TANZIA Mmiliki na Mkurugenzi wa Bar ya Chako ni Chako jijini Dodoma, God Makoi, afariki dunia kwa ajali ya gari

apumzike panapo stahili. nikikumbuka ajali mbaya niliyowahi kupata ni MUNGU tu aliniokoa, ungekuta kaburi langu limeota MNAVU mkuubwa kabisa. naamini nitafika uzee na kucheza na wajukuu zangu pamoja na vitukuu.
🙏 Siku haikua umefika mkuu..Mimi pia na imagine nisinge kuepo .
So haya mambo yatufundishe jinsi ya KUISHI.
 
Madereva wa serikali ni vivuruge kuliko hata bodaboda na bajaji.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hao watu wakibosho kama ni ubahiri wamezidi, unajenga je bila kua na msaidizi?
MKuu wabahiri ni hao wanaompa kazi ya Ujenzi ni ajabu bosi ukubali fundi ajenge Nyumba yako bila msaidizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…