TANZIA Mmiliki na Mkurugenzi wa Bar ya Chako ni Chako jijini Dodoma, God Makoi, afariki dunia kwa ajali ya gari

TANZIA Mmiliki na Mkurugenzi wa Bar ya Chako ni Chako jijini Dodoma, God Makoi, afariki dunia kwa ajali ya gari

Rip - hapo kinachofatia ni kugombania mali na mwisho chako ni chako itabaki jina hapa ndo tunajifunza success is about good management on top
Tuwaombee mema tu. Mzee Mamuya alivyofariki Mali yake ilibaki katika mikono salama. Kadhalika huyu kafariki tuwatakie kurithishana pasipo ugomvi kama unavyowaombea.
 
Pumzika mpambanaji, ulikuwa na ndoto nyingi sana.
Msiba uko nyumbani kwake Swaswa.

Alikuwa mmiliki wa Bar tatu maarufu jijini Dodoma.
1. Chako ni Chako
2. GM Sport & Bar (hii aliifunga ili kuifanyia marekebisho, na mpaka sasa iko kwenye matengenezo, so sad 😔😔)
3. The Avec hii imefunguliwa mwaka huu mwanzoni na ina vibe si la kitoto.

Mdogo sana, wa mwaka 88 au 89 kama sikosei.
Ajali inamaliza ndoto za vijana wengi Duniani.

Huwa anatembeaga na pesa kwenye gari, sijui kama zimesalimika
View attachment 3142700
View attachment 3142627
View attachment 3142705View attachment 3142654
Binafsi ninampango wa kupeleka hoja Binafsi bungeni ili kutungwa Sheria ya usalama barabarani ili mtu anayeendesha gari awe mtu aliyesomea Sheria za usalama barabarani kama anavyosoma daktari maana hizi ajali zinaua sana
 
Binafsi ninampango wa kupeleka hoja Binafsi bungeni ili kutungwa Sheria ya usalama barabarani ili mtu anayeendesha gari awe mtu aliyesomea Sheria za usalama barabarani kama anavyosoma daktari maana hizi ajali zinaua sana
Kwani hizo Sheria unadhani zinazidi hata kurasa mbili?

Tatizo kubwa ni uzembe wa madereva na mwendo kasi.
 
Back
Top Bottom