Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kwa ndugu jamaa na marafikiNamfahamu kwa sababu alishawahi kuwa shemeji yangu kwa dada Manka.
God alikuwa na pesa, ila alikuwa mcheshi na wakati mwingine akikasirika kaa mbali nae sana
Ni mtu anayekunywa pombe, tena mnywaji mzuri tu yeye na kampani ya wachaga wenzake ila alifanya maendeleo makubwa sana.
Ana asset's nyingi tu.
Kampani yake wote walikuwa wana biashara zao na maisha yao.
Watalia sana maana walikuwa kila sehemu wako wote.
Poleni sana Godi umeme, Mwacha, Dennis na Imma wa SaturdayBar
Kibosho-Moshi kuna fundi mmoja alikuwa anajenga bila kuwa na msaidizi.Umeongea ukweli matajiri wetu jifunzeni kugawa majukumu kama haya.
1 personal driver
2. Loan manager/ adminstrtor
3. Persnal bussiness advisor/consultant
4. Health adviser or personal doctor.
Utakua umejipunguzia mawazo na stress za kufanya ajali na pressure za mwili, kweli unamiliki biashara worthy 300m ila kila kitu unataka ufanye mwenyewe
Yaani wamiliki wanabadilika badilika.Chako ni chako mbona ni bar ya zamani sana au aliinunua?
Umri wake na umri wa hiyo bar chako ni chako umenichanganya kidogo
Kwamba alipata utajiri angali mtoto?Chako ni chako mbona ni bar ya zamani sana au aliinunua?
Umri wake na umri wa hiyo bar chako ni chako umenichanganya kidogo
Ok asante kwa taarifa , nishakula sana kuku wa kuchoma maeneo yaleYaani wamiliki wanabadilika badilika.
Ila yeye ndio kapaweza kakaa sana.
Lile ni eneo la akina Saimon, na jina wametoa wao....hivo God alikuwa mmiliki (kalikodi)
Hakika Mkuu.. watu wengi wenye pesa wanapuuza jambo hili...Poleni sana wafiwa. Ukishafikia level fulani ya mafanikio hupaswi kuwa unaendesha gari lako wewe mwenyewe unapaswa kuendeshwa na dereva mzoefu
RIP mpambanaji...kwa jinsi barabara zetu zilivyo na madereva vichaa wasiozingatia uendeshaji salama,huwa napenda kuwausia vijana wangu waliojipata kiuchumi kuwa na permanent and experienced driver, hasa wanapokuwa kwenye safari ndefu.Ajali zimekuwa zinakatisha maisha ya watu wengi sana ,hasa vijana umri wa kati na mkubwa kwa namna ya ghafla na kusikitisha sana, wanakuwa katika hali ya afya njema na mipango mingi, mara boom!
Apumzike kwa amani, Chako ni chako ni chimbo maarufu sana hata kwa ambao wanafika Dodoma kwa mara ya kwanza wanapenda kwenda " kupaona".
Na kwa Dar ni sawa na wapi?Chako ni chako ni kama ufike Arusha usifike Picnic
Na hata kurudi usiku sana sio salama wahuni wako wengi njianHakika Mkuu.. watu wengi wenye pesa wanapuuza jambo hili...
Kimsingi ukishafikia levo flani ya mafanikio tafuta dereva mzoefu na gari nzuri uwe unaendeshwa....
Hata yule mkurugenzi wa Sauli Co. Ltd... Ni haya haya ya kutokutaka uwe na dereva wako mwenyewe...
Anajikuta bahati mbaya amechoka na shughuli nyingi afu hapo hapo anakamata gari aendeshe... Tena gari zenyewe hizi za speed 240km/h..... Ni hatari sana
Imeandikwa "mwanamke mpumbavu uvunja ndoa yake mwenyewe"Kwa upande mmoja naweza sema "Raha ya milele umpe eeh bwana na Mwanga wa milele umuangazie" lakini kwa hili ulioongea naweza pia nika-entertein "Roho yake ikae Mahali mwenyezi Mungu ataona anastahili"
Mdau anasema " alikuwa ana ndoto nyingi" lakini tukubali ameanza kufanikisha ndoto ya kuchochea ndoa kuvunjika, maendeleo binafsi kudumaa, watoto kutelekezwa
Duh!Pumzika mpambanaji, ulikuwa na ndoto nyingi sana.
Msiba uko nyumbani kwake Swaswa.
Alikuwa mmiliki wa Bar tatu maarufu jijini Dodoma.
1. Chako ni Chako
2. GM Sport & Bar (hii aliifunga ili kuifanyia marekebisho, na mpaka sasa iko kwenye matengenezo, so sad 😔😔)
3. The Avec hii imefunguliwa mwaka huu mwanzoni na ina vibe si la kitoto.
Mdogo sana, wa mwaka 88 au 89 kama sikosei.
Ajali inamaliza ndoto za vijana wengi Duniani.
View attachment 3142700
View attachment 3142627
View attachment 3142654
UMENIKUMBUSHA MBALI NA KIJANA JIRAN ANA MAWE WALIKUWA NA MGODI SIKU ANAERUDI AKATAKA COMP NKAMWAMBIA GARI NDOGO. SAFARI NDEFU SIPANDIRIP mpambanaji...kwa jinsi barabara zetu zilivyo na madereva vichaa wasiozingatia uendeshaji salama,huwa napenda kuwausia vijana wangu waliojipata kiuchumi kuwa na permanent and experienced driver, hasa wanapokuwa kwenye safari ndefu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hao watu wakibosho kama ni ubahiri wamezidi, unajenga je bila kua na msaidizi?Kibosho-Moshi kuna fundi mmoja alikuwa anajenga bila kuwa na msaidizi.
Hii ni hulka ya Wachagga wengi haswa wa Kibosho. Kutaka kufanya kila jambo mwenye
Dah so sad aiseeHakuoa, alikuwa anaishi na mchumba. Ndoa ilikuwa ifanyike December hii Christmas kwao Kibosho