TANZIA Mmiliki na Mkurugenzi wa Bar ya Chako ni Chako jijini Dodoma, God Makoi, afariki dunia kwa ajali ya gari

TANZIA Mmiliki na Mkurugenzi wa Bar ya Chako ni Chako jijini Dodoma, God Makoi, afariki dunia kwa ajali ya gari

nao makin sana mtumish

Mimi nimekaa hapo dodoma napajua na nina wajua

Vijana wengi sana tumepoteza kwa kuchomana visu dodoma
Mkuu wanaofanya vitendo hivyo ni wazaliwa wa hapo Maana Dodoma sasa hivi ni jiji kama Dar na jiji loote linakusanya Jamii tofaufi.
 
Pumzika mpambanaji, ulikuwa na ndoto nyingi sana.
Msiba uko nyumbani kwake Swaswa.

Alikuwa mmiliki wa Bar tatu maarufu jijini Dodoma.
1. Chako ni Chako
2. GM Sport & Bar (hii aliifunga ili kuifanyia marekebisho, na mpaka sasa iko kwenye matengenezo, so sad 😔😔)
3. The Avec hii imefunguliwa mwaka huu mwanzoni na ina vibe si la kitoto.

Mdogo sana, wa mwaka 88 au 89 kama sikosei.
Ajali inamaliza ndoto za vijana wengi Duniani.

Huwa anatembeaga na pesa kwenye gari, sijui kama zimesalimika
View attachment 3142700
View attachment 3142627
View attachment 3142705View attachment 3142654
Mbona Bar ya Chako ni Chako ni ya muda mrefu mno sasa kama unasema huyu ni wa mwaka 1989 maana yake hawezi kuwa ndiye mmiliki mwanzilishi vinginevyo awe aliinunua ama alirithishwa.
 
Hapo kama hakuwaandaa watoto ama Mke kwaajili ya uendelezaji wa biashara zake, ndiyo mwanzo wa mwisho wa hizo biashara zake

Poleni wote mlioguswa na Msiba wake, mbele yetu nyuma yake 😭😭

Kwa sisi tulio hai, tujiandae huku tukisikiliza wimbo wa "King Crazy GK~ Nitakufaje"

If I would have an option to choose, I will prefer dying during my sleep 🙏🙏
Kama sio mkorofi 🤣 watu watata hata wakitaka kufa huwa wanapambana sana so kufa on your sleep 💤 inategemeana ntu na ntu 😅.
 
Pumzika mpambanaji, ulikuwa na ndoto nyingi sana.
Msiba uko nyumbani kwake Swaswa.

Alikuwa mmiliki wa Bar tatu maarufu jijini Dodoma.
1. Chako ni Chako
2. GM Sport & Bar (hii aliifunga ili kuifanyia marekebisho, na mpaka sasa iko kwenye matengenezo, so sad 😔😔)
3. The Avec hii imefunguliwa mwaka huu mwanzoni na ina vibe si la kitoto.

Mdogo sana, wa mwaka 88 au 89 kama sikosei.
Ajali inamaliza ndoto za vijana wengi Duniani.

Huwa anatembeaga na pesa kwenye gari, sijui kama zimesalimika
View attachment 3142700
View attachment 3142627
View attachment 3142705View attachment 3142654
Tupatie tu mwelekeo wa huyu Bwana baada ya hiki kifo
 
Pumzika mpambanaji, ulikuwa na ndoto nyingi sana.
Msiba uko nyumbani kwake Swaswa.

Alikuwa mmiliki wa Bar tatu maarufu jijini Dodoma.
1. Chako ni Chako
2. GM Sport & Bar (hii aliifunga ili kuifanyia marekebisho, na mpaka sasa iko kwenye matengenezo, so sad 😔😔)
3. The Avec hii imefunguliwa mwaka huu mwanzoni na ina vibe si la kitoto.

Mdogo sana, wa mwaka 88 au 89 kama sikosei.
Ajali inamaliza ndoto za vijana wengi Duniani.

Huwa anatembeaga na pesa kwenye gari, sijui kama zimesalimika
View attachment 3142700
View attachment 3142627
View attachment 3142705View attachment 3142654
Chanzo cha ajali itakua ni ulevi
 
Siyo tu wenye magari wawe waangalifu barabarani. Hata watembea kwa miguu wawe waangalifu nao.

Mara nyingi nikiwa nimesimama nasubiri magari yapungue nivuke, gari za serikali hasa SUV zina tabia ya kuover take sana. Mtembea kwa miguu umeshajiridhisha umeangalia pande zote kwa umakini, unashangaa SUV ya serikali inatokeza pembeni kwa mwendo mkali. Ukiwa na haraka ya kuvuka inakupitia
Halafu hao hao ndio watunga sheria na wanazivunja
Na polisi waoga hawafuati sheria walizosomea
Yaani mkuu wa police angetoa amri hadharani na kusema polisi wawapige faini hefty ambao watasababisha ajali za kizembe na kukimbia hovyo
 
Pumzika mpambanaji, ulikuwa na ndoto nyingi sana.
Msiba uko nyumbani kwake Swaswa.

Alikuwa mmiliki wa Bar tatu maarufu jijini Dodoma.
1. Chako ni Chako
2. GM Sport & Bar (hii aliifunga ili kuifanyia marekebisho, na mpaka sasa iko kwenye matengenezo, so sad 😔😔)
3. The Avec hii imefunguliwa mwaka huu mwanzoni na ina vibe si la kitoto.

Mdogo sana, wa mwaka 88 au 89 kama sikosei.
Ajali inamaliza ndoto za vijana wengi Duniani.

Huwa anatembeaga na pesa kwenye gari, sijui kama zimesalimika
View attachment 3142700
View attachment 3142627
View attachment 3142705View attachment 3142654
R.I.P classmate
 
Ila kwanini vichwa vyenu vigumu kuelewa?
Aliyewaambia alikuwa anafuga malaya ni nani?
Hivi, kwa akili yako kuna sehemu ambayo utaweka bar waje kunywa wanaume pekee?
Halafu naomba nikusahihishe kitu kimoja usichokijua, ukiongelea Chako ni Chako unamaanisha ni eneo la kuanzia huku barabarani kwa Montana mpaka usawa wa Platinum bar.
Eneo lote hilo wanawake huwa wanasimama kutafuta pesa ila si ndani ya bar, elewa kiswahili. Halafu wanawake wanaojiuza wanapatikana kule chini kwa Mwana bar uwanjani au tukupeleke? Msiwe mnajifanya wasafi sana kiasi muanze kuhukumu wenzenu acha kila mtu akahukumiwe kwa stahiki na matendo yake. Huwa nakerekwa sana kuona binaadam ambaye nae ni nyama na mifupa anapoanza kutoa hukumu ya fulani wakati hamjui hata chembe tena ndio kwanza anamsikia. Mlishawahi kuulizia historia ya wazazi wenu walipokutana?
KAA KIMYA NA UENDELEE KUSOMA COMMENTS ZA WENZAKO MAANA HUIJUI CHAKO NI CHAKO NA WALA HUMJUI MAREHEMU ILA UNAENDESHWA NA MIHEMKO TU.
Naona mfiwa umeamua kushusha kichambo 😁
 
Back
Top Bottom