Optimist_Tz
JF-Expert Member
- Jan 11, 2024
- 1,543
- 1,860
Lakini alfajiri kubwa hiyo ilikuwaje awe amelewa?
Kwamba alikesha akinywa ?
Au ni ndaza kaamka nazo ?
Labda mseme mwendokasi lakini ulevi Sijui aisee unless awe alikuwa na company ya washikaji zake walokuwa wakinywa wote na kuwaacha.
Na Kwanini akeshe anakunywa ?
lack of discipline ??
Kuna taarifa zinakosekana.
Maana maswali ni mengi kuliko majibu.
Huenda kuna watesi wamefanya hila kisha kutaka kuvunga Maboya ionekane ni sababu ya ulefi kupindukia.
Kwamba alikesha akinywa ?
Au ni ndaza kaamka nazo ?
Labda mseme mwendokasi lakini ulevi Sijui aisee unless awe alikuwa na company ya washikaji zake walokuwa wakinywa wote na kuwaacha.
Na Kwanini akeshe anakunywa ?
lack of discipline ??
Kuna taarifa zinakosekana.
Maana maswali ni mengi kuliko majibu.
Huenda kuna watesi wamefanya hila kisha kutaka kuvunga Maboya ionekane ni sababu ya ulefi kupindukia.