TANZIA Mmiliki na Mkurugenzi wa Bar ya Chako ni Chako jijini Dodoma, God Makoi, afariki dunia kwa ajali ya gari

nao makin sana mtumish

Mimi nimekaa hapo dodoma napajua na nina wajua

Vijana wengi sana tumepoteza kwa kuchomana visu dodoma
Mkuu wanaofanya vitendo hivyo ni wazaliwa wa hapo Maana Dodoma sasa hivi ni jiji kama Dar na jiji loote linakusanya Jamii tofaufi.
 
Mbona Bar ya Chako ni Chako ni ya muda mrefu mno sasa kama unasema huyu ni wa mwaka 1989 maana yake hawezi kuwa ndiye mmiliki mwanzilishi vinginevyo awe aliinunua ama alirithishwa.
 
Kama sio mkorofi 🀣 watu watata hata wakitaka kufa huwa wanapambana sana so kufa on your sleep πŸ’€ inategemeana ntu na ntu πŸ˜….
 
Tupatie tu mwelekeo wa huyu Bwana baada ya hiki kifo
 
Chanzo cha ajali itakua ni ulevi
 
Halafu hao hao ndio watunga sheria na wanazivunja
Na polisi waoga hawafuati sheria walizosomea
Yaani mkuu wa police angetoa amri hadharani na kusema polisi wawapige faini hefty ambao watasababisha ajali za kizembe na kukimbia hovyo
 
R.I.P classmate
 
Naona mfiwa umeamua kushusha kichambo 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…