Mmezipata habari za ChatGPT? Automation inatishia ajira za watu

Mmezipata habari za ChatGPT? Automation inatishia ajira za watu

Ni nini hyo kwa sisi ma ngumbaru wa technology tujue. Ni program au robot unalinunua?
 
ChatGPT
Screenshot_20230215-214034_Firefox.jpg
 
Mfano business plan ukitaka unaipata so unadhani ikiwa watu wote wanajua kutumia nani atahitaji kuandikiwa business plan
Chatgpt inakuandikia kutokana na info unazoifeed. Hivyo ili upate kitu chenye quality lazima uwe na idea ya unachokitaka. Inarahisisha mambo kwa mtu anayejua. Na si kila mru ana idea ya kaundaa business plan.
 
Chatgpt inakuandikia kutokana na info unazoifeed. Hivyo ili upate kitu chenye quality lazima uwe na idea ya unachokitaka. Inarahisisha mambo kwa mtu anayejua. Na si kila mru ana idea ya kaundaa business plan.
Sasa hivi watu wengi wanazidi kuwa na uelewa hivo ni rahisi sana we unaandika unachotaka inakupa
 
AI inaua ajira zote from graphics design, business consulting, business plan and proposal writing. Etc
Hapo sio kweli business consulting haiwezi fanywa na AI, hizo financial projections azifanye gpt cha masihara wewe
 
AI inaua ajira zote from graphics design, business consulting, business plan and proposal writing. Etc
Nadhani haitauwa ajira zaidi itaboresha na kuzalisha ajira zingine, ChatGPT is just a tool kama zilivyo AI tools zingine,human intelligence lazima itumike ili kazi ikamilike
 
Habarini wan JF,

Hakika tekinolojia imekuwa sana. Huu mfumo wa akili bandia (Artifial intelligence) uliotengenezwa na Microsoft (Chat GPT) uko very clear. Nimekuwa nikiutumia Mara nyingi Sana. Sasa leo nikajaribu kuuliza iniandikie nyimbo kuhusiana na Rais wetu mpendwa Marehemu John Pombe Magufuli, na HAYA ndio majibu yake;.....

"Write me a song about president John Magufuli"

Verse 1:
Tanzania mourns the loss of a leader, A man who stood tall, a true believer, In his country, his people, and his cause, A leader who never paused.

Chorus:
John Magufuli, a name we won't forget, A legacy that we will cherish and respect, A man of action, a man of might, A true champion, in our sight.

Verse 2:
He came to power with a mission in mind, To fight corruption, to serve his kind, To make Tanzania great, and strong, A vision that he carried along.

Chorus:
John Magufuli, a name we won't forget, A legacy that we will cherish and respect, A man of action, a man of might, A true champion, in our sight.

Verse 3:
He worked hard, and he worked smart, His policies, tore corruption apart, He built roads, he built bridges, He brought change, he brought riches.

Chorus:
John Magufuli, a name we won't forget, A legacy that we will cherish and respect, A man of action, a man of might, A true champion, in our sight.

Verse 4:
He cared for his people, and he showed it, With his actions, he truly proved it, He fought for the poor, the weak, and the small, A true leader, he gave it his all.

Chorus:
John Magufuli, a name we won't forget, A legacy that we will cherish and respect, A man of action, a man of might, A true champion, in our sight.

Outro:
John Magufuli, rest in peace, Your spirit, your vision, will never cease, We'll carry on, we'll carry your torch, For Tanzania, we'll march.

Kwa wale wasiolelewa lugha nitafsiri baadae japo kwa uelewa mdogo wa kingereza....
Ukiiuliza mara ya pili inatunga tofauti.
?
Binadamu akitinga nyimbo kuhusu magufuli xitapatikana zaidi ya mia je roboti litaweza kutunga hivyo?
 
Back
Top Bottom