TANZIA Mmiliki na Mkurugenzi wa Bar ya Chako ni Chako jijini Dodoma, God Makoi, afariki dunia kwa ajali ya gari

TANZIA Mmiliki na Mkurugenzi wa Bar ya Chako ni Chako jijini Dodoma, God Makoi, afariki dunia kwa ajali ya gari

Poleni sana wafiwa. Ukishafikia level fulani ya mafanikio hupaswi kuwa unaendesha gari lako wewe mwenyewe unapaswa kuendeshwa na dereva mzoefu
Ajali ni ajali tu ndugu huwa haina kinga, tena matajiri wenye sport cars wanadrive wenyewe kama kina Mo dweji coz its luxurious ride to slide around.
 
Kwa upande mmoja naweza sema "Raha ya milele umpe eeh bwana na Mwanga wa milele umuangazie" lakini kwa hili ulioongea naweza pia nika-entertein "Roho yake ikae Mahali mwenyezi Mungu ataona anastahili"
Mdau anasema " alikuwa ana ndoto nyingi" lakini tukubali ameanza kufanikisha ndoto ya kuchochea ndoa kuvunjika, maendeleo binafsi kudumaa, watoto kutelekezwa
Who told you all these, watu mnaperceive vitu tofauti.
 
kuna mzee mmmoja mkinga alikuwa pale kmr

alikuwa ananunua semi kama chooon

yaan hapo godown kwake zimejipanga kama show room

siku anakwenda iringa akapata ajali wakafa watoto wake wawili....

 akazika

baada ya miezi kadhaa akapata ajali dis tym mtoto kapona kaenda yeye..

msiban mke anambiwa akazike akagoma wakajaza special hire ikaenda iringa mbona makambaki wakaktulizwa mdada wa mke wa marehemu akaenda na majiran 2...

mke akafunguka nilijua hii nkagoma kwenda akasema wana vyumba 6 kuna viwili mzee hakutaka hata yeye wala ndugu kufungua....

mnbaya alhamisi naa jmosi halali na mkewe kabisa n masharti amepewa

na ajabu hivyo vyumba havikuwahi kuwa na kitandaa n mkeka tyuuu

so sad na pesa zote alikuwa analala chini..shukuru unalalia hata hiko kitanda cha chuma cha kuswing....

Mtaan waliumia sana yaan ukiongelea matajiri kwenye vijiwe wanakimbia....
 
Back
Top Bottom