Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kidumee atareeeGod Hajaoa
Nikisema nieleze sana, nitavunja kanuni na taratibu za marehemu.
Namjua marehemu vzr kuliko wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kidumee atareeeGod Hajaoa
Nikisema nieleze sana, nitavunja kanuni na taratibu za marehemu.
Namjua marehemu vzr kuliko wewe.
Tatizo nini hasa?Dodoma ndo mkoa pekee ambao watu wake hasa vijana huongoza kufa au kufariki kwa ajili
Hakuna mkoa unao fatia hapo
Mkuu ulijua je kama hajatubu, unataka kuchukua majukumu ya Mungu sijui walokole mkoje?mkumbukeni Mungu mngali hai. imagine, unamiliki baa za malaya, walevi, unakufa bila kutubu, unapokelewa motoni moja kwa moja. unaungua milele. msije mkaja kusema hatukuwaambia. andaa maisha yako ya kesho, ya sasa yanapita.
Maagoti na kuku mbovuNimpe neno mbadala wa kahaba mchafu na kuku kibudu.
Huna huzuni wewe ntakutumia usindkizie na Serengeti lite😂😂😂Ahsante. Nitumie Rambirambi nishuke Chako ni chako hapo nikachome na kuku kumuenzi Mangi.
Unajifanya huijui misiba ya kichaga🤣. Nitakupeleka Tarime, Rebu ukaoneeHuna huzuni wewe ntakutumia usindkizie na Serengeti lite😂😂😂
Hatari sanaInawezekana ni ukweli ndo hulika ya huko kibosho kuna mzee mmoja namfahamu shughuli zake anafanya mwenyewe yeye meneja, yeye cashier, yeye supervisor, yeye auditor yaani ni full tafrani mkoloni huyo.
Pombe mtumishTatizo nini hasa?
Maagoti, sijasikia hilo neno toka early 90's😂Maagoti na kuku mbovu
Na alikuwa anajenga vizuri sana. Hataki kuhawa riziki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hao watu wakibosho kama ni ubahiri wamezidi, unajenga je bila kua na msaidizi?
Na wewe unauza huduma chako ni chako nini?Kwani kuna Malaya asiyejiuza? Labda wa nyumbani mwako. Jifunze kuheshimu binadamu wenzio
Mkuu ni pamoja na tabia ya kupenda kuendeleza mawazo ya wengine.Rip - hapo kinachofatia ni kugombania mali na mwisho chako ni chako itabaki jina hapa ndo tunajifunza success is about good management on top
Punguza fikra za kimasikiniNyie endeleeni kutamani maisha ya watu wenye pesa itakuwa kuku alikula punje chache.
Pombe mtumish
Nakusihi sana kuna life style flan hivi kwenye maisha haifai kabisa
Hata kuchomana visu na kuuana dodoma ndo inaongoza
Dodoma ni mkoa wenye vijana wajinga sana
Mtu anaweza kukuta umesimama na mdada huna hili wala lile unashangaa tu una kisu cha tumbo
Unakuta kijana alikuwa na demu wake miaka miwili iliyopita wakatengana kesho na kesho kutwa wewe ukianzisha naye mahusiano anaanza kukuwinda huyo x wake bila sababu yeyeto
unatubuje kwenye ajali, ghafla bin pu. na chako ni chako hata jioni hii ukienda kuna malaya pale.Mkuu ulijua je kama hajatubu, unataka kuchukua majukumu ya Mungu sijui walokole mkoje?
Tuendelee kuombeanaHili lipo hadi huko vijijini.
Mtu anamuacha mke Kongwa anaenda Kiteto anaoa tena. Halafu anaenda Kilindi anaoa tena.
Baadaye sana anarudi Kongwa anakuta yule mke wa kwanza ameolewa.
Anaanza kupambana na huyo mwanaume mpya wa mkewe.
Hahahahaa twende zetu tarimeUnajifanya huijui misiba ya kichaga🤣. Nitakupeleka Tarime, Rebu ukaonee
Kijana alikuwa anapambania ndoto zake ww!!!!..... huna zako.......Asante Detective J
Iliyumba ikagonga nguzo kisha ikabiringika kule barabara ya kwa waziri mkuu alikokuwa anaelekea kwake.
Nahisi alichukua gari ya rafiki yake kwa maana yeye binafsi ana gari 2, Harrier new model na Prado.
Ila kifo kikikuita, haijalishi uko na gari yako au ya mwenzako.
Nawaza je, Chako ni chako bar pamoja na ya kule Iringa road (The Avec) zitapata wasimamizi wazuri, maana mdogo wake wa tumbo moja Richard ambae alikuwa anamfundisha kazi, huu mzigo kwake utakuwa mkubwa sana, sidhani kama atauweza, labda aache pombe🍺🥃
God bado alikuwa anapambania ndoto zake kijana wa watu.
Wahudumu wengi walioko sijui Platinum, Rainbow, Bambalaga, Waswano, The Bistro... wote walipitia hapo Chako ni chako (kabla ya God kumiliki)
Hapo mchumba kupata kitu ni ngumu kidogo. Rejea kesi ya K-lyn.Dah so sad aisee
Hivi hapo mchumba si anarithishwa mali ama wachaga ikoje ikitokea kama hivi