Mliowahi ku-date na wadada wa Kiganda njooni hapa

sasa si bora kuimport Rwanda jamani... kuondoka tiziii kwenda ug ni kushuka kwenye range ukadandie ki passo buana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usisahau kuwa na helmet kichwani wakati wa kugegeda.
Mbususu zinarusha maji hatari na nusu.
 
Maana halisi ya EAC ukimaliza nenda Kongo pia mkuu katuwakilishe ufanye utafiti kabla wenzio hatujaja
 
Nakushauri mwambie yeye aje au mkutane kwanza Busia au Malaba border mtumie night 2 hapo boda ndio msepe Nakulabye au Kansanga, Mulagawa Kpla inomic tuyindala
 
Northerners esp.the Lang'o ladies from Lira are good and wanatupenda wabongo nina imani na huyo demu kbsa ajiandae kwa moyo mweupe kbsa
 
I have one from kitgum , Perviously I dated a lang'ii and another from tesso and westnile regions wanachemistry na sie wabongo kbsa best of luck comrade
 
Nakushauri mwambie yeye aje au mkutane kwanza Busia au Malaba border mtumie night 2 hapo boda ndio msepe Nakulabye au Kansanga, Mulagawa Kpla inomic tuyindala
Busia, malaba huo nipaka wa Ug na kenya..mzee au weye ni mkenya ?
 
I have one from kitgum , Perviously I dated a lang'ii and another from tesso and westnile regions wanachemistry na sie wabongo kbsa best of luck comrade
Na yy ni lang'ii ...ananiambia wana chemistry na wa luo toka Kenya, ww jamaa kweli unawajua .. eh vipi hawa wa lang'ii na wao wana mwaga mimaji on bed mkuu ?

Huyu dada ni mfanyakaz ktk NGO flan na hapo umetaja kitgum, aisee umenikjmbusha aliniambia alipataga ajali ya gari hapo Kitgum
 
Mademu wa Uganda Ni wa kiwango Cha changalawe 😄😄
Uzuri wa waganda wana.sifa za kuwa na mishape asilia ...sio ya ku force, alafu uwezi kuta binti ana chunusi wala ukurutu, hata sielewag wanatumiaga nn wale watu.,..

Hata wahaya , wanyambo wanaiyo sifa hapa Tz,
Ug pia mademu wao ni wakarimu sanaa. Hawanaga mambo ya vizinga, alafu wana heshima kwa waume zao balaa

Huyu dada mm na chat nae mwez wa 2 sasa lkn yupo loyal sanaa, kama sijaweka data aisee ananipigiaga direct call kabisaa

Niwashauri tu majibaba wenzangu tuachane na hawa wakora wa kimakonde, wazigua, wagogo, wasegeju, wabondei, wapare, wachaga, wasukuma, wajita, wa iraq ..wabakie hapa wazurureee mpaka wajute ..majibaba twendeni UGANDA yaan tufike mapema hata kabla ya EACOP halija amza kuleta mafuta hapa
 

Wanyenyekevu na wanapenda starehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…