Mliowahi kudate na wazungu, nipeni muongozo

Haya madesa yanayotolewa humu tungeyatumia kwa dada zetu wa umatumbini wange enjoy maisha sna na kutufanya tuishi miaka mingi.

Asee tutafute pesa wakuu.
 
Brother sio wewe ambae ni dalali wa nyanya dumila?samahani kama nimekufananisha
 
Mshenzi moja alipata bahati akaichezea sasa anajuta.
Nina shoga yangu mzungu kapata kibwana hapa mjini nyooolooo sitokaaaga nikapendaga vitoto vidogo shoga yangu nae alichemsha.

Basi kibwana kikahamia kwake, kazi ni kula na kunya basi kikaanza kutaka kumuendesha mzungubwa watu, mara kitake akipe kadi ya benki, mara kitake akifungulie duka, mara kije usiku kimelewa na marafiki zake, mara kikilewa kipasuwe vitu ndani.

Maskini shoga hajui hata kiswahi, yaani ilikuwa ni manyanyasa mzungu alikoma.

Siku moja akaniambia hapo analia balaa anavyoteswa humo ndani wakati kibwana chenye hakina hata mia kina laptop na simu.

Kibwana kishenzi uswahili siku moja kikataka kujua shoga balance ya hela benk mzungu kagoma kibwana kikavunja vitu vya thamani utadhani kilivinunua.

Shoga akaja analia akitaka kuondoka nchini siku hiyo.

Nikamwambia nenda kwanza hotelini utulize akili huyu panya akilala njaa siku tatu lazima ajuwe umuhimu wako.

Tukafanya hivyo, njaa haina adabu vyakula vilivyoisha ndani nikaanza kumtafuta kila kona.

Ahaaaa na vile kodi ilikuwa inaisha mwezi unaofata? Ilibaki story sasa hivi kibwana kimerudi kupanga ushwazi kiliishazoea kuishi nyumba nzima. Ahaaaa.

Mleta mada mimi ni dada yako mkubwa nisikilize kwa makini, hakuna mahusiana yenye furaha yenye mchanganyiko wa wanaume mwafrika na mwanaume mzungu, hiyo couple haipo, na kama ipo mmoJa wapo ni mtumwa hana cha kufanya anapenda dezo lazima anyenyekee.

Mleta mada kwa uzoefu, couple ya mwanamke mwafrika na mwanaume mzungu ndo kapo yenye furaha duniani when it comes to mixed couples. Ingawa sio wote ila %98 wana furaha.

Mleta mada najua njaa zako ndo zinakuweka hapo, size yako ni waafrika wenzako basi tu njaa zinakusumbua.

Mwanaume anae jitambua wa kiafrica hawezi oa au date mwanamke mzungu.

Sisi wanawake mara nyingi ndo tunafaidi wanaumme wa kizungu

Kaka zangu mlioko Majuu njooni hapa mni prove wrong!.
 
Basi Mimi nipo hapa mzungu wako njoo ufaidi. Ni mzungu wa roho lakini sio mzungu pori Wala mzungu wa mwisho
 
Ulikutana nao wapi mkuu
 
What a Comment.....
 
Huu ni uongo wa Karne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…