Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Hio ni text msg mbona haifungui.I tanibid nikaiandike googke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio ni text msg mbona haifungui.I tanibid nikaiandike googke
Ipo hivo hivo no accessSasa mbona ipo vizuri?. Kuna nafasi hapo chini..
Muulize swali akujibu. Au umesahau?
Fanya ku_click | https://chat.openai.com/chatHio ni text msg mbona haifungui.I tanibid nikaiandike googke
Arrow haiko active. Insishia hapaFanya ku_click | https://chat.openai.com/chat
Nimekupa alternative ya kutumia chatGPT kupitia poe.com , Fanya hivyo. Uzuri wa 'poe 'wameweka AI zaidi ya moja.Itanibidi nifungue account nyingine.
Kwa leo acha niishie hapa [emoji2][emoji2]Yaan, kwa mwanangu kazi ilikuwa ni mwendo wa kuchagua namba ya option anayotaka then wanaenda huko (mie sipo)
.
Alafu kitu kimoja mwana anasisitizia....
"Sio lazima story iwe ya kutisha...
ChatGPt anaweza kutengeneza story na missions kulingana na maelekezo yako, ukimwambia unataka style ya comedy atakupeleka huko huko, ukimwambia unataka uwe superstar character(wazee wa siteringi) basi atakupeleka mpaka kwenye tuzo za grammy [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji174]"
Tazama pics zifuatazo... [emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2572259
Wee acha tu mzee baba...Hataree sana
Saivi watu tunatumia Omomambo yanabadilika kila leo kutoka matumizi ya windoxp
Hata mimi alinijibu hivi[emoji116][emoji116]Ila sema hii ngoma ina akili sana, mbina af kama kuna watu inawatetea hivi.[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2568537
😄😄😄 hatari sana mkuu.Hata mimi alinijibu hivi[emoji116][emoji116]View attachment 2573139