Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wenye biashara na mishe mishe nyingi hiyo concentration unaipataje? Unadhani ni kwa nini hata serikalini wakurugenzi na ma CEOs wanaendeshwa? Ukiwa na uwezo make sure una kuwa na good driver hasa kwa safari ndefu, ili upate muda wa kujikita kwenye mishe mishe zako .Ndiyo maana nikasema inabidi uzingatie sheria za usalama. Na sheria moja inasema mawazo yako yote yawe kwenye unachofanya i. e. uendashaji. BTW hata madereva nao ni binadamu na vichwa vyao vina mambo mengi. Tena wengine unaweza kukuta wana mawazo kushindwa matajiri wengi.
Wengi wetu hili ni changamoto. Tuwaombee aliowaacha nyuma. Maana naamini nyuma ameacha kilio kikubwa.Umeongea ukweli matajiri wetu jifunzeni kugawa majukumu kama haya.
1 personal driver
2. Loan manager/ adminstrtor
3. Persnal bussiness advisor/consultant
4. Health adviser or personal doctor.
Utakua umejipunguzia mawazo na stress za kufanya ajali na pressure za mwili, kweli unamiliki biashara worthy 300m ila kila kitu unataka ufanye mwenyewe
Yeye ndiye alikuwa anawafanyia Intavyuu la kukata uno?...Chako ni chako si ndo sehemu maarufu kwa malaya wanaojiuza hapo dom
tupia picChako ni chako si ndo sehemu maarufu kwa malaya wanaojiuza hapo dom
Asante, tumeshapoa na tunaendelea na taratibu zingineHapo kama hakuwaandaa watoto ama Mke kwaajili ya uendelezaji wa biashara zake, ndiyo mwanzo wa mwisho wa hizo biashara zake
Poleni wote mlioguswa na Msiba wake, mbele yetu nyuma yake 😭😭
Kwa sisi tulio hai, tujiandae huku tukisikiliza wimbo wa "King Crazy GK~ Nitakufaje"
If I would have an option to choose, I will prefer dying during my sleep 🙏🙏
Mkuu kuna wake wanaojulkana na wasiojulikana mkuu! Usibishe.Acha uongo. Kaoa mwaka jana, na ndoa yake ilifanyika Nkuhungu kwenye apartments zake.
Ni proud kwa wachagaYaani katika picha zake zote ndio umeweka hii akipiga mbege?!! 🤔
Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu mnachopitia😭😭😭Asante, tumeshapoa na tunaendelea na taratibu zingine
Wachaga hawana hizoRip - hapo kinachofatia ni kugombania mali na mwisho chako ni chako itabaki jina hapa ndo tunajifunza success is about good management on top
“Sofia sofia nikupeleke Nkuhungu “ by Ben paulAcha uongo. Kaoa mwaka jana, na ndoa yake ilifanyika Nkuhungu kwenye apartments zake.
mbona huk9 juu umesema ameoa mwaka jana na sherehe Ikafanyika kwenye apartment zake?? huku chini unasema ndoa ilikua iwe dec mwaka huu .Thubutu, na hivi hajazaa nae labda huruma za waliotaka kuwa mkwewe