TANZIA Mmiliki na Mkurugenzi wa Bar ya Chako ni Chako jijini Dodoma, God Makoi, afariki dunia kwa ajali ya gari

Ajari hizi 😦
 

Ulale pema peponi kamanda chako ni chako - "siku za mwana damu aliyezaliwa na mwanamke si nyingi"
 
Kweli aisee ukienda Dom na hujafika hapo ni sawa kama hujawahi kufika Dom.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…