Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ndipo wahindi wanatupiga gap kubwa. Akifariki Boss mwenyewe, waliobakia hawateteleki miradi na biashara zinaendelea kama kawaida.mali na mwisho chako ni chako itabaki jina hapa ndo tunajifunza success is about good management on top
Jamaa seems yuko vizuri ni mchaga wakibosho? anaijua biashara na helaNamjuwa kitambo sana alianza
Kimzamzaa
Ova
Poleni sana mkuu. Inaonekana unamfahamu vilivyo. Sad ameondoka kijana, taifa likiwa bado linamhitaji.Asante Detective J
Iliyumba ikagonga nguzo kisha ikabiringika kule barabara ya kwa waziri mkuu alikokuwa anaelekea kwake.
Nahisi alichukua gari ya rafiki yake kwa maana yeye binafsi ana gari 2, Harrier new model na Prado.
Ila kifo kikikuita, haijalishi uko na gari yako au ya mwenzako.
Nawaza je, Chako ni chako bar pamoja na ya kule Iringa road (The Avec) zitapata wasimamizi wazuri, maana mdogo wake wa tumbo moja Richard ambae alikuwa anamfundisha kazi, huu mzigo kwake utakuwa mkubwa sana, sidhani kama atauweza, labda aache pombe🍺🥃
God bado alikuwa anapambania ndoto zake kijana wa watu.
Wahudumu wengi walioko sijui Platinum, Rainbow, Bambalaga, Waswano, The Bistro... wote walipitia hapo Chako ni chako (kabla ya God kumiliki)
uitume kwangunakubali fine
Baada ya Tajir SaulPumzika mpambanaji, ulikuwa na ndoto nyingi sana.
Msiba uko nyumbani kwake Swaswa.
Alikuwa mmiliki wa Bar tatu maarufu jijini Dodoma.
1. Chako ni Chako
2. GM Sport & Bar (hii aliifunga ili kuifanyia marekebisho, na mpaka sasa iko kwenye matengenezo, so sad 😔😔)
3. The Avec hii imefunguliwa mwaka huu mwanzoni na ina vibe si la kitoto.
Mdogo sana, wa mwaka 88 au 89 kama sikosei.
Ajali inamaliza ndoto za vijana wengi Duniani.
View attachment 3142627
View attachment 3142654
Kashika Chibuku lake a.k.a bohora Cc Fake P poleni wana DodomaYaani katika picha zake zote ndio umeweka hii akipiga mbege
Yaani katika picha zake zote ndio umeweka hii akipiga mbege?!! 🤔
Aisee, pole kwa familia, walevi, wazee wa nyama choma, malaya na wote walioguswa na msiba.
Inaonekana ni Brevis, na iliacha njia na kupinduka maana mbele na nyuma ni nzimaDuh gari gani hiyo nikama itCorona? Naona kama ilidodoka ikavurunguka mara kadhaa
Umeongea ukweli matajiri wetu jifunzeni kugawa majukumu kama haya.Poleni sana mkuu. Inaonekana unamfahamu vilivyo. Sad ameondoka kijana, taifa likiwa bado linamhitaji.
Kama alivyoandoka mchangiaji mmoja hapo juu, ukishafika level ya kuwa na issues nyingi katika maisha na uchumi imara, ni vema ukiwa na dereva especially nyakati za usiku. Huyu naamini alikuwa na mambo mengi yanahitaji attention yake.
Tujifunze. Mambo mengine siyo luxury ni uhalisia wa maisha.
Kibosho, yesAtakuwa ni mkibosho huyo akina Makoi
Namfahamu kwa sababu alishawahi kuwa shemeji yangu kwa dada Manka.Poleni sana mkuu. Inaonekana unamfahamu vilivyo. Sad ameondoka kijana, taifa likiwa bado linamhitaji.
Kama alivyoandoka mchangiaji mmoja hapo juu, ukishafika level ya kuwa na issues nyingi katika maisha na uchumi imara, ni vema ukiwa na dereva especially nyakati za usiku. Huyu naamini alikuwa na mambo mengi yanahitaji attention yake.
Tujifunze. Mambo mengine siyo luxury ni uhalisia wa maisha.
Ila jamaa kama ndo huyu amevuka miaka 30, kama walivyo sema hiyo nikama 40s sio 30s.