TANZIA Mmiliki wa Blog ya Maswa Yetu na MwanaJF, Innocent Lugano Mbwaga afariki dunia

R.I.P my man😪😪
 
RIP Blogger Mbwaga
 
Ushauri kwa Maxence Melo hizi nyuzi za tanzia zisiwe na sehemu ya comment kwa sababu haina maana. Maelezo/maelekezo yote yawekwe kwenye main post. Pole zetu hazina mchango wowote kwa familia wala marehemu. Asante
Sikubaliani na wewe Mimi naona ni muhimu iwepo na iendelee kuwepo........

Pole Kwa ndugu, jamaa na marafiki wote walioguswa na huu msiba......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…