Mmakonde umenikera huko Rwanda

Mmakonde umenikera huko Rwanda

Katika hilo watz tunakera sana ishu za kuchanganya lugha ktk maongezi, hii tabia siipendi kabisa labda kwa vile ung'eng'e siujui😂
We mwenyewe unatenda usichopenda neno "ishu" ni lugha ipi?
Wanyarwanda wanaongea na kuchanganya na kifaransa au kiingereza au kiswahili... ni kawaida sana kwa nchi zetu zilizo tawaliwa na wakoloni...
Unachojaribu kuonyesha ni chuki zako na ushabiki ulionao kwa Mbagala.... ye mwenyewe ni mnafiki mnasahau hata yeye alimtumia konde kuvuna na kufika alipokuwa... kamtungia nyimbo kampa mawazo kwa ufupi Diamond hawezi kusema kawabeba hawa watoto ila wamebebana nukta kubwa.
 
Katika hilo watz tunakera sana ishu za kuchanganya lugha ktk maongezi, hii tabia siipendi kabisa labda kwa vile ung'eng'e siujui😂
Wenzako wanaona akichanganya na Kiingereza anaonekana kaendelea.

Ukisikiliza mahojiano yaa Wema Sepetu na vyombo vya habari unaweza kufikiri kua ameishi zaidi nje kuliko Bongo,siku hizi mpaka Giggy Money nae anaanza kukisahau Kiswahili.

😀😀
 
We mwenyewe unatenda usichopenda neno "ishu" ni lugha ipi?
Wanyarwanda wanaongea na kuchanga na kifaransa au kiingereza au kiswahili... ni kawaida sana kwa nchi zetu zilizo tawaliwa na wakoloni...
Unachojaribu kuonyesha ni chuki zako na ushabiki ulionao kwa Mbagala.... ye mwenyewe ni mnafiki mnasahau hata yeye alimtumia konde kuvuna na kufika alipokuwa... kamtungia nyimbo kampa mawazo kwa ufupi Diamond hawezi kusema kawabeba hawa watoto ila wamebebana nukta kubwa.
Hello umeniandikia mimi au??
 
Umekereka kwa sababu ulitegemea aongee kiswahili ili na wewe uelewe ila haijatokea hivo. No mara waa, .
I can speak English fluently but am not proud of it. Huwa ni aibu sana mbele ya mgeni anaye jitahidi kuongea Lugha yako Alafu wewe unajifanya mzungu. Bora uongee hizo broken Kwa wabongo wenzako kiwalingishia na Sio mbele ya MWENYE kujua zaidi yako ila ameamua kuacha na kuheshimbswahilo
 
Acha kukurupukia mambo
Umeshajaa mihemko... sio mbaya lakini... ila kamata hii "usiamini kila unacho waza" Konde yupo kimasilahi chochote anachofanya kwake ni sehemu ya ulaji... uchukie ufurahi ye anavuta chapaa... we huku unaanzisha uzi unafura mwenzio noti zinaingia... we unabaki na makasiriko yako. Pambana na wewe tukuanzishie nyuzi.😆
 
Nikiri tu kwamba mimi namchukia sana huyu dogo. Sababu ni moja tu, kuonesha dharau na Chili kwa mtu aliyemsaidia. Sote tunajua maisha yalivyo magumu mtaani. Sasa ukipata mtu akushike mkono inatakiwa kumpa heshima yake.

Sasa huyu mjinga leo nimeangalia Interview yake akiwa Rwanda katikati ya mahojiano mtangazaji akatangaza kuwa sasa tunahamia katika lugha adhim ya Kiswahili!

Kumbuka Rwanda wengi au wote wanajaribu kujifunza Kiswahili na wanakipa heshima. Mashuleni wanajifunza Kiswahili na wakimpata Mswahili kwao ni furaha kwani wanafurahia.

Sasa ajabu ni kwamba alikua anaulizwa maswali kwa Kiswahili yeye anajibu kwa Broken English yake ya Chitoholi. Nimekereka na sasa nimeamua nikumdharau huyu mshamba.
Ajabu ili Kuonesha kuwa Wanyarwanda hawamuelewi, yule Mtangazaji anaye ongea Kiswahili ikabidi atafsiri hiyo broken Kwa Kinyarwanda ili watu waelewe.
Yaani Mfano unaulizwq wewe ni Mtanzani Alafu unasema Mimi ni mzungu, Kisha jamaa anawatangazia Wanyarwanda jamani hili ni Limakonde tu, halijielewi
Mkuu kuwa na adabu huo ujinga umefanywa na huyo Rajab sasa umakonde unaingiaje hapo?
 
I can speak English fluently but am proud of it. Huwa ni aibu sana mbele ya mgeni anaye jitahidi kuongea Lugha yako Alafu wewe unajifanya mzungu. Bora uongee hizo broken Kwa wabongo wenzako kiwalingishia na Sio mbele ya MWENYE kujua zaidi yako ila ameamua kuacha na kuheshimbswahilo
Hongera
 
Katika hilo watz tunakera sana ishu za kuchanganya lugha ktk maongezi, hii tabia siipendi kabisa labda kwa vile ung'eng'e siujui😂

Sio hilo, kuna sehemu tofauti ndani ya Tanzania wanataka ulipe kwa dolar za kimarekani. Hii swala linanikera sana
 
Nikiri tu kwamba mimi namchukia sana huyu dogo. Sababu ni moja tu, kuonesha dharau na Chili kwa mtu aliyemsaidia. Sote tunajua maisha yalivyo magumu mtaani. Sasa ukipata mtu akushike mkono inatakiwa kumpa heshima yake.

Sasa huyu mjinga leo nimeangalia Interview yake akiwa Rwanda katikati ya mahojiano mtangazaji akatangaza kuwa sasa tunahamia katika lugha adhim ya Kiswahili!

Kumbuka Rwanda wengi au wote wanajaribu kujifunza Kiswahili na wanakipa heshima. Mashuleni wanajifunza Kiswahili na wakimpata Mswahili kwao ni furaha kwani wanafurahia.

Sasa ajabu ni kwamba alikua anaulizwa maswali kwa Kiswahili yeye anajibu kwa Broken English yake ya Chitoholi. Nimekereka na sasa nimeamua nikumdharau huyu mshamba.
Ajabu ili Kuonesha kuwa Wanyarwanda hawamuelewi, yule Mtangazaji anaye ongea Kiswahili ikabidi atafsiri hiyo broken Kwa Kinyarwanda ili watu waelewe.
Yaani Mfano unaulizwq wewe ni Mtanzani Alafu unasema Mimi ni mzungu, Kisha jamaa anawatangazia Wanyarwanda jamani hili ni Limakonde tu, halijielewi
 
Katika hilo watz tunakera sana ishu za kuchanganya lugha ktk maongezi, hii tabia siipendi kabisa labda kwa vile ung'eng'e siujui[emoji23]
Hivi kuna watu wanaochanganya lugha kwenye mazungumzo kama wakenya? Hao wanaweza kuchanganya kiswahili,kingereza na kilugha chao humo humo
 
Hivi kuna watu wanaochanganya lugha kwenye mazungumzo kama wakenya? Hao wanaweza kuchanganya kiswahili,kingereza na kilugha chao humo humo
Walau lugha wanazochanganya wanazijua kwa ufasaha sasa broken ya konde si ni aibu,,
 
Back
Top Bottom