Mliopanga kuipa Taifa Stars 1.2 Bilion kwa mchezo wa leo hata wakifungwa wapeni Milioni 600 kama kifuta jasho please

Mliopanga kuipa Taifa Stars 1.2 Bilion kwa mchezo wa leo hata wakifungwa wapeni Milioni 600 kama kifuta jasho please

Ndio ina yotakiwa. Haya mambo ya kudischss hela last minute inaonyesha kabisa akili zenu hazipo kwenye game husika. Hii ni tournament unajua well in advance prize money ya kila stage so unajipanga mapema.

Sie ilitakiwa kwamba vijana ehh, stars haiwajawahi shinda game yoyote afcon. So 1.3 billion if u win atleast one match. Hiyo mnakubaliana kabla ya tournament kuanza. So kila mtu anajua na fikra zinakuwa kwenye boli
Ingesaisia sana kukuza morali ktk timu
 
Leo kila Mtanzania anafaraja kwamba baada ya kujitafuta sana leo tumejipata. Siyo kwamba hatuna team ila team inayopelekwa mbele inakosewa.

Kikosi cha leo kuna watu waliwaambia kuna 1.2 bilioni, natambua walisema hivyo hawakumaanisha ila tuwashinikize watekeleze.

Kama waliweza kuahidi fedha zote hizo endapo tutashindwa kufuzu basi wachukue 50% wawape vijana. Wasipofanya hivyo ntaomba wale watu wa maandamano wakusanye fedha watulize machungu ya vijana wamefanya vizuri

Mimi nipo Kenya, Wakenya leo wamekubali hatukwenda kuchezewa tumekwenda kucheza. Kama mkenya amekubali kwanini tusiwasaidie watoto wetu hawa wapate japo nyumba au walipe ada za wadogo zao?
Nani ametoka jasho pale, kwanza kuitwa kuchezea National team ni heshma, wao ndio walipaswa walipe kuichezea timu.
Acheni upuuzi wa kupongeza hata tunapofanya madudu.
Hiyo milioni 600 ikajenge Acadmy ya mpira Moshi huko ambako hakuna soka, nchi iwe na vipaji kila kanda.
Unataka wapewe hela kwenda kuto****?
 
Sie hatuko serious na boli bwana....wacha tuendelee kuwa wapenzi watazamaji.
Ni vitu via ajabu sana mkuu, kama una 1.3B kwa ajili ya kuwalipa bench la ufundi na Wachezaji kwa kushinda mèchi moja tu. Kwanini usiweke hiyo pesa kwenye Program za kuendeleza Vipaji zaidi vya soka nchini, Ili tuweze kushindana zaidi AFCON ijayo 2027.
 
kama hizo fedha zipo kweli basi ni kheri zika fanya haya
Manunuzi ya mashine mbali mbali kwa matumizi ya hospitali zetu
kama mashine za kuchuja damu(dialysis) ,incubators , MRI
vitanda etc etc....
 
Hakuna kupewa hata mia, wanacheza nini huko cha maana?
Halafu walivyokuwa HAMNAZO
Walihitajika kushinda mechi moja tu na sare moja ili waendelee mbele kama best losers.

Ila Ivory Coast kuendelea kwa point 3 tu.
Hivyo hii nafasi ilikuwa yetu kama tungepata point 4..!!!

#YNWA
 
Ni aibu kuzidiwa na Ivory Coast iliyolambwa magori manne na kutinga 16 Bora bila shida .
 
Back
Top Bottom