Mmiliki wa Mabasi ya Esther Luxury ni Joseph Ngeleuya

Mmiliki wa Mabasi ya Esther Luxury ni Joseph Ngeleuya

Huyo jamaa ni pazia tu, silent partners ni Mwigulu Nchemba, Job Ndugai.
leta ushahidi vinginevyo unatimiza haya maandiko
321434078_865029034698923_2647989194730239944_n.jpg
 
Ushahidi unao kuwa anamiliki kwa kificho ?maskini mkubwa na lofa wa kutupwa wewe uliyejaa pepo la umaskini wewe

Tafuta pesa ikuzoee acha kuhangaika na wenye nazo ambazo tayari zimewazoea

Wewe badala ya kujaa pesa umejaa majungu
Ushahidi unao wewe mke wake. Mimi shamba boy nitautolea wapi!?
 
Shukrani kwa taarifa nzuri, ili kutuondoa Mawenge tuliyonayo tusaidie,

1. Historia ya Mmiliki wa hayo Mabasi .

2. Namna ambavyo alipata Mtaji wa Biashara.

3. Partners wake kwenye Biashara

4. Hapo nimeona taarifa ya Mwaka 2022. Hayo Mabasi yapo kabla ya 2022. Je kabla ya hapo nani alikuwa akimiliki hayo Mabasi?


NB:
Taarifa hizi muhimu zitatusaidia kujua kama Kampuni inahusika na Utakatishaji pesa ama la.
Unatafuta umbeya tu ungekuwa na nia ya kuelewa kwa maelezo na vielelezo alivyotoa ungeelewa lakini kwa vile u mbeya, unachuki, roho mbaya ,na akili mbovu hata akivua nguo zote hutaelewa
 
Umaskini utakuua

Mwigulu akimiliki wewe kinakuwasha nini?

Sifa ya mtu mwenye pepo la umaskini ni kushinda akiongelea matajiri negatively

Hapahitajiki nabii kukujua kuwa wewe lofa ambaye umepigika kimaisha choka mbaya wewe

Nenda kwa Mwamposya akalikemee hilo pepo lako la umaskini likutoke
Mafisi yanaparurana
 
Baada ya uzushi na upotoshaji wa muda mrefu, niliamua kuingia chimbo kutafuta ukweli wa nani ni mmliki wa Mabasi hayo.

Nimekuja na facts ambazo Kila mwenye akili timamu anaweza kuzipata mwenyewe maana zinapatikana Kila mahali.

Mmiliki wa Mabasi ya Esther Luxury Buses ni Mtanzania Mwenzetu kijana Mpambanaji wa siku nyingi katika biashara ya Mabasi, anamiliki Mabasi aina mbalimbali zikiwemo basi hizi zilizokuwa zikihusishwa na Mwanasiasa mmoja hapa nchini.

Mmliki ni Ndugu Joseph Didas Ngeleuya, P.O. Box 71392, Dar es Salaam. 4463. Plot No. 746

Case Closed. Tuache kuzusha mambo.

Property By Joseph Didas Ngeleuya

View attachment 2459930View attachment 2459931View attachment 2459932View attachment 2459933
zanku kuna hivi vitu viwili kwenye mitaji na biashara sijui unavifahamu?
1. Shadow funds
2. Shadow partners
 
Asante kwa kuumaliza utata huu na ili kuwafunga kabisa watu vilomolomo, elezea thamani ya mabasi hayo, na sources of fund za mmiliki, ili kuondoa possibility ya silent partners ambao wanatoa pesa zao bila majina yao kuonekana.

P
Silent partners wapo kila kona Nji hii !!
 
Silent partners wapo kila kona Nji hii !!
It's legal, hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote kuwa a silent partner kwenye biashara yoyote, as long as the invested funds are legit!.

Tofautisha silent partners na shadow partners, kwenye shadow, the money is I'll gotten money, you hide them by putting someone else and you became shadow.
P
 
Sawa

Zamani 1990s Ubora wa mabasi ulifanya Wamiliki wajulikane faster

Mfano Lupelo ( Watson Kihaka), Kiswele (Juma Ngalema), Scandinavian (mzee Abdullah), Matema Beach (Charles Pella), Safina ( Mahenge), Fresh ya Shamba( Chawe) nk
Unajuwa kwa nini makampuni yote hayo hayapo kwa sasa? Ukiacha Scandinavia na Matema Beach ambayo mengi yalikuwa ni mali za wana siasa wa Serikali ya MKAPA kuishia mwaka 2005, wenyewe waliyatoa. Yanayobakia ni mali za kishirikina za wafanyabiashara Wakinga.

Mali za Wakinga hazidumu, huisha mysteriously
 
Asante kwa kuumaliza utata huu na ili kuwafunga kabisa watu vilomolomo, elezea thamani ya mabasi hayo, na sources of fund za mmiliki, ili kuondoa possibility ya silent partners ambao wanatoa pesa zao bila majina yao kuonekana.

P
Wewe naona uliamua kutumia weledi kumsukumia mtaroni mleta mada huku akiamini unamsaidia🤣
 
It's legal, hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote kuwa a silent partner kwenye biashara yoyote, as long as the invested funds are legit!.

Tofautisha silent partners na shadow partners, kwenye shadow, the money is I'll gotten money, you hide them by putting someone else and you became shadow.
P
Kaka kiingereza hapo hujakifanyia editing.
 
It's legal, hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote kuwa a silent partner kwenye biashara yoyote, as long as the invested funds are legit!.

Tofautisha silent partners na shadow partners, kwenye shadow, the money is I'll gotten money, you hide them by putting someone else and you became shadow.
P

Hiki kiingereza hapana. Kimevunjika sana
 
Umaskini utakuua

Mwigulu akimiliki wewe kinakuwasha nini?

Sifa ya mtu mwenye pepo la umaskini ni kushinda akiongelea matajiri negatively

Hapahitajiki nabii kukujua kuwa wewe lofa ambaye umepigika kimaisha choka mbaya wewe

Nenda kwa Mwamposya akalikemee hilo pepo lako la umaskini likutoke
Yaan wewe ndio mimi. Mwanaume mzima unafanya kazi za kuhesabu matajiri mjini kweli.
 
Unajuwa kwa nini makampuni yote hayo hayapo kwa sasa? Ukiacha Scandinavia na Matema Beach ambayo mengi yalikuwa ni mali za wana siasa wa Serikali ya MKAPA kuishia mwaka 2005, wenyewe waliyatoa. Yanayobakia ni mali za kishirikina za wafanyabiashara Wakinga.

Mali za Wakinga hazidumu, huisha mysteriously
Mbona Vunjabei wa Simba aka Makolo anadunda tu

Hao unaowasema ni Wakinga wa zamani
 
Back
Top Bottom