Ukitaka kukosana na waalimu waambie khs usaili, wanaweza ht kukupa laana 😂Usaili utafanyika watake wasitake na ni waambie ukweli ndugu waalimu bila kusoma kujiandaa vizuri kila eneo psprs haina mchezo na mtu
Mlizoea vya dezo sasa kimeumana
Kabisa mkuu. Nilijiwekea malengo tangu naaingia kwenye utumishi wa umma. Ni mambo machache tu nayaweka sawa kuweza kufikia target.Kama umeshachora ramani vizuri, ni malengo mazuri hayo
Wacha wakakandwe tutasikia, tutaona mengi sana wakitoka huko kukandwa lawama kibaoUkitaka kukosana na waalimu waambie khs usaili, wanaweza ht kukupa laana 😂
Malizia stori sasa.Kuna ndugu yangu ni She yeye phys and hesabu chuo alimaliza 2020 mkoa alioomba ni kigoma
Sasa kuna jamaa la halmashauri Lipo kigoma nikaliambia likasema kwa masomo yake jinsia yake na mkoa aliochagua aje tu kufanya usahili hata kama muajiri wake atamnyima ruhusa (yupo privet ambayo wanalipa 980K) plus many bonus
Kuna kada za Degree wanatumia hiyo scale, tena hapo kama ni degree kweli, ana mwaka mmoja tu kaziniUko vizuri na ka diploma kako,
Waanze maandalizi mapema waache kulialia hapaWacha wakakandwe tutasikia, tutaona mengi sana wakitoka huko kukandwa lawama kibao
Jukwaa litachafuka
Muda wote matumbo joto hao mkistua anaweza tema cheche😂😂😂Waanze maandalizi mapema waache kulialia hapa
Ukiwa kwenye jukwaa kama hili tujitahidi tusije kuwaudhi hawa ndugu zetu mana wanaweza kutupa laana 😂Muda wote matumbo joto hao mkistua anaweza tema cheche😂😂😂
Kila la kheri, nidhamu itawale sanaKabisa mkuu. Nilijiwekea malengo tangu naaingia kwenye utumishi wa umma. Ni mambo machache tu nayaweka sawa kuweza kufikia target.
Kila la kheri lkn Mungu awatangulie kila lenye mwanzo halikosi mwisho.Ukiwa kwenye jukwaa kama hili tujitahidi tusije kuwaudhi hawa ndugu zetu mana wanaweza kutupa laana 😂
Ahsante sana mkuu. Sema utumishi wa Umma una addiction fulani hivi siyo poa kabisa.Kila la kheri, nidhamu itawale sana
WameandikajeNa vp km mikoa uloomba haibadriki ila haijaandika hyo mda& ldf cjuw. Hapo inakuaje
anamaanisha mkoa alioomba upo huohuo ..Wameandikaje
Mikoa niloomba ipo ileile tuWameandikaje
mkoa ganiMikoa niloomba ipo ileile tu
Kwamba aendelee kula ugali wa shikamoooo😂😂😂😂Kama hutaki acha..usiipangie serikali cha kufanya. Sawa? Wanao hitaji kazi watafanya interview.wewe baki hapo kwa shemeji yako
Hapana kiongozi mm mwenyewe profile yangu imebadilika from dodoma to mtwaraUnapata faida gani kwa kudanganya mkuu??
Matangazo yote ya kazi, interview na placement yanatolewa waziwazi kupitia tovuti ya utumishi ambapo pia muhusika atapata taarifa pia kupitia profile yake
Hakuna taarifa ya kazi, interview wala kupangiwa kazi anataarifiwa mtu bila ya taarifa kuwa published kwenye tovuti
Tangazo la interview lililotoka ni la Kada ya afya na si la ualimu
Kwanini unaunga mkono usaili kwa walimu? Lete sababu zakoSababu ulizotoa hazina kichwa wala miguu.
Ila nakushukuru kwa kuniombea mema kuwa ntalamba asali 🙏 ila kaa ukijua sijawahi kuwa na chuki na waalimu na watu wa afya ila kwenye suala la nyie kufanya usaili naliunga mkono 100% na nimefurahi sana