Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili swali linahitaji majibu kwa kweliIla chako ni chako imeanza mwaka gani kama kijana kazaliwa 88 au alirithi?!!
For the first time naenda chako ni chako ni miaka kama15 sasa dogo alianza biashara lini au aliwahi mvua mtu hivi karibuni au family businessHili swali linahitaji majibu kwa kweli
Kumbe alikuwa anajua matumizi sahihi ya ndalamakaacha wake 3 na watoto 11
Sawa yule wa mbinguni. Nitakuombea kwa niaba yako akufanyie wepesiNdoto zangu anazo baba yako
Ukijenga msikiti watu wakiswali hata ukiondoka salio la thawabu unapata, ukijenga baa ukifa salio la dhambi unapata kila uchafu ukifanyikaKwani marehemu ana husika je na malaya wanao jiunza hapo kwake? Naona unataka kumhukumu.
Ah safi kabisa soo yeye ilikuwa kula mbususu hamna kulipa ada. Huyu kama mie tuu....mwendo wa kula mbususuHana mtoto God
Comment ya kwanza , haina pole Ila lawama kwa watu, wanaojiuza.Chako ni chako si ndo sehemu maarufu kwa malaya wanaojiuza hapo dom ? Au siyo pale?
Hili swali linahitaji majibu kwa kweli
Iko hv, jina Chako ni Chako ni la zamani sana, kinachofanyika ni kuwa mtu anakodi eneo kwa kutumia jina hilohilo jamani.For the first time naenda chako ni chako ni miaka kama15 sasa dogo alianza biashara lini au aliwahi mvua mtu hivi karibuni au family business
Sasa hv una umri gani sasa!!??For the first time naenda chako ni chako ni miaka kama15 sasa dogo alianza biashara lini au aliwahi mvua mtu hivi karibuni au family business
Good!!👌Iko hv, jina Chako ni Chako ni la zamani sana, kinachofanyika ni kuwa mtu anakodi eneo kwa kutumia jina hilohilo jamani.
Wamepita wamiliki kama 3 hv ila walikuwa ni watu wazima kiasi/wazee, na sasa pamekuwa pa moto kutokana na kumilikiwa na kijana God, God ndio aliifufua Chako ni Chako upya na imekuwa maarufu mpaka leo.
Nimeeleweka au bado?
Ila kwa kipindi hiki mtu akikwambia anaenda Chako ni Chako basi ujue anakuja eneo hili maana kuna wauza kuku kama 15 hv, so anaweza sema katoka na kuku wa Chao kumbe kanunua hapo kwa Mashaka au kwa DidaMungu ampumzishe kwa amani, miaka hiyo kila mwisho wa mwezi baba alikuwa akitununulia kuku wa chako ni chako. Kweli kila kitu kitapita ila tusiache kumrudia Mungu wetu mala kwa mala.
Yeah, pale nako mwaka jana si paliua mtu pale.Ni kweli kabisa, lakini huyu hakuwa highway
Umenikumbusha platinum kwa hussein na haji .