TANZIA Mmiliki na Mkurugenzi wa Bar ya Chako ni Chako jijini Dodoma, God Makoi, afariki dunia kwa ajali ya gari

TANZIA Mmiliki na Mkurugenzi wa Bar ya Chako ni Chako jijini Dodoma, God Makoi, afariki dunia kwa ajali ya gari

😂😂😂kweli upo sawa kichwani wewe? Huyo marehemu hafai kuigwa katika jamii sasa mtu anauza pombe na kumiliki danguro hivi kwa akili yako unaona ni mtu aliyekawa bora katika ustawi wa jamii kiujumla?wewe ni mkristo tatizo hapo kwa ushaamini Yesu kachukua dhambi za huyo aliyekataa kutii sheria za Mungu
Mkristo, Muislamu, Mpagani, haihusiani na hoja yangu kwako, hoja yangu kwako ni kuwa, wewe ni msafi? Kama ni msafi basi una haki zote kuhoji uchafu wa marehemu ewe uliye mtakatifu.
 
Mkristo, Muislamu, Mpagani, haihusiani na hoja yangu kwako, hoja yangu kwako ni kuwa, wewe ni msafi? Kama ni msafi basi una haki zote kuhoji uchafu wa marehemu ewe uliye mtakatifu.
Ndio maana tangu mwanzo ulikwepa kujibu nilichokuuliza kuhusu dini yako....nikuulize kitu kuna dini imeruhusu kuwa pombe ni halali?
 
Ndio maana tangu mwanzo ulikwepa kujibu nilichokuuliza kuhusu dini yako....nikuulize kitu kuna dini imeruhusu kuwa pombe ni halali?
Hapa tunaongelea uhalali wako wa kuhoji usafi wa binadamu mwingine, sio uchafu ulioanishwa na vitabu vya dini. Wewe una uhalali wa kuhoji uchafu wa marehemu? Wewe ni msafi? Sema ndio kama ni msafi utakuwa umefunga mjadala.
 
Pombe mtumish

Nakusihi sana kuna life style flan hivi kwenye maisha haifai kabisa

Hata kuchomana visu na kuuana dodoma ndo inaongoza

Dodoma ni mkoa wenye vijana wajinga sana

Mtu anaweza kukuta umesimama na mdada huna hili wala lile unashangaa tu una kisu cha tumbo

Unakuta kijana alikuwa na demu wake miaka miwili iliyopita wakatengana kesho na kesho kutwa wewe ukianzisha naye mahusiano anaanza kukuwinda huyo x wake bila sababu yeyeto

Wanaume wa Kigogo wanawivu mbaya sana wa kuua.
Hiyo roho inawatawala sana.
Hawajui ku-reason wala nini wao ni kuua tu
 
Ikiwa umejenga msikiti halafu wasimamizi wa msikiti wakawa wazinzi
Je utapata thawabu?

Afadhali hata ya wazinzi maana mzinzi anazini kwa raha zake kujifurahisha
Nafsi yake bila kumdhuru mtu mwingine.
Wachawi je ? !
Kazi yao kuua watu, kuharibu maisha ya watu walofanikiwa, uchawi ndio dhambi mbaya na kubwa kuliko zote duniani.
Ndio maana wamelaaniwa na vizazi vyao vyote.
Ukizaliwa na Mchawi umekwisha na vizazi vyako labda upate Neema uokoke.
 
Nimekuambia hivi kwa mujibu wa dini ni kwamba dhambi usipoikemea hata wewe utaulizwa hiyo siku kwahiyo marehemu hakuwa mtu mzuri kwanini auze pombe na kufuga malaya?

wanasema na biashara ya guest houses eti tena ?!
Yaani zote biashara za dhambi tupu ?
Mwenyezi Mungu atuhurumie mno na kutusitiri.
Actually hatupaswi kumhukumu yeye bali kwetu liwe funzo,
Huyo yake imeisha.
Maana Imeandikwa: baada ya kifo ni hukumu.
Na hutokea automatically.
Tujitafakali sisi njia na mienendo yetu je inampendeza Mungu na wanadamu ?
Kama sivyo tujirekebishe na kutubu na kumgeukia Mungu.
 
Madereva wa serikali ni vivuruge kuliko hata bodaboda na bajaji.
Kabisa.
Sijui wanajikutaga kina nani.
Halafu na maboss wao inamaana wana ridhika na huo utovu wa nidhamu barabarani na mwisho wa siku wanakuwa victims wote.
Yaani unafanya betting ya uhai wako ??! Ambao ukipotea hauwezi kurejea.
Unakubalije layman au mtu mwingine ahatarishe maisha yako.
Ndio maana huwa nasema hata tunaozani ni wasomi wengi Hawana mindset transformation.
Wameungaunga na kudesa masomoni mwao hadi vyuoni ili mradi wametoka na vyeti basi.
 
wanasema na biashara ya guest houses eti tena ?!
Yaani zote biashara za dhambi tupu ?
Mwenyezi Mungu atuhurumie mno na kutusitiri.
Actually hatupaswi kumhukumu yeye bali kwetu liwe funzo,
Huyo yake imeisha.
Maana Imeandikwa: baada ya kifo ni hukumu.
Na hutokea automatically.
Tujitafakali sisi njia na mienendo yetu je inampendeza Mungu na wanadamu ?
Kama sivyo tujirekebishe na kutubu na kumgeukia Mungu.
Mkuu kuhusu Guest sio dhambi fikiria mimi dar sio mwenyeji je nikija kufuata biashara kutoka huku mtwara nitafikia wapi?dhambi inakuja pale unapoifanya kama danguro(short time)
 
Yani kuna mafanikio ya level fulani ukifikia na aina ya economic activities zako unazofanya unatakiwa ufanye maamuzi magumu ya kuacha kunywa pombe ya aina yoyote ili uweze kuepukana na maangamivu.
Seriously.
Ingependeza mno kusikia jamaa mmiliki wa baa lakini hanywi pombe kabisa !
Eti badala yake mnakuwa makomba nyie ?!
Ni hatari kwa uhai wenu.
Ukiwa timamu ni rahisi ku reason mambo mengi na kuchukua tahadhari.
Tujitakali.
Pia kujitahidi kuwa watu wa ibada
Tumche Mungu itasaidia kuepukana na mengi maana watu hatupendani,
Marafiki ni Watu wabaya sana anakuchekea mdomoni moyoni anajipiza kukuharibu maisha yako.
Ndugu halikadhalika ndio usiseme.
 
Back
Top Bottom