AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,659
- 2,827
Nimecheka sanaNdugu mbona unaandika kana kwamba wote hapa tumeamkia kwako na tunaishi kwako..,!? Umeipata bahati ya kuijua huo mfumo tulia Chini wajuze na wenzako huo mfumo ni nini, kwa nini serikali kupitia tcra upige marufuku huo mfumo!? And besides huo mfumo kama unamanufaa why upigwe marufuku??
Pamoja na yote, kuna baadhi ya wana JF hawapo updated na mambo yanayoendelea huku duniani.
Juzi juzi hapa kampuni ya openAI ilizidua chatbot yao (chatGPT) mpaka sasa ndani ya siku hizi 5 -7 imesha pata zaidi watumiaji 1M
honesty ukiachana na viumbe hai, kitu nacho kipenda cha kwanza ni computer pamoja na mifuo yake.
Kwa maoni yangu huu ni mfumo hatari zaidi wa computer miaka mi 3 - 5 ijayo. Jaribu kufikiri mfumo wa computer unweza kundaa dissertation au Thesis, mfumo unaweza kuandika essay, unweza kukupa ushauri etc
Pia cha ziada mfumo unweza ku program software kwa language mbalimbali Java, Js etc.
Ikitokea siku watu wabaya wakiutumia itakuaje, Duniani hakuta kalika. Bora tuanze kwa kuzuia kwa kuanza kuupiga marufuku
Teknologia haizuilikiPamoja na yote, kuna baadhi ya wana JF hawapo updated na mambo yanayoendelea huku duniani.
Juzi juzi hapa kampuni ya openAI ilizidua chatbot yao (chatGPT) mpaka sasa ndani ya siku hizi 5 -7 imesha pata zaidi watumiaji 1M
honesty ukiachana na viumbe hai, kitu nacho kipenda cha kwanza ni computer pamoja na mifuo yake.
Kwa maoni yangu huu ni mfumo hatari zaidi wa computer miaka mi 3 - 5 ijayo. Jaribu kufikiri mfumo wa computer unweza kundaa dissertation au Thesis, mfumo unaweza kuandika essay, unweza kukupa ushauri etc
Pia cha ziada mfumo unweza ku program software kwa language mbalimbali Java, Js etc.
Ikitokea siku watu wabaya wakiutumia itakuaje, Duniani hakuta kalika. Bora tuanze kwa kuzuia kwa kuanza kuupiga marufuku
una mawazo ya kizamani sana, teknolojia kwa sasa huwezi kuzuia, ni sawa na ujizuie umri usiongezeke eti utazeeka😆😆
tofautisha bangi na panadol mkuu, porn ni bangi hizi ni panadol, unanikumbusha history ya industry revolution uingereza wafanyakazi walivyokua wakiharibu mashine eti ndio zinawafanya wao wapoteze kazi wakishindwa kuelewa yale ni matokeo ya technological advancement, niishie hapo mkuu!Web za por' wamezuia hii itawashinda??
Inafanyaje kazi mkuu.
Thesis unawezaje kuandaliwa kirahisi hivyo!
Mkuu mbona tools za kuondoa plagiarism zipo nyingi sana? Pia zipo site kibao tu ambazo unaweza ku summarise paper online. Hiyo app itakuwa ime simplify tu lakini sioni cha ziada.In uwezo kwa ku summarise paper na ku avoid plagiarism
Hahahaah kwa kweli afafanue vizuriNdugu mbona unaandika kana kwamba wote hapa tumeamkia kwako na tunaishi kwako..,!? Umeipata bahati ya kuijua huo mfumo tulia Chini wajuze na wenzako huo mfumo ni nini, kwa nini serikali kupitia tcra upige marufuku huo mfumo!? And besides huo mfumo kama unamanufaa why upigwe marufuku??
Wao hao hao Open Ai wanatengeneza mfumo wa kutambua kitu kilichoaneikwa na chargpt na pia kuna kijana asha design mmoja wa kutambua kitu kilichokuwa generated na huo mfumo.Pamoja na yote, kuna baadhi ya wana JF hawapo updated na mambo yanayoendelea huku duniani.
Juzi juzi hapa kampuni ya openAI ilizidua chatbot yao (chatGPT) mpaka sasa ndani ya siku hizi 5 -7 imesha pata zaidi watumiaji 1M
honesty ukiachana na viumbe hai, kitu nacho kipenda cha kwanza ni computer pamoja na mifuo yake.
Kwa maoni yangu huu ni mfumo hatari zaidi wa computer miaka mi 3 - 5 ijayo. Jaribu kufikiri mfumo wa computer unweza kundaa dissertation au Thesis, mfumo unaweza kuandika essay, unweza kukupa ushauri etc
Pia cha ziada mfumo unweza ku program software kwa language mbalimbali Java, Js etc.
Ikitokea siku watu wabaya wakiutumia itakuaje, Duniani hakuta kalika. Bora tuanze kwa kuzuia kwa kuanza kuupiga marufuku
Chat bot ni software. Inayoweza kuandika esaay au presentation unaipa details tu, kuna jamaa alikuja na uzi humu akielezea kwa mifano , alipa chatbot majina yake na elimu yake ikaandika bonge la CV !!Ndugu mbona unaandika kana kwamba wote hapa tumeamkia kwako na tunaishi kwako..,!? Umeipata bahati ya kuijua huo mfumo tulia Chini wajuze na wenzako huo mfumo ni nini, kwa nini serikali kupitia tcra upige marufuku huo mfumo!? And besides huo mfumo kama unamanufaa why upigwe marufuku??
Tutatumia VPNWeb za por' wamezuia hii itawashinda??
Wako humu JamiiForumsPamoja na yote, kuna baadhi ya wana JF hawapo updated na mambo yanayoendelea huku duniani.
Juzi juzi hapa kampuni ya openAI ilizidua chatbot yao (chatGPT) mpaka sasa ndani ya siku hizi 5 -7 imesha pata zaidi watumiaji 1M
honesty ukiachana na viumbe hai, kitu nacho kipenda cha kwanza ni computer pamoja na mifuo yake.
Kwa maoni yangu huu ni mfumo hatari zaidi wa computer miaka mi 3 - 5 ijayo. Jaribu kufikiri mfumo wa computer unweza kundaa dissertation au Thesis, mfumo unaweza kuandika essay, unweza kukupa ushauri etc
Pia cha ziada mfumo unweza ku program software kwa language mbalimbali Java, Js etc.
Ikitokea siku watu wabaya wakiutumia itakuaje, Duniani hakuta kalika. Bora tuanze kwa kuzuia kwa kuanza kuupiga marufuku