Mlioomba Ajira Ualimu utumishi Angalieni status zenu

Hahaaa Watu wanapanic, Sasa hapo nini umedanganya...?
Hao waache, ndio maana siwa quote nisiwapandishe hasira zaidi

We mtu kakaa kitaa kuanzia 2016,
History na Kiswahili visha vapour kichwani,
Ghafla unamuambia interview, hajakaa sawa yupo ujiji kigoma, anatakiwa aende mtwara kwenye history, akitoka mtwara aende mbeya kwenye kiswahili, unadhani atakua sawa?
Halafu nije mimi niwaambie wamefuta tena,
Mtu huyo sio wa kumsogelea karibu..

Hapo alipo anaweza gombana hata na sufuria na vifaranga.
 
Taarifaa mbon haipo at kwenye websites yao ay VIP umeonan hayo mabadiliko
mabadiliko yaliyopo kwenye account yako ni kwa Employer badala ya utumishi unaajiliwa na mkoa ulikoomba, lakini kingine nilichokibaini kuna mdogo wangu nilimuombea kiswahili-Tanga, kiingereza-Tanga, lakini saizi kwenye account yake inaonyesha Kiswahili-Kagera, Kiingereza Tanga, ni hayo tu
 
Hawa watu ni wa kukaa nao makini sana, wanaweza ht kujiua.
 
Mkuu nilichokuelewa huenda wameona mapungufu mtu kupangiwa mikoa miwili tofauti kwa ajili ya usaili. Hii kweli ni changamoto hasa kweli cost. Nahisi wamechukua maoni ya watu ili wa fix hili ila tangazo lako la mwanzo lina make sense
 
Kama wata watatumia usaili ili kuajiri Itakuwa vzr itaondoa kubebana
 
Kama wata watatumia usaili ili kuajiri Itakuwa vzr itaondoa kubebana
Kwenye maelezo yangu hapo nimeliongelea hilo

Kwa maono yangu kubebana kupo palepale ngoja tusubiri shuhuda naona kuna wa galanos kaanza kuleta hints kidogo wapo wengi tu watafunguka
 
Aisee wakuuu hiz heka heka zote afu unakosa nafasi
 
Hivi kwanini mnaamini walimu ni watoto wa masikini?

Sometimes ualimu ni njia ya kuingia kwenye system ili kufikia ndoto fulani za mtu alizojiwekea acheni kukariri
Ni sawa lakini sio rahisi kwa idadi hiyo!
 
Aisee wakuuu hiz heka heka zote afu unakosa nafasi
Yn hy ishu unafanya ukiwa ndani kitandani tena ht ukiwa unasinzia afu unasema hekaheka?
Mbona ukiwa Instagram, Facebook, JF, Tiktok n.k husemi hekaheka?
 
Yn hy ishu unafanya ukiwa ndani kitandani tena ht ukiwa unasinzia afu unasema hekaheka?
Mbona ukiwa Instagram, Facebook, JF, Tiktok n.k husemi hekaheka?
Mkuu heka heka yake ipo kwenye kusafiri na madude yote
 
Huu uzi umekanushwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…