misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Nimekumbuka iringa miaka ya 2000sComfort yalikuwa ya Anderson Mwanyato ila.alifariki na Biashara zikafa
Hizo Upendo ni za akina Nyagawa na kuna Wanasiasa waliingiza mabasi yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekumbuka iringa miaka ya 2000sComfort yalikuwa ya Anderson Mwanyato ila.alifariki na Biashara zikafa
Hizo Upendo ni za akina Nyagawa na kuna Wanasiasa waliingiza mabasi yao
leta ushahidi vinginevyo unatimiza haya maandikoHuyo jamaa ni pazia tu, silent partners ni Mwigulu Nchemba, Job Ndugai.
Ushahidi unao wewe mke wake. Mimi shamba boy nitautolea wapi!?Ushahidi unao kuwa anamiliki kwa kificho ?maskini mkubwa na lofa wa kutupwa wewe uliyejaa pepo la umaskini wewe
Tafuta pesa ikuzoee acha kuhangaika na wenye nazo ambazo tayari zimewazoea
Wewe badala ya kujaa pesa umejaa majungu
Unatafuta umbeya tu ungekuwa na nia ya kuelewa kwa maelezo na vielelezo alivyotoa ungeelewa lakini kwa vile u mbeya, unachuki, roho mbaya ,na akili mbovu hata akivua nguo zote hutaelewaShukrani kwa taarifa nzuri, ili kutuondoa Mawenge tuliyonayo tusaidie,
1. Historia ya Mmiliki wa hayo Mabasi .
2. Namna ambavyo alipata Mtaji wa Biashara.
3. Partners wake kwenye Biashara
4. Hapo nimeona taarifa ya Mwaka 2022. Hayo Mabasi yapo kabla ya 2022. Je kabla ya hapo nani alikuwa akimiliki hayo Mabasi?
NB:
Taarifa hizi muhimu zitatusaidia kujua kama Kampuni inahusika na Utakatishaji pesa ama la.
Kumbe mnawajuaHuyo jamaa ni pazia tu, silent partners ni Mwigulu Nchemba, Job Ndugai.
Kumbe mnawajuaHuyo jamaa ni pazia tu, silent partners ni Mwigulu Nchemba, Job Ndugai.
Mafisi yanaparuranaUmaskini utakuua
Mwigulu akimiliki wewe kinakuwasha nini?
Sifa ya mtu mwenye pepo la umaskini ni kushinda akiongelea matajiri negatively
Hapahitajiki nabii kukujua kuwa wewe lofa ambaye umepigika kimaisha choka mbaya wewe
Nenda kwa Mwamposya akalikemee hilo pepo lako la umaskini likutoke
zanku kuna hivi vitu viwili kwenye mitaji na biashara sijui unavifahamu?Baada ya uzushi na upotoshaji wa muda mrefu, niliamua kuingia chimbo kutafuta ukweli wa nani ni mmliki wa Mabasi hayo.
Nimekuja na facts ambazo Kila mwenye akili timamu anaweza kuzipata mwenyewe maana zinapatikana Kila mahali.
Mmiliki wa Mabasi ya Esther Luxury Buses ni Mtanzania Mwenzetu kijana Mpambanaji wa siku nyingi katika biashara ya Mabasi, anamiliki Mabasi aina mbalimbali zikiwemo basi hizi zilizokuwa zikihusishwa na Mwanasiasa mmoja hapa nchini.
Mmliki ni Ndugu Joseph Didas Ngeleuya, P.O. Box 71392, Dar es Salaam. 4463. Plot No. 746
Case Closed. Tuache kuzusha mambo.
Property By Joseph Didas Ngeleuya
View attachment 2459930View attachment 2459931View attachment 2459932View attachment 2459933
Silent partners wapo kila kona Nji hii !!Asante kwa kuumaliza utata huu na ili kuwafunga kabisa watu vilomolomo, elezea thamani ya mabasi hayo, na sources of fund za mmiliki, ili kuondoa possibility ya silent partners ambao wanatoa pesa zao bila majina yao kuonekana.
P
It's legal, hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote kuwa a silent partner kwenye biashara yoyote, as long as the invested funds are legit!.Silent partners wapo kila kona Nji hii !!
Alikuwepo Mkuu, ndiyo maana hizo basi zilikuwa zinatumia Majina Mawili kwa Pamoja yaani Budget na Upendo.Lukuvi hausiki hapo
Okay 👍It's legal, hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote kuwa a silent partner kwenye biashara yoyote, as long as the invested funds are legit!.
Tofautisha silent partners na shadow partners, kwenye shadow, the money is I'll gotten money, you hide them by putting someone else and you became shadow.
P
Unajuwa kwa nini makampuni yote hayo hayapo kwa sasa? Ukiacha Scandinavia na Matema Beach ambayo mengi yalikuwa ni mali za wana siasa wa Serikali ya MKAPA kuishia mwaka 2005, wenyewe waliyatoa. Yanayobakia ni mali za kishirikina za wafanyabiashara Wakinga.Sawa
Zamani 1990s Ubora wa mabasi ulifanya Wamiliki wajulikane faster
Mfano Lupelo ( Watson Kihaka), Kiswele (Juma Ngalema), Scandinavian (mzee Abdullah), Matema Beach (Charles Pella), Safina ( Mahenge), Fresh ya Shamba( Chawe) nk
Wewe naona uliamua kutumia weledi kumsukumia mtaroni mleta mada huku akiamini unamsaidia🤣Asante kwa kuumaliza utata huu na ili kuwafunga kabisa watu vilomolomo, elezea thamani ya mabasi hayo, na sources of fund za mmiliki, ili kuondoa possibility ya silent partners ambao wanatoa pesa zao bila majina yao kuonekana.
P
Kaka kiingereza hapo hujakifanyia editing.It's legal, hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote kuwa a silent partner kwenye biashara yoyote, as long as the invested funds are legit!.
Tofautisha silent partners na shadow partners, kwenye shadow, the money is I'll gotten money, you hide them by putting someone else and you became shadow.
P
Asante, naomba nieditie nita cut n paste.Kaka kiingereza hapo hujakifanyia editing.
It's legal, hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote kuwa a silent partner kwenye biashara yoyote, as long as the invested funds are legit!.
Tofautisha silent partners na shadow partners, kwenye shadow, the money is I'll gotten money, you hide them by putting someone else and you became shadow.
P
Yaan wewe ndio mimi. Mwanaume mzima unafanya kazi za kuhesabu matajiri mjini kweli.Umaskini utakuua
Mwigulu akimiliki wewe kinakuwasha nini?
Sifa ya mtu mwenye pepo la umaskini ni kushinda akiongelea matajiri negatively
Hapahitajiki nabii kukujua kuwa wewe lofa ambaye umepigika kimaisha choka mbaya wewe
Nenda kwa Mwamposya akalikemee hilo pepo lako la umaskini likutoke
Mbona Vunjabei wa Simba aka Makolo anadunda tuUnajuwa kwa nini makampuni yote hayo hayapo kwa sasa? Ukiacha Scandinavia na Matema Beach ambayo mengi yalikuwa ni mali za wana siasa wa Serikali ya MKAPA kuishia mwaka 2005, wenyewe waliyatoa. Yanayobakia ni mali za kishirikina za wafanyabiashara Wakinga.
Mali za Wakinga hazidumu, huisha mysteriously