TANZIA Mmiliki wa Mabasi ya Marangu Coach afariki dunia Hospitali ya Aga Khan

Kama Ana biashara marekani,huyo Ni tajiri
 
R.i.p
Ukishaitwa Tajiri ktk familia zetu za kiafrika,

siku ukifa UNAACHA VITA Kali Sana ya kugombea mali ulzotafta kwa jasho lako.
Vita hio hua kubwa sana haswa kwa ndugu zetu wa kanda ile maana wao wana uchu wa mali sana
 
Mkuu mtu wa 1977 ana miaka 43, mbona kama huyo bint ni mkubwa tena umeandika alikua anaolewa anyway.

Apumzike panapo stahili..!
 
Shida ni nini..? Siyo pumzi kubana kweli....?
 
Kwani alikuwa hawezi kuhema na mbavu zilikuwa zina' mbana?
Yule mama aliyeko ICU ni mkewe? ambaye naye ana shida ya kupumua?
Watoto wake mbavu si zilisha achia?

Kama una Kebehi vile? There is 100% equal chances ungekuwa wewe
 
Wengine wanafanya siasa kwenye issue za maisha ya watu. Watu wa nchi hii kama Wana laana fulani
 
Huko mbinguni atakutana na washua wenzake tu

kIongOzI Wa BaaDae
 
Kama una Kebehi vile? There is 100% equal chances ungekuwa wewe
Kiswahili hujui , kisukuma hujui, kebehi yes, kwa serikali yako inayosema wagonjwa wamebaki wanne , na ndiyo maana sijataja jina la ugonjwa ila dalil zake.
wewe ulitaka niandike vipi?kiandike wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…