi la POLISI halifanyi uchunguzi?
TL alipokuwa nchini alifika mpaka kwa RPC wa Dodoma kudai gari lake.
Kama victim yuko, na anazungumza, sielewi kwanini Polisi wameshindwa kumhoji.
Walimtaka dereva mkamkimbiza watie juhudi gani?Jamaa (polisi), hata kujaribu kuweka juhudi za kuzuga wameshindwa, wameona waache watu wajiamrie wenyewe waonavyo inafaa.
Wameliacha jambo hili likining'inia. Yeyote atakayetaka kulifuatilia baadae wakati na mazingira yakiruhusu ana uhuru wa kufanya hivyo.
Walimtaka dereva mkamkimbiza watie juhudi gani?
Mhanga ni mtu wenu, mnakimbiza ushahidi wenu halafu mnataka watu wajisumbue
Umesahau kilichotokea Tunisia na Egypt kupitia social media?
Kwahiyo kupigwa risasi na kupona ndio iwe mwisho kuzungumzia haki? Kujua kwake sheria ndio iwe mwisho kuzungumzia haki?Dogo umekosa chakuandika yaani huyu jamaa alieko ulaya ndo ashinde vichwani mwa watu kama alipigwa risasi na amepona inatosha kumshukuru mungu maswala ya haki yeye anajua sheria zaidi yako mwachie mwenyewe
Injustice sio ishu kubwa kwako?Arab spring was propelled by specific calls to action, sio messages za kutishia majambazi kwenye social media!