Mwee HayaFrom my Personal Expirience Ina leta munkari sio kidogo usione wengine wanawai kurudi kwenye Game after each round iyo ni moja wapo ya pushing factor...then ni moja ya ishara kuwa niko na "Toto"
Nakubaliana na wewe mkuu wengi ni wabovu tu..Hiyo ndio record ya dunia ilivyo mamangu, hao wahindi wengi tunawaona kwenye movies wametafutwa wale ambao wako afadhali tu lakini wengi wana sura, maumbo na harufu mbayaa.
Mie nimekaa India, yaani hata kwa mangumi siwezi kuoa muhindi aisee, never!!!
Hahaha ilikuaje akakulisha mkuu?Mkuu labda ulikaa mkoa mmoja ukatulia.
Ila bro unapozungumzia asili ya kihindi hakuna watu wazury km wale isipokuwa umaskini unawazonga kiukweli.
Embu siku katembee pale Shaban Robert pita shule ya Yemen uwakute bro.
Ni wazury kiukweli ila wakiwa kwao umaskin mwingi huwafanya washindwe kuwa vzury.
Lakn ukienda tena India brooo nakuomba ukafanye tafiti maeneo ya Gujarat,Delhi penyewe,Na south part of India naskiaga hiz sehem zinasifika kwa watoto wazuri.
Kwa mtazamo wangu maana mm nilosoma nao nilikua nawaona malaika wameshushwa mfano huyo wa chini alonichomesha maindi na kunilisha mavi kwa kijikoView attachment 1172569
Tulia kanjibai..Hapa ngoja nipite kimya nimechoka kushambuliwa na watu weusi ambao wamejaa chuki dhidi ya Wahindi.
Love you so much my beautiful Lachi.
Mmeanza tena!Tulia kanjibai..
Ohoooo basi mkuu nimeshakueleuwa.Nimeishi Mumbai/Bombay, New Delhi na Tamil nardo.
Nawajua in and out. Na jambo la nyongeza kuhusu wahindi, ni washamba kupita maelezo.
Wahindi walokuwa afadhali kiduchu ni wale walopanda ndege tu yaani waishio nje ya India.
Hahhhahhahahauhahahahahahahahha bro daaah nakumbuka nipo Advance level pale Yemen high school nilipo drop out school na kukimbilia college kwa ugumu wa PCB.Hahaha ilikuaje akakulisha mkuu?
Weeeee nani kakudanganya..Lakin man hata madem zetu wa kibongo si baridi pia?
Mbona ana macho kama paka mwitu ?Mkuu kama kwako uzuri wa mwanamke ni chura basi sikushauri uwaoe hao ila kama kwako uzuri wa mwanamke ni sura basi hao ndo wanakufaa maana wahindi kama ni sura tu wengi wamejaaliwa
Hamna wanawake dunia hii wanaowafikia wanawake wa kihindi kwa uzuri wa sura na nywele za asili ila kwenye chura hapo nisiwe muongo hawana kitu na hapo ndipo ule msemo wa kuwa Mungu hakupi kila kitu unapokamilika but they are very beautiful mashaallah kama huyo hapo kwenye avatar yangu
Are you serious?Mbona ana macho kama paka mwitu ?
Ila ajabu ilioje, wahindi walioko India ni tofauti kabisa na wahindi waishio nje ya India, wahindi wa india wengi wao wako wanyenyekevu mnoo na ni wakarimu sana.Ohoooo basi mkuu nimeshakueleuwa.
Kwahiyo wakiwa kwao hawa mafala washamba sana wasengerema hawa Halafu wakija huku wanajifanya matawi????!!!!!
Maana wahindi wa huku Dar upanga,kariakoo,Posta mtaa wa Indian street bro hawa hujikuta lulu kinyamma.
Ndio maana nikashangaa habari uliyonipa.
Tutafata nyendo zako twende huko ulipoenda siku moja.
Mkuu kama kwako uzuri wa mwanamke ni chura basi sikushauri uwaoe hao ila kama kwako uzuri wa mwanamke ni sura basi hao ndo wanakufaa maana wahindi kama ni sura tu wengi wamejaaliwa
Hamna wanawake dunia hii wanaowafikia wanawake wa kihindi kwa uzuri wa sura na nywele za asili ila kwenye chura hapo nisiwe muongo hawana kitu na hapo ndipo ule msemo wa kuwa Mungu hakupi kila kitu unapokamilika but they are very beautiful mashaallah kama huyo hapo kwenye avatar yangu
Bro mm nawajuaga hawa jamaa.Ila ajabu ilioje, wahindi walioko India ni tofauti kabisa na wahindi waishio nje ya India, wahindi wa india wengi wao wako wanyenyekevu mnoo na ni wakarimu sana.
Ila narudia tena; usiombe muhindi akuzidi chochote kazi utakuwa nayo, hata akikuzidi kuhesabu tu basi jiandae...
Wahindi wa hapa bongo huwa nawaangaliaaa halafu naishia kusema tu 'hiiii'
Sijui kwako wewe!!Kwahiyo tusichukulie poa nyumba ni Choo eeeh
DengeUnanikumbusha kitabu cha Vuta n'kuvute