TANZIA Mmiliki na Mkurugenzi wa Bar ya Chako ni Chako jijini Dodoma, God Makoi, afariki dunia kwa ajali ya gari

TANZIA Mmiliki na Mkurugenzi wa Bar ya Chako ni Chako jijini Dodoma, God Makoi, afariki dunia kwa ajali ya gari

Asante Detective J
Iliyumba ikagonga nguzo kisha ikabiringika kule barabara ya kwa waziri mkuu alikokuwa anaelekea kwake.
Nahisi alichukua gari ya rafiki yake kwa maana yeye binafsi ana gari 2, Harrier new model na Prado.

Ila kifo kikikuita, haijalishi uko na gari yako au ya mwenzako.
Nawaza je, Chako ni chako bar pamoja na ya kule Iringa road (The Avec) zitapata wasimamizi wazuri, maana mdogo wake wa tumbo moja Richard ambae alikuwa anamfundisha kazi, huu mzigo kwake utakuwa mkubwa sana, sidhani kama atauweza, labda aache pombe🍺🥃
God bado alikuwa anapambania ndoto zake kijana wa watu.

Wahudumu wengi walioko sijui Platinum, Rainbow, Bambalaga, Waswano, The Bistro... wote walipitia hapo Chako ni chako (kabla ya God kumiliki)
Poleni sana mkuu. Inaonekana unamfahamu vilivyo. Sad ameondoka kijana, taifa likiwa bado linamhitaji.
Kama alivyoandoka mchangiaji mmoja hapo juu, ukishafika level ya kuwa na issues nyingi katika maisha na uchumi imara, ni vema ukiwa na dereva especially nyakati za usiku. Huyu naamini alikuwa na mambo mengi yanahitaji attention yake.
Tujifunze. Mambo mengine siyo luxury ni uhalisia wa maisha.
 
Pumzika mpambanaji, ulikuwa na ndoto nyingi sana.
Msiba uko nyumbani kwake Swaswa.

Alikuwa mmiliki wa Bar tatu maarufu jijini Dodoma.
1. Chako ni Chako
2. GM Sport & Bar (hii aliifunga ili kuifanyia marekebisho, na mpaka sasa iko kwenye matengenezo, so sad 😔😔)
3. The Avec hii imefunguliwa mwaka huu mwanzoni na ina vibe si la kitoto.

Mdogo sana, wa mwaka 88 au 89 kama sikosei.
Ajali inamaliza ndoto za vijana wengi Duniani.

View attachment 3142627
View attachment 3142654
Baada ya Tajir Saul
 
Yaani katika picha zake zote ndio umeweka hii akipiga mbege?!! 🤔
20241103_164433.jpg
 
Poleni sana mkuu. Inaonekana unamfahamu vilivyo. Sad ameondoka kijana, taifa likiwa bado linamhitaji.
Kama alivyoandoka mchangiaji mmoja hapo juu, ukishafika level ya kuwa na issues nyingi katika maisha na uchumi imara, ni vema ukiwa na dereva especially nyakati za usiku. Huyu naamini alikuwa na mambo mengi yanahitaji attention yake.
Tujifunze. Mambo mengine siyo luxury ni uhalisia wa maisha.
Umeongea ukweli matajiri wetu jifunzeni kugawa majukumu kama haya.
1 personal driver
2. Loan manager/ adminstrtor
3. Persnal bussiness advisor/consultant
4. Health adviser or personal doctor.
Utakua umejipunguzia mawazo na stress za kufanya ajali na pressure za mwili, kweli unamiliki biashara worthy 300m ila kila kitu unataka ufanye mwenyewe
 
Poleni sana mkuu. Inaonekana unamfahamu vilivyo. Sad ameondoka kijana, taifa likiwa bado linamhitaji.
Kama alivyoandoka mchangiaji mmoja hapo juu, ukishafika level ya kuwa na issues nyingi katika maisha na uchumi imara, ni vema ukiwa na dereva especially nyakati za usiku. Huyu naamini alikuwa na mambo mengi yanahitaji attention yake.
Tujifunze. Mambo mengine siyo luxury ni uhalisia wa maisha.
Namfahamu kwa sababu alishawahi kuwa shemeji yangu kwa dada Manka.
God alikuwa na pesa, ila alikuwa mcheshi na wakati mwingine akikasirika kaa mbali nae sana
Ni mtu anayekunywa pombe, tena mnywaji mzuri tu yeye na kampani ya wachaga wenzake ila alifanya maendeleo makubwa sana.
Ana asset's nyingi tu.

Kampani yake wote walikuwa wana biashara zao na maisha yao.
Watalia sana maana walikuwa kila sehemu wako wote.
Poleni sana Godi umeme, Mwacha, Dennis na Imma wa SaturdayBar
 
Back
Top Bottom