Mliowahi kudate na wazungu, nipeni muongozo


[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nyie mnaouza madawa ya kulevyia ndiyo tunaowatafuta
Unapatikana wapi mkuu au nije PM

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza mzoeane alafu then mwelekeze ila usijichanganye kujifanya sijui unautaji mahusiano ya deep hapo utampoteza maana katika mambo wazungu wanaogopa ni swaga kama za kibongo kumdanganya Binti unataka kumuoa kumbe we unataka kusipend short time hapo utampoteza mapema.
 
Umeweka vzr Sana mkuu
 
Msome vizuri , wazungu wengine huwa wanakuwa kwenye research zao binafsi . Mfano kuna jamaa yangu yangu fulani yeye pia kuna kipindi alikiwa na ukaribu mno na dada wa kizungu kutoka Australia . Mbaka ikafika hatua mshikaji wangu akahisi yule binti anaingia kwenye 18 zake .
Kumbe asichojua yule dada alikuwa anafanya reseach yake to prove that blackman can never be friend with a girl regardless whether it's a white or black girl .

Hivyo jamaa yangu alikuwa miongoni mwa sample . Jamaa alivyotongoza tu basi yule mzungu jibu akawa kasharijua na huo ndiyo ukawa mwisho wa maongezi yao na kuwa blocked kila sehemu walizotumia kuwasiliana .
 
Thread closed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…