Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe elewa tu hivyo hivyoUkimaanisha gym au nini?
Punguza ukali wa manenoChako ni Chako sehemu ya makahaba wachafu na kuku vibudu.
RIP mmiliki.
Nipe neno mbadala wa kahaba mchafu na kuku kibudu.Punguza ukali wa maneno
Kituo cha kupunguza mafuta mwiliniNimpe neno mbadala wa kahaba mchafu na kuku kibudu.
BrevisDuh gari gani hiyo nikama itCorona? Naona kama ilidodoka ikavurunguka mara kadhaa
Mid thirties, nimeumia sana aisee alikuwa mshikaj wangu gari hiyo apo imechakaa
Umenifanya nicheke kwa hili jibu. Umeshinda😂😂😂😂Kituo cha kupunguza mafuta mwilini
Atakuwa ni mkibosho huyo akina MakoiYaani katika picha zake zote ndio umeweka hii akipiga mbege?!! 🤔
Usiendeshe huku unapigishwa bj utagonga lamiDont drink and drive
Kutiza ndio kitu gani... Kutoza ndio sahihi...BAKITA itabidi lianze kutiza fine kwenye hili tatizo
Ajari hizi 😦Pumzika mpambanaji, ulikuwa na ndoto nyingi sana.
Msiba uko nyumbani kwake Swaswa.
Alikuwa mmiliki wa Bar tatu maarufu jijini Dodoma.
1. Chako ni Chako
2. GM Sport & Bar (hii aliifunga ili kuifanyia marekebisho, na mpaka sasa iko kwenye matengenezo, so sad 😔😔)
3. The Avec hii imefunguliwa mwaka huu mwanzoni na ina vibe si la kitoto.
Mdogo sana, wa mwaka 88 au 89 kama sikosei.
Ajali inamaliza ndoto za vijana wengi Duniani.
View attachment 3142627
View attachment 3142654
Duh, ina onekana alikua kasi na aka lose control na kuhama njia hiyo gari inakimbia sanaa.Brevis
Hivyo ni vituo km sheli za kujaza mafutaUmenifanya nicheke kwa hili jibu. Umeshinda😂😂😂😂
Pumzika mpambanaji, ulikuwa na ndoto nyingi sana.
Msiba uko nyumbani kwake Swaswa.
Alikuwa mmiliki wa Bar tatu maarufu jijini Dodoma.
1. Chako ni Chako
2. GM Sport & Bar (hii aliifunga ili kuifanyia marekebisho, na mpaka sasa iko kwenye matengenezo, so sad 😔😔)
3. The Avec hii imefunguliwa mwaka huu mwanzoni na ina vibe si la kitoto.
Mdogo sana, wa mwaka 88 au 89 kama sikosei.
Ajali inamaliza ndoto za vijana wengi Duniani.
View attachment 3142627
View attachment 3142654
Ulale pema peponi kamanda chako ni chako - "siku za mwana damu aliyezaliwa na mwanamke si nyingi"Pumzika mpambanaji, ulikuwa na ndoto nyingi sana.
Msiba uko nyumbani kwake Swaswa.
Alikuwa mmiliki wa Bar tatu maarufu jijini Dodoma.
1. Chako ni Chako
2. GM Sport & Bar (hii aliifunga ili kuifanyia marekebisho, na mpaka sasa iko kwenye matengenezo, so sad 😔😔)
3. The Avec hii imefunguliwa mwaka huu mwanzoni na ina vibe si la kitoto.
Mdogo sana, wa mwaka 88 au 89 kama sikosei.
Ajali inamaliza ndoto za vijana wengi Duniani.
View attachment 3142627
View attachment 3142654
Kweli aisee ukienda Dom na hujafika hapo ni sawa kama hujawahi kufika Dom.Ajali zimekuwa zinakatisha maisha ya watu wengi sana ,hasa vijana umri wa kati na mkubwa kwa namna ya ghafla na kusikitisha sana, wanakuwa katika hali ya afya njema na mipango mingi, mara boom!
Apumzike kwa amani, Chako ni chako ni chimbo maarufu sana hata kwa ambao wanafika Dodoma kwa mara ya kwanza wanapenda kwenda " kupaona".