Mgweno Hamisi
Member
- Sep 1, 2016
- 57
- 42
Mbavu zangueeeee daaaah nime[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hadi basiiiiKwani alikuwa hawezi kuhema na mbavu zilikuwa zina' mbana?
Yule mama aliyeko ICU ni mkewe? ambaye naye ana shida ya kupumua?
Watoto wake mbavu si zilisha achia?
Suala la mimi kutopenda umelitoa wapi?Wengi tunapenda mwanamke awe white, Kama wewe hupendi basi hilo ni chaguo lako mkuu.
anakuwekea maneno mdomoni, ila huyu mtoto wa Boss na mkewe ni wazuri jamani, lohweupe wa kichagga jamaniSuala la mimi kutopenda umelitoa wapi?
mi wenyewe napenda kuona mwenzangu mweupe, unajua hata nguo tu inakutoa isipokuwa nzuri, yaaniWengi tunapenda mwanamke awe white, Kama wewe hupendi basi hilo ni chaguo lako mkuu.
Wewe tu na mahari ya kichagga ndogo tu, ila na wewe uwe smart kichwani na familia yenu, si umetoka kwenye familia ya kiswahili kama ya Kina diamond na Ali kiba, wengi wa wachaga wastaarabu sana ndio maana huwezi sikia kashfa hata kama mzuri kiasi ganiMtoto mrembo kinoma tunaweza kuwahi tukapata jiko pale....
Usichokijua ni kuwa agha khan wanashindwa kesi nyingi mno, halafu wanazitupia muhimbili ili mgonjwa afie huko.
Kweli kabisa kanjibaiR.i.p
Ukishaitwa Tajiri ktk familia zetu za kiafrika,
siku ukifa UNAACHA VITA Kali Sana ya kugombea mali ulzotafta kwa jasho lako.
RIP Mmarangu. Hakika wewe na Familia yako mlikuwa na Mvuto🔥🔥🔥Baba na Kijana wake Handsome, Binti na Mama Beautiful. Mlibarikiwa vyote Haiba na Mali. Duuuuh Kifo hakina HurumaR.I.P BOSS
Pole kwa familia yake, Mungu Baba amlaze mahala pema peponi jirani na classmate wanguMmiliki wa Mabasi ya Marangu Coach afariki dunia usiku wa kuamkia leo Agakhan Hospital. Rest in Peace tajiri wa Marangu
Ndugu yangu Corona ipo tena ipo sana.Wakuu ebu tuwe wazi hv korona ipo ama imekwisha mm nipo katikati sielewi kabisa!!?
No kweli hata kufa au DAB unategemea hawa wataded!???/sahau semi godsUSIMKUFURU MUNGU
Duh ampumzike kwa amani Marangu, get well soon mama Marangu!Ndugu yangu Corona ipo tena ipo sana.
Boss hapo inaelezwa kuwa imemlaza chini.
Tuombe sana Mungu ili mkewe apate nafuu, maana taarifa zinasema hali yake ni tete pia pale Aga Khan hospitali, COVID iligonga familia ya boss haswaa.
Tuendelee kuchukua tahadhari zote.