Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajali ni ajali tu ndugu huwa haina kinga, tena matajiri wenye sport cars wanadrive wenyewe kama kina Mo dweji coz its luxurious ride to slide around.Poleni sana wafiwa. Ukishafikia level fulani ya mafanikio hupaswi kuwa unaendesha gari lako wewe mwenyewe unapaswa kuendeshwa na dereva mzoefu
Who told you all these, watu mnaperceive vitu tofauti.Kwa upande mmoja naweza sema "Raha ya milele umpe eeh bwana na Mwanga wa milele umuangazie" lakini kwa hili ulioongea naweza pia nika-entertein "Roho yake ikae Mahali mwenyezi Mungu ataona anastahili"
Mdau anasema " alikuwa ana ndoto nyingi" lakini tukubali ameanza kufanikisha ndoto ya kuchochea ndoa kuvunjika, maendeleo binafsi kudumaa, watoto kutelekezwa
Urithi, generational wealth....Kila nikienda Dodoma nilikuwa nalala kwenye guest zake ,aise watu wana hela pana guest kama nne jirani na ile bar kwa majina yake na bado kijana kabisa
wewe umesha andaa majibu nduguSijui atamjibu nini Mungu wake
Poa poa, mnaenda kuzikia wapi?Karibu sana
Nikitoka mazikoni tutaonana mdau
Kivipi? Si alikuwa anajihusha na biashara ya kuuzia watu ghambe?Who told you all these, watu mnaperceive vitu tofauti.
Pombe ni haram au hujui?wewe umesha andaa majibu ndugu
Ina relate vipi na sheria ya nchi ni legal business au ni illegal business? Say Yes or No, majibu............................Kivipi? Si alikuwa anajihusha na biashara ya kuuzia watu ghambe?
classmate pole vipi hali yako kaka nawe usituage Bado tunakupenda hapa MasumbweR.i.P Classmate...😥
Umetutoka ukiwa bado kijana sana mazee...😪
nalifahamu..turudi kwenye swali wewe majibu unayoPombe ni haram au hujui?
Majibu yako tayari unayo mkuu?Sijui atamjibu nini Mungu wake
Nimezidi kuimarika mkuu, asante kwa maombi...classmate pole vipi halo yako kaka nawe usituage Bado tunakupenda hapa Masubwe
Mimi najiepusha kufanya yaliyoharamishwa na Mwenyezi Mungunalifahamu..turudi kwenye swali wewe majibu unayo