Mmiliki wa Mabasi ya Esther Luxury ni Joseph Ngeleuya

Mmiliki wa Mabasi ya Esther Luxury ni Joseph Ngeleuya

Asante kwa kuumaliza utata huu na ili kuwafunga kabisa watu vilomolomo, elezea thamani ya mabasi hayo, na sources of fund za mmiliki, ili kuondoa possibility ya silent partners ambao wanatoa pesa zao bila majina yao kuonekana.

P
source ya fund ni umachinga wa Joseph, huyu alikua mmachinga wa level ya juu.
Pascal nadhani unajua matajiri wq kichaga wanavyoanza maisha.
badi ni sawq na huyu wa Easther,
na syo yeye tu kuna dogo mwingine anamiliki mabasi ya Extra na mzee mmoja anamiliki mabasi ya tilisho wote asili yao ni rombo mashati.
wa
 
Shukrani kwa taarifa nzuri, ili kutuondoa Mawenge tuliyonayo tusaidie,

1. Historia ya Mmiliki wa hayo Mabasi .

2. Namna ambavyo alipata Mtaji wa Biashara.

3. Partners wake kwenye Biashara

4. Hapo nimeona taarifa ya Mwaka 2022. Hayo Mabasi yapo kabla ya 2022. Je kabla ya hapo nani alikuwa akimiliki hayo Mabasi?


NB:
Taarifa hizi muhimu zitatusaidia kujua kama Kampuni inahusika na Utakatishaji pesa ama la.
acha ujinga, hivi unajua watu kariakoo wanamiliki mali za mabilion mangapi?
wana magorofa nk.
unajua mabenk wanadaiwa bei gani.
we ishi na ugoigoi wa ubongo wako kama utatoboa
 
Asante kwa kuumaliza utata huu na ili kuwafunga kabisa watu vilomolomo, elezea thamani ya mabasi hayo, na sources of fund za mmiliki, ili kuondoa possibility ya silent partners ambao wanatoa pesa zao bila majina yao kuonekana.

P

Kwa hiyo wa hizo picha, unverified docs na maandishi amemaliza utata? Ni aibu haya maneno kuandikwa na mtu mwenye profile yako.
 
Kwa hiyo wa hizo picha, unverified docs na maandishi amemaliza utata? Ni aibu haya maneno kuandikwa na mtu mwenye profile yako.
hivi hata angekua mwigulu ungemfanyeje au ungetafuta ndoa na yeye
 
source ya fund ni umachinga wa Joseph, huyu alikua mmachinga wa level ya juu.
Pascal nadhani unajua matajiri wq kichaga wanavyoanza maisha.
badi ni sawq na huyu wa Easther,
na syo yeye tu kuna dogo mwingine anamiliki mabasi ya Extra na mzee mmoja anamiliki mabasi ya tilisho wote asili yao ni rombo mashati.
wa
Tanzania tangu zamani tulikuwa na matajiri wa aina 5 wa mabasi, walianza Singa Singa wa Tanganyika Bus, wakaja Wakaja Wasomali wa Tahfif, Tawakal, Tahamed, Tashrif etc, Wakaja Waarabu wa Scandinavia, Aboud, Sumri, Shabiby Wakinga wa Widambe na ndipo wakaingia Wachagga wa Fresh ya Shamba na Air Msae, hivyo utajiri wa Wachagga kwenye biashara ya mabasi ni historical. Toka Fresh ya Shamba, Air Msae na Scandinavian kulikuwa na silent partners walioingiza magari yao, kampuni ikiyumba tuu kidogo, hawa silent partners wana pull out na immediately kampuni ina collapse, ndivyo ilivyokuwa Fresh ya Shamba, Air Msae na Scandinavian.

Kwa matajiri wa Kikinga, hutokea vigo vya kutatanisha!.

Hata mtu uwe mmachinga vipi, huwezi ku raise capital ya 4.b kununua mabasi 10 bila mkopo!, hivyo don't overrule possibility ya uwepo silent partners.

Biashara ya mabasi kwa Tanzania ni periodically, kama ilivyo biashara ya Bar, kuna maji kupwa na kujaa, hivyo wajanja wanaingia wakati wa maji kujaa, na wakiona tuu dalili za kupwa wanachomoa, kama mjanja huyu

Tajiri wa Nyatco alikuwa dogo tuu my age enzi za ujana, one day akanipa lift kwenye Mercedes Benz yake, ikifika alifungua ile middle compartment ya kuhifadhi city vidogo vidogo, to my surprise, ni mi bunda ya minoti!, akanichomolea hapo some hata sikumbuki ilikuwa kiasi gani!, tukawa marafiki. Nimekuja kusikia alikuwa amesimama nyuma ya basi lake baada ya kumaliza trip, ameisha pewa hesabu, kile kibao cha kuzuia tairi kilisogea chenenywe, gari ikarudi nyuma taratibu, watu wanampigia kelele asogee hasikii, ikamfikia ikamuangusha, tairi mbili za nyuma zikambana kifuani ni pale pale!. Waliokuwepo badala ya kusaidia kuzuia basi isiponde akipoanguaka fuko la pesa likachanika, watu wanagombea minoti huku jamaa ni pale pale!. What a sad ending kwa tajiri kijana wa Kikinga!. Watu wakasema hayo ndio mambo yao!.

P
 
Kwa hiyo wa hizo picha, unverified docs na maandishi amemaliza utata? Ni aibu haya maneno kuandikwa na mtu mwenye profile yako.
Hakuna sheria yoyote ya kuhitaji any verification ya kampuni fulani inamilikiwa na nani, verification ya chombo cha moto Tanzania ni jina lililoko kwenye kadi ya chombo, hivyo hata mimi nikinunua basi nikaandika jina lako, nitapewa control number ya kulipia usajili bila kuulizwa source of fund, na gari litasajiliwa.

Ukinunua property za Uingereza, ndio unaulizwa source of fund, na lazima ulipie kupitia bank transfers na sio cash deposit, ukiisha lipa, kabla hujapewa receipt yako, jamaa wanaifanyia due diligence account yako, wakikuta ime deposit huge amount ndio uliotumia kulipia, wanakutumia barua ya kutoa maelezo ya source of fund with justification, ukishindwa ku justify wana cancel your purchases na kukurudishia peas zako, ili kuepuka money laundering. Tanzania ukiisha tumiwa control number kulipa, unaweza kwenda na cash bulk ukalipa, no one asks you source of fund. Vile vitengo vya FIU kwenye banks ni ku monitor in coming forex.

Hivyo niko very right kuridhika na picha tuu ya mmiliki, that's all what is needed in Tanzania.

P
 
Baada ya uzushi na upotoshaji wa muda mrefu, niliamua kuingia chimbo kutafuta ukweli wa nani ni mmliki wa Mabasi hayo.

Nimekuja na facts ambazo Kila mwenye akili timamu anaweza kuzipata mwenyewe maana zinapatikana Kila mahali.

Mmiliki wa Mabasi ya Esther Luxury Buses ni Mtanzania Mwenzetu kijana Mpambanaji wa siku nyingi katika biashara ya Mabasi, anamiliki Mabasi aina mbalimbali zikiwemo basi hizi zilizokuwa zikihusishwa na Mwanasiasa mmoja hapa nchini.

Mmliki ni Ndugu Joseph Didas Ngeleuya, P.O. Box 71392, Dar es Salaam. 4463. Plot No. 746

Case Closed. Tuache kuzusha mambo.

Property By Joseph Didas Ngeleuya

View attachment 2459930View attachment 2459931View attachment 2459932View attachment 2459933
Sawa
 
Biashara ya mabasi, moja kati ya biashara pasua kichwa
 
Asante kwa kuumaliza utata huu na ili kuwafunga kabisa watu vilomolomo, elezea thamani ya mabasi hayo, na sources of fund za mmiliki, ili kuondoa possibility ya silent partners ambao wanatoa pesa zao bila majina yao kuonekana.

P
Mayala, hii haizuii wengine kuwekeza huko kwa kuficha umiliki wao na hii hufanywa sana na wanasiasa wezi wanaojua mali hizo sio rahisi kuelezea walikopata!
Kumbuka kesi ya Scandinavia; alikuwa na mabasi mengi sana, katika kesi yake na BP aliamriwa na mahakama kuu kulipa deni lake kwa BP.
Wamiliki waliokuwa na mabasi kule (ambao wengi walikuwa wanasiasa) walikimbilia kuondoa mabasi na yule MMiliki wa kampuni nakumbuka alibaki na mabasi 5 tu ambayo ndio yalikuwa yake! The same can happen to Ester Co,
 
Back
Top Bottom