BUKU 1 800
JF-Expert Member
- Oct 5, 2024
- 1,175
- 2,125
Viburudisho mbalimbali inategemea wewe umefuata kiburudisho ganBar inauza bidhaa gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viburudisho mbalimbali inategemea wewe umefuata kiburudisho ganBar inauza bidhaa gani?
Hilo gari limeangukiwa na mti au?
Chako ni chako ni kama ufike Arusha usifike PicnicKweli aisee ukienda Dom na hujafika hapo ni sawa kama hujawahi kufika Dom.
Kuna tofauti kati ya typo na kutojua kuandika neno. Kwa kutumia akili za kawaida kabisa unaweza kung'amua kuwa huyu aliyeandika ''kutiza'' alitaka kuandika ''kutoza''. Huyo wa ''ajari'' ni wale wazee kata!Kutiza❌
Kutoza✅
Toa kibanzi kwenye jicho lako kwanza
Kwani kuna Malaya asiyejiuza? Labda wa nyumbani mwako. Jifunze kuheshimu binadamu wenzioChako ni chako si ndo sehemu maarufu kwa malaya wanaojiuza hapo dom
Kwa upande mmoja naweza sema "Raha ya milele umpe eeh bwana na Mwanga wa milele umuangazie" lakini kwa hili ulioongea naweza pia nika-entertein "Roho yake ikae Mahali mwenyezi Mungu ataona anastahili"Chako ni chako si ndo sehemu maarufu kwa malaya wanaojiuza hapo dom
Siyo kweli. Kuna watu wengi tu wanaoendesha magari yao. Cha kuzingatia ni kuendesha kwa kufuata kanuni za usalama na hasa kuepuka speed kali.Poleni sana wafiwa. Ukishafikia level fulani ya mafanikio hupaswi kuwa unaendesha gari lako wewe mwenyewe unapaswa kuendeshwa na dereva mzoefu
Kisababishi cha kifo siyo bidhaa hizo, ni ajali ya vyombo vya moto.Bar inauza bidhaa gani?
nakubali fineKutiza❌
Kutoza✅
Toa kibanzi kwenye jicho lako kwanza
Wewe ni nani mpaka uchukuwe nafasi ya Mungu ya kuhukumu? Umejaa chuki na ubinafsi sana. Hivi unajua mtu anayejiita kiongozi wa dini anaweza kuwa anaharibu jamii kuliko mwenye bar?Kwa upande mmoja naweza sema "Raha ya milele umpe eeh bwana na Mwanga wa milele umuangazie" lakini kwa hili ulioongea naweza pia nika-entertein "Roho yake ikae Mahali mwenyezi Mungu ataona anastahili"
Mdau anasema " alikuwa ana ndoto nyingi" lakini tukubali ameanza kufanikisha ndoto ya kuchochea ndoa kuvunjika, maendeleo binafsi kudumaa, watoto kutelekezwa
Tulia kwanzaChako ni chako si ndo sehemu maarufu kwa malaya wanaojiuza hapo dom
Ni ngumu sana kuconcentrate barabarani kwa sababu kichwa chako kinakuwa na mambo mengiSiyo kweli. Kuna watu wengi tu wanaoendesha magari yao. Cha kuzingatia ni kuendesha kwa kufuata kanuni za usalama na hasa kuepuka speed kali.
Aisee pole sana kwa ndugu na familia za muhusika lakin pia marafiki, impact inaonekana kubwa mno , aligongana na semi au kitu gani?Pumzika mpambanaji, ulikuwa na ndoto nyingi sana.
Msiba uko nyumbani kwake Swaswa.
Alikuwa mmiliki wa Bar tatu maarufu jijini Dodoma.
1. Chako ni Chako
2. GM Sport & Bar (hii aliifunga ili kuifanyia marekebisho, na mpaka sasa iko kwenye matengenezo, so sad 😔😔)
3. The Avec hii imefunguliwa mwaka huu mwanzoni na ina vibe si la kitoto.
Mdogo sana, wa mwaka 88 au 89 kama sikosei.
Ajali inamaliza ndoto za vijana wengi Duniani.
View attachment 3142627
View attachment 3142654
Panafanana kila kitu hadi viburudisho vya mwili?Chako ni chako ni kama ufike Arusha usifike Picnic