TANZIA Mmiliki wa kampuni ya mabasi ya Tashrif, Hamoud Said Al Habsy afariki dunia

Mto Msangazi, nilikuwepo pale that day. One of our staff made great efforts to swim and she saved some lives. It was a very sad moment! One of our RAAWU chairperson perished in the drown!
Kwani ukiandika kwa kiswahili utakufa?
 
Leo leo wanazika Hakuna Tambo za kuchinja.
Kuna watu walikanusha kuwa Mao staazi hawana Tambo kuoa na kuzikana ama mazishi. Mmoja akapinga kuwa Ni kuwa hawana hela ndio Mana. Kuna mmoja alioa alifanya kufuru alimjibu ivyo. Nadhani Basi Ni upendeleo Wala sio dini Wala baba yake na rangi ama kabila
 
Ewe nafsi ulie tulia rejea kwa mola wako ukiwa umeridhia na umeridhiwa.
Surat Al-fajr[ 27-30]
 
Wala usijali. Yote tushafundishwa hayo. Hakuna kitu kipya ambacho utatufundisha. Uislam umetufundisha kila kitu.

Mbali na hapo, mzee kafa kifo kizuri sana. Kaanguka akitekeleza Swala ya Alfajiri. Katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan tena katika siku ambazo unapatikana katika moja wapo usiku wa Laylatul Qadr. Allah amsamehe na amrehemu. Hujui tu kwa Waislam mwisho mwema ni kitu kikubwa mno kwao.

Allah anipe mwisho mwema
 
Zaidi ya abiria 70 walikufa, hilo bus lilibeba abiria wangapi?
 
Mto Msangazi, nilikuwepo pale that day. One of our staff made great efforts to swim and she saved some lives. It was a very sad moment! One of our RAAWU chairperson perished in the drown!
How many people boarded the Bus?
 
Nadhani ni 92 jerrie

Ni dini ndio inatufundisha hivyo.
 
Zaidi ya abiria 70 walikufa, hilo bus lilibeba abiria wangapi?
Zaidi ya 70, unashangaa nini bongo hii +,?

gazeti la mwananchi:

Mwaka 1998, basi la No Challenge la mkoani Tanga lilipata ajali iliyosababisha vifo vya abiria wapatao 70 kutokana na kile aliyekuwa Kamanda wa Polisi wa Mkoa, Simon Sirro kudai ni mwendo kasi na uzembe wa dereva wa basi hilo. Baadaye basi hilo lilibadilishwa jina na kuitwa Tashrif lakini nalo lilisababisha vifo vya watu 27 katika ajali iliyotokea Korogwe.


https://www.jamiiforums.com/threads...usafiri-tanzania.1941892/page-5#post-41165046
 
Hahahaaaa actually formula ya maisha kuhusu kipato ukipatacho ni kugawanya 70% na 30% kwa mchanganuo ufuatao: 70% ni for your daily expenses (chakula, mavazi, kodi, Nauli etc). Halafu ile 30% inaenda kwenye maeneo 3 kama ifuatavyo : 10% fanya saving ili uweze kununua gari, kwenda vacation Dubai, kununua kiwanja/ujenzi nk... 10% ya pili ni saving for your future investment ikusaidie uzeeni (kununua bonds, hisa nk) na 10% iliyobaki ni saving kwa ajili ya majanga mfano Covid, gari imepata ajali au nyumba imeungua au umevamiwa na wezi wakakomba kila kitu... Mfano kijana kama unapata million moja kwa mwezi tumia 700,000....hizi laki 3 zote ziingie kwenye savings hizo za aina 3 na ukifanikiwa ndani ya miaka 5 utakuwa na milioni 18 (ie. Milioni per each item).
 
Ilikuwa ajali mbaya sana, watu wakaanza kuyaita mabasi yake chinja chinja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…