Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli naikumbuka hii, iliondoka na dada yao, haji akajeruhiwa.Yeah, pale nako mwaka jana si paliua mtu pale.
Mtu katoa shaba, kamtandika mtu ya mbavu na tumbo.
Ila kwa ucheshi wa God, hakuna mmiliki wa Bar Dodoma asiyeenda kuzika huu ndio ukweli
Pole ya nini?Comment ya kwanza , haina pole Ila lawama kwa watu, wanaojiuza.
Akajeruhiwa mguu, yule dada alikuwa storekeeper na Madam wa kule ya Area C, ila kidomodomo chake ndo kilimponza.Ni kweli naikumbuka hii, iliondoka na dada yao, haji akajeruhiwa.
Mbususu is overrated. Kama unakataa, chungulia hilo shimo na utupe mrejeshoAkajeruhiwa mguu, yule dada alikuwa storekeeper na Madam wa kule ya Area C, ila kidomodomo chake ndo kilimponza.
Anamzuiaje jamaa kuondoka na demu (muhudumu) wakati keshamnywea sana na kumlia sana, akaona isiwe kesi kula chuma hiko.
Nasi wadada tujifunze, kama hatutaki kutoa mbususu tusile vya wanaume wa Arusha (mgodini)
DAh ! Hatari sanaAkajeruhiwa mguu, yule dada alikuwa storekeeper na Madam wa kule ya Area C, ila kidomodomo chake ndo kilimponza.
Anamzuiaje jamaa kuondoka na demu (muhudumu) wakati keshamnywea sana na kumlia sana, akaona isiwe kesi kula chuma hiko.
Nasi wadada tujifunze, kama hatutaki kutoa mbususu tusile vya wanaume wa Arusha (mgodini)
Dini zimetuharibu akili sana Waafrika, hadi kuingilia hukumu zisizotuhusu kama vile sisi ni Malaika....!?Wewe ni nani mpaka uchukuwe nafasi ya Mungu ya kuhukumu? Umejaa chuki na ubinafsi sana. Hivi unajua mtu anayejiita kiongozi wa dini anaweza kuwa anaharibu jamii kuliko mwenye bar?
Fine ❌BAKITA itabidi lianze kutoza fine kwenye hili tatizo
40 yearsSasa hv una umri gani sasa!!??
Kama amekodi inafaa kuitwa mmiliki au muendeshaji?!! Ok hata hivyo ufafanuzi huu ni muhimuIko hv, jina Chako ni Chako ni la zamani sana, kinachofanyika ni kuwa mtu anakodi eneo kwa kutumia jina hilohilo jamani.
Wamepita wamiliki kama 3 hv ila walikuwa ni watu wazima kiasi/wazee, na sasa pamekuwa pa moto kutokana na kumilikiwa na kijana God, God ndio aliifufua Chako ni Chako upya na imekuwa maarufu mpaka leo.
Nimeeleweka au bado?
DuuuPumzika mpambanaji, ulikuwa na ndoto nyingi sana.
Msiba uko nyumbani kwake Swaswa.
Alikuwa mmiliki wa Bar tatu maarufu jijini Dodoma.
1. Chako ni Chako
2. GM Sport & Bar (hii aliifunga ili kuifanyia marekebisho, na mpaka sasa iko kwenye matengenezo, so sad 😔😔)
3. The Avec hii imefunguliwa mwaka huu mwanzoni na ina vibe si la kitoto.
Mdogo sana, wa mwaka 88 au 89 kama sikosei.
Ajali inamaliza ndoto za vijana wengi Duniani.
View attachment 3142700
View attachment 3142627
View attachment 3142705
Sana sana Mkurugenzi.... Mfano lile tukio la mfanyabiashara kuuwawa mlangoni kwake kule Njombe....Na hata kurudi usiku sana sio salama wahuni wako wengi njian
Kama una point vile. Hapo dom karibia na malaika pub kuna mzee alikuwa anamiliki lodge hapo jirani , naye alikuwa ni one man show. Alifariki akiwa ndani ya gari . Nadhani alifia usingizini akiwa amejipumzisha ndani ya gari.Inawezekana ni ukweli ndo hulika ya huko kibosho kuna mzee mmoja namfahamu shughuli zake anafanya mwenyewe yeye meneja, yeye cashier, yeye supervisor, yeye auditor yaani ni full tafrani mkoloni huyo.
[emoji25][emoji848]dah hawa ndio watanzania wenzetu kwa baadhi ya maeneo, wanakaa kusikilizia ndugu nani kafa waende wakavamie mali za urithi.Ila watanzania Jamani!!!
Yaani mwili hata haujapoa tayari mshaanza kuwazia jasho la mwenzenu?!
Pathetic!
Poleni sana wahusika Kwa msiba Huu, muumba awavushe salama katika hili.
Poleni sana mkuu. Inaonekana unamfahamu vilivyo. Sad ameondoka kijana, taifa likiwa bado linamhitaji.
Kama alivyoandoka mchangiaji mmoja hapo juu, ukishafika level ya kuwa na issues nyingi katika maisha na uchumi imara, ni vema ukiwa na dereva especially nyakati za usiku. Huyu naamini alikuwa na mambo mengi yanahitaji attention yake.
Tujifunze. Mambo mengine siyo luxury ni uhalisia wa maisha.
Hatari sana.[emoji25][emoji848]dah hawa ndio watanzania wenzetu kwa baadhi ya maeneo, wanakaa kusikilizia ndugu nani kafa waende wakavamie mali za urithi.