Mmezipata habari za ChatGPT? Automation inatishia ajira za watu

Mmezipata habari za ChatGPT? Automation inatishia ajira za watu

Ujanjujanja tu. Hii program inatoa maelekezo sawa na Yale ya google tofauti na google ni kuwa hii inaandika text Kama rejea ikiwa kwenye mjongeo huku google ikipest text tu amabazo hazijongei. Hakuna jipya joh
 
Ujanjujanja tu. Hii program inatoa maelekezo sawa na Yale ya google tofauti na google ni kuwa hii inaandika text Kama rejea ikiwa kwenye mjongeo huku google ikipest text tu amabazo hazijongei. Hakuna jipya joh
Ni kweli kwamba programu hii inaweza kutoa maelekezo sawa na vile vya Google, lakini tofauti ni kwamba ChatGPT inaweza kuandika maandishi kama rejea ikiwa ni pamoja na majongeo, wakati Google hupeana maandishi tu ambayo hayajongei. Kwa hivyo, kwa watumiaji wa Kiswahili na lugha nyinginezo ambazo ni ngumu kwa roboti za kawaida kuelewa, ChatGPT ni chombo muhimu cha kusaidia katika utafsiri na ufahamu wa maandishi.
 
Google wanatukia AI nyingi za aina tofauti tofauti (Google lense, multisearch, etc) Na sasa wamekuja na Bard ambayo hawajaiachia kwa watu wengi.

Hii issue ya ChatGPT sio kwamba ndio ushindi wa moja kwa moja kwa Microsoft, nop. Bado wana mziki mzito mana Google ana infrastructure pendwa zaidi.

Tukumbuke kuwa kila simu inakuja na search engine pendwa (Google Search). Siku tu akiiwezesha Google Search kupokea maelezo badala ya keywords amepindua meza.

Kwasasa Google search inapofeli ni kwamba Algorithm yao inajikita kupokea keywords not conversations.

Mbina google inapokea conversations na inakujibu pia papo hapo
 
Mbina google inapokea conversations na inakujibu pia papo hapo
Labda ili uelewe tofauti ya keywords na conversation angalia hii mifano hapa chini:

A: CONVERSATION:
Nataka kuwa muongeaji kwenye rooms mbalimbali clubhouse. Nataka unielekeze jinsi ya kujitambulisha na kuwasilisha mawazo yangu.

B: KEYWORDS:
1. Jinsi+kujitambulisha+kwa+wasikilizaji
2. Jinsi+kuwasilisha+mawazo

Algorithm ya google search kwa sasa inafanya B na sio A. Ndio mana ukiuliza hilo swali hapo A kama lilivyo kwenye google huwezi pata majibu ya maana ukilinganisha na kuliuliza kwenye ChatGPT.

Pia conversation inahitaji kukumbuka mtu alichouliza mwanzo na ulichomjibu. Google zaidi zaidi inatumia cookies kuona mambo gani na sites gani unapendelea ili ilete list ya search results zinazoendana na mlengo wako.

Conversation = Mazungumzo
Keyword = neno kuu

Google inachukua neno kuu ama maneno makuu kwenye ulizo lako na kupekua database yake kuona kama kuna website inaongelea hilo jambo.

ChatGPT inachukua maelezo yako yote na kuanzisha mazungumzo nawewe.

Google haiwezi anzisha mazungumzo nawewe ukiiuliza bali inakupa tu website zawewe kwenda kusoma mwenyewe. ChatGPT ishasoma so ukiiuliza inakuelezea inachokijua na mwisho inakwambia kama bado una swali ama hujaelewa uliza. Hii ndio maana ya conversation (mazungumzo).
 
Labda ili uelewe tofauti ya keywords na conversation angalia hii mifano hapa chini:

A: CONVERSATION:
Nataka kuwa muongeaji kwenye rooms mbalimbali clubhouse. Nataka unielekeze jinsi ya kujitambulisha na kuwasilisha mawazo yangu.

B: KEYWORDS:
1. Jinsi+kujitambulisha+kwa+wasikilizaji
2. Jinsi+kuwasilisha+mawazo

Algorithm ya google search kwa sasa inafanya B na sio A. Ndio mana ukiuliza hilo swali hapo A kama lilivyo kwenye google huwezi pata majibu ya maana ukilinganisha na kuliuliza kwenye ChatGPT.

Pia conversation inahitaji kukumbuka mtu alichouliza mwanzo na ulichomjibu. Google zaidi zaidi inatumia cookies kuona mambo gani na sites gani unapendelea ili ilete list ya search results zinazoendana na mlengo wako.

Conversation = Mazungumzo
Keyword = neno kuu

Google inachukua neno kuu ama maneno makuu kwenye ulizo lako na kupekua database yake kuona kama kuna website inaongelea hilo jambo.

ChatGPT inachukua maelezo yako yote na kuanzisha mazungumzo nawewe.

Google haiwezi anzisha mazungumzo nawewe ukiiuliza bali inakupa tu website zawewe kwenda kusoma mwenyewe. ChatGPT ishasoma so ukiiuliza inakuelezea inachokijua na mwisho inakwambia kama bado una swali ama hujaelewa uliza. Hii ndio maana ya conversation (mazungumzo).
NISEME NIMEKUELEWA SANA
 
Kwaio ni App,website au software??
Tunaipataje playstore auvp
20230303_151526.jpg
 
Tatuzo moja naliona,

Huwez tumia pata source ya information unazotaka, wao wanasema ni web source...
Na information inayotoa ni very limited kwahiyo chance for geting misleading information bado ni kubwa sana.

Mtazamo wangu.
 
Tatuzo moja naliona,

Huwez tumia pata source ya information unazotaka, wao wanasema ni web source...
Na information inayotoa ni very limited kwahiyo chance for geting misleading information bado ni kubwa sana.

Mtazamo wangu.
Ni kweli kwamba ChatGPT hutumia vyanzo vya habari za mtandaoni ili kutoa majibu yake. Hata hivyo, kuna jitihada za kuhakikisha kwamba wanachukua vyanzo vya kuaminika na sahihi zaidi wanapojibu maswali. Hata hivyo, kwa kuwa ni roboti, hawawezi kuhakikisha kabisa kwamba habari yote wanayoipata ni sahihi kabisa. Hivyo tukumbuke sisi kama watumiaji tunachukua majibu kama mwongozo tu na kufanya utafiti zaidi ili kuhakikisha uhalali wa habari tunazozipata
 
Ni kweli kwamba ChatGPT hutumia vyanzo vya habari za mtandaoni ili kutoa majibu yake. Hata hivyo, kuna jitihada za kuhakikisha kwamba wanachukua vyanzo vya kuaminika na sahihi zaidi wanapojibu maswali. Hata hivyo, kwa kuwa ni roboti, hawawezi kuhakikisha kabisa kwamba habari yote wanayoipata ni sahihi kabisa. Hivyo tukumbuke sisi kama watumiaji tunachukua majibu kama mwongozo tu na kufanya utafiti zaidi ili kuhakikisha uhalali wa habari tunazozipata
Ndio maana nasema is not a completely reliable source.... u will need to research yourself from the same web...

Kwasababu hata hivo haiwez kukuonyesha source affiliation.. so possibility of getting biased information ni kubwa mno

Nothing can beat human mind..
 
Ndio maana nasema is not a completely reliable source.... u will need to research yourself from the same web...

Kwasababu hata hivo haiwez kukuonyesha source affiliation.. so possibility of getting biased information ni kubwa mno

Nothing can beat human mind..
Yea. vyanzo vya mtandaoni vinaweza kuwa na habari za uwongo au za kupotosha. Ni muhimu kuwa macho na kufanya utafiti wa kina kutoka vyanzo vingine ili kupata habari sahihi. Hata hivyo, teknolojia na mtandao wa intaneti zinaweza kusaidia katika kupata habari kwa haraka na urahisi zaidi kuliko njia za zamani za kutafuta habari. Kwa hivyo, ni muhimu kutumia ufahamu wetu wa kibinadamu pamoja na rasilimali zinazopatikana mtandaoni ili kupata habari sahihi na kufanya maamuzi sahihi.
 
Hii inahitaji kwanz huwe na uelewa na unachokifanya na uwe unajua kabisa unachokitaka ni kitu gani.

na wewe uwe unaiongoza kufanya kile unachotaka. vingine itakuketea mambo ya hovyo.


Sema inarahisisha kazi kwa sisi tunaoelewa nini tunataka ifanye.
 
Back
Top Bottom