Kama amepata kwa haki kwa nini amiliki kwa kificho!?Umaskini utakuua
Mwigulu akimiliki wewe kinakuwasha nini?
Sifa ya mtu mwenye pepo la umaskini ni kushinda akiongelea matajiri negatively
Hapahitajiki nabii kukujua kuwa wewe lofa ambaye umepigika kimaisha choka mbaya wewe
Nenda kwa Mwamposya akalikemee hilo pepo lako la umaskini likutoke
Sheria ishabadilika kwa sasa lazima wote wawe listed brela ila inakuwa ya serikali tuHakuna kosa lolote kisheria mtu yoyote kuwa a silent partner kwenye biashara yoyote, as long as hizo fedha za mtaji ni fedha halali!.
P
Ukisoma ubavuni mwa gari ni Esther Luxury LimitedNi kweli kabisa Mkuu Pascal.
Pia tunahitaji kujua kama haya Mabasi yanamilikiwa na Kampuni au Mtu Binafsi?
Ni kama ile hotel ya kule MtwaraHata kule Lindi kuna Mkulima anamiliki Hotel ya Kisasa
Ukitaka kufika kule top lazima ule na serikali.Wanasiasa na matajiri wa Kitanzania karibu wote ni wezi wa Mali za Umma,utajiri wao sio wa jasho bali ni ujanja janja wa Kuwa karibu na Serikali kukwepa kodi na kutumia rasilimali za Nchi.
1.Rostam tajiri Na 2 ,utajiri wake ni wizi mtupu wa Mali za umma na uthibitisho upo wazi.
2.Dewiji Family-ukwepaji wa kodi hasa kwenye sukari
3.Bakhresa ni Mali zilizoibwa na wanasiasa akina Mohammed Salim
The list goes on
Akifanya hivyo, naomba nijulishwe tafadhali. Maana kuna wanasiasa nchini ni mabingwa wa kutuchezea shere.Asante kwa kuumaliza utata huu na ili kuwafunga kabisa watu vilomolomo, elezea thamani ya mabasi hayo, na sources of fund za mmiliki, ili kuondoa possibility ya silent partners ambao wanatoa pesa zao bila majina yao kuonekana.
P
Widambe alikuwa na utajiri wa masharti. Nakumbuka alikufa kwa ajali ya gari alipokuwa anaufuatilia mkokoteni uliobeba mali zake. Imagine tajiri una mabasi lakini unakodi mokoteniWidambe alikuwa Michael Sanga Widambe
Hatari sanaWidambe alikuwa na utajiri wa masharti. Nakumbuka alikufa kwa ajali ya gari alipokuwa anaufuatilia mkokoteni uliobeba mali zake. Imagine tajiri una mabasi lakini unakodi mokoteni
Hii kampuni miaka kadhaa iliyopita ilichukuliwa na Kanisa Katoliki la Njombe! Aisee nilikuwa nawaelewa sana wale Masister waliokuwa wanasafiri na hayo mabasi.Nimesoma na mtoto wake mmoja anaitwa Steven Kihaka
View attachment 2459940
Ushahidi unao kuwa anamiliki kwa kificho ?maskini mkubwa na lofa wa kutupwa wewe uliyejaa pepo la umaskini weweKama amepata kwa haki kwa nini amiliki kwa kificho!?
Huyu Pella nakumbuka iringa, ila alikuwa na skendo ya ulozi, kwamba sharti ni kujisaidia kichakaniSawa
Zamani 1990s Ubora wa mabasi ulifanya Wamiliki wajulikane faster
Mfano Lupelo ( Watson Kihaka), Kiswele (Juma Ngalema), Scandinavian (mzee Abdullah), Matema Beach (Charles Pella), Safina ( Mahenge), Fresh ya Shamba( Chawe) nk
Utajiri ni siri ya mtu ingekuwa kitu cha wazi hata wewe ungekuwa tajiri usingekuwa lofa uliyejaa majungu kutafuta majungu kuwa wengine walipataje pesaShukrani kwa taarifa nzuri, ili kutuondoa Mawenge tuliyonayo tusaidie,
1. Historia ya Mmiliki wa hayo Mabasi na Namna ambavyo alipata Mtaji wa Biashara.
Ushahidi weka acha umbeya wa kimaskiniTatizo ni kwamba unatumia kodi za wavuja jasho kujinufaisha.
Ukijua ndio ulofa wako utaisha?Ni kweli kabisa Mkuu Pascal.
Pia tunahitaji kujua kama haya Mabasi yanamilikiwa na Kampuni au Mtu Binafsi?
Yule wa Iringa pale Miyomboni ni kaka yakeHuyu Pella nakumbuka iringa, ila alikuwa na skendo ya ulozi, kwamba sharti ni kujisaidia kichakani
Sawa sawa mkuu.Yule wa Iringa pale Miyomboni ni kaka yake