Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana kwa niabaAisee, pole kwa familia, walevi, wazee wa nyama choma, malaya na wote walioguswa na msiba.
Dhambi ni kufanya biashara ya pombe tu? Wewe dhambi zako umejiandaa vipi kuzitolea majibu?Kaza fuvu hivyohivyo ndugu yangu wewe endelea kujifariji tu ....kulikuwa na biashara nyingi za kufanya ambazo ni halali mbele za Mungu
Kuna kipindi palifanyiwa maintanance pakavunjwa mpaka chini na manispaa 2018 kama sikosei...Iko hv, jina Chako ni Chako ni la zamani sana, kinachofanyika ni kuwa mtu anakodi eneo kwa kutumia jina hilohilo jamani.
Wamepita wamiliki kama 3 hv ila walikuwa ni watu wazima kiasi/wazee, na sasa pamekuwa pa moto kutokana na kumilikiwa na kijana God, God ndio aliifufua Chako ni Chako upya na imekuwa maarufu mpaka leo.
Nimeeleweka au bado?
Ndiyo walifanyaHiyo sikuwahi kuiona. Hata kama ni kurithi ni kwa kificho sana.
Hao wa zamani inawezekana walifanya hayo
Mungu akutie nguvu kaka nilishtuka kusikia hiyo shidaNimezidi kuimarika mkuu, asante kwa maombi...
Mkuu Mungu azidi kukuponya zaidiNimezidi kuimarika mkuu, asante kwa maombi...
Why??Dodoma ndo mkoa pekee ambao watu wake hasa vijana huongoza kufa au kufariki kwa ajili
Hakuna mkoa unao fatia hapo
Mkuu noma, gari imeishaDuh gari gani hiyo nikama itCorona? Naona kama ilidodoka ikavurunguka mara kadhaa
Basi ni tajiriAnamiliki pia Bar ya Kito. Nilikuwepo leo pamepoaaa watu wanaomboleza.
Ookey sawaSwaswa mji mpya huku, hii njia ambayo inakatiza lami mpya.
Inayokutana na Mnarani
Rosti ndo nini...ndugu zake ni watu ninaowafahamu...Unamjua nini au ulishawahi mpa rosti? 😄 🤣 😂 😆
Sijapinga mkuu nimetoa maoni tuuIla umenielewa?
Mtoto wa kiume pambana na walifanikiwa wasifie tu bila kinyongo na kama unahisi wanafaa kwako kuwa mfano basi, soma hustle zao ujaribu kupita humo.
Ku-copy na kutwist kidogo njia za hustle SIO DHAMBI.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Poleni na msiba rosti ni mbususu kavu kavuRosti ndo nini...ndugu zake na watu ninaowafahamu...
Huyu aliridhi hiyo bar au ni muanzilishi maana kwa umri ulotajwa hapo juu na mdau sidhani kama angeweza kuwa na nyumba pale katikati idodomya.Asante Detective J
Iliyumba ikagonga nguzo kisha ikabiringika kule barabara ya kwa waziri mkuu alikokuwa anaelekea kwake.
Nahisi alichukua gari ya rafiki yake kwa maana yeye binafsi ana gari 2, Harrier new model na Prado.
Ila kifo kikikuita, haijalishi uko na gari yako au ya mwenzako.
Nawaza je, Chako ni chako bar pamoja na ya kule Iringa road (The Avec) zitapata wasimamizi wazuri, maana mdogo wake wa tumbo moja Richard ambae alikuwa anamfundisha kazi, huu mzigo kwake utakuwa mkubwa sana, sidhani kama atauweza, labda aache pombe[emoji481][emoji1634]
God bado alikuwa anapambania ndoto zake kijana wa watu.
Wahudumu wengi walioko sijui Platinum, Rainbow, Bambalaga, Waswano, The Bistro... wote walipitia hapo Chako ni chako (kabla ya God kumiliki)