The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Urithi.Chako ni chako mbona ni bar ya zamani sana au aliinunua?
Umri wake na umri wa hiyo bar chako ni chako umenichanganya kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Urithi.Chako ni chako mbona ni bar ya zamani sana au aliinunua?
Umri wake na umri wa hiyo bar chako ni chako umenichanganya kidogo
Kaza fuvu hivyohivyo ndugu yangu wewe endelea kujifariji tu ....kulikuwa na biashara nyingi za kufanya ambazo ni halali mbele za MunguMajibu yako tayari unayo mkuu?
Walevi wanamuombolezea mtu halafu wapo bar?Anamiliki pia Bar ya Kito. Nilikuwepo leo pamepoaaa watu wanaomboleza.
Unataka ukauze?Chako ni chako si ndo sehemu maarufu kwa malaya wanaojiuza hapo dom ? Au siyo pale?
Tuwaombee mema tu. Mzee Mamuya alivyofariki Mali yake ilibaki katika mikono salama. Kadhalika huyu kafariki tuwatakie kurithishana pasipo ugomvi kama unavyowaombea.Rip - hapo kinachofatia ni kugombania mali na mwisho chako ni chako itabaki jina hapa ndo tunajifunza success is about good management on top
Wakibosho mali zinarudi kwa kaka zake kama hakuwa na mtoto naye au mke ataolewa na mdogo au kaka mtu ndo mila zetu zilivo.Thubutu, na hivi hajazaa nae labda huruma za waliotaka kuwa mkwewe
nataka nikununueUnataka ukaukauze
Kauze tunataka nikununue
We ni wale wa buku mbilimbili au wa telegram?Kauze tu
Binafsi ninampango wa kupeleka hoja Binafsi bungeni ili kutungwa Sheria ya usalama barabarani ili mtu anayeendesha gari awe mtu aliyesomea Sheria za usalama barabarani kama anavyosoma daktari maana hizi ajali zinaua sanaPumzika mpambanaji, ulikuwa na ndoto nyingi sana.
Msiba uko nyumbani kwake Swaswa.
Alikuwa mmiliki wa Bar tatu maarufu jijini Dodoma.
1. Chako ni Chako
2. GM Sport & Bar (hii aliifunga ili kuifanyia marekebisho, na mpaka sasa iko kwenye matengenezo, so sad 😔😔)
3. The Avec hii imefunguliwa mwaka huu mwanzoni na ina vibe si la kitoto.
Mdogo sana, wa mwaka 88 au 89 kama sikosei.
Ajali inamaliza ndoto za vijana wengi Duniani.
Huwa anatembeaga na pesa kwenye gari, sijui kama zimesalimika
View attachment 3142700
View attachment 3142627
View attachment 3142705View attachment 3142654
Ila umenielewa?Sawa tajiri p didy katangaza nafasi za kazi umeziona.
Akikubali kuolewa na kaka au mdogo mtu ni sawa inakubaliwa kimila wife inheritance.Hapo mchumba kupata kitu ni ngumu kidogo. Rejea kesi ya K-lyn.
Wakibosho na Wamachame ni jamii zenye kushabihiana kwa mengi haswa misimamo.
Hili sina uhakika nalo. Ila ninavyofahamu, hana chakeAkikubali kuolewa na kaka au mdogo mtu ni sawa inakubaliwa kimila wife inheritance.
Mila za mwaka gani?Wakibosho mali zinarudi kwa kaka zake kama hakuwa na mtoto naye au mke ataolewa na mdogo au kaka mtu ndo mila zetu zilivo.
Mchumba kama mchumba akiwa hana mtoto na marehemu hakubaliwi labda akubali kurithiwa.Hili sina uhakika nalo. Ila ninavyofahamu, hana chake
Kwa sasa ivi imepungua ila ni mila za tangu zamani kibosho swala la wife inheritance lipo waulize wamikuu wakacha.Mila za mwaka gani?
Kwani hizo Sheria unadhani zinazidi hata kurasa mbili?Binafsi ninampango wa kupeleka hoja Binafsi bungeni ili kutungwa Sheria ya usalama barabarani ili mtu anayeendesha gari awe mtu aliyesomea Sheria za usalama barabarani kama anavyosoma daktari maana hizi ajali zinaua sana
Hiyo sikuwahi kuiona. Hata kama ni kurithi ni kwa kificho sana.Kwa sasa ivi imepungua ila ni mila za tangu zamani kibosho swala la wife inheritance lipo waulize wamikuu wakacha.