Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
anaitwa MAX MOSHI
MCHAGGA WA MARANGU .
kuzaliwa 1977
Shule :Chuo Kikuu Birmigham Uingereza
Huyo binti pembeni ni wake alikuwa anaolewa.
ana Mabasi 12 ya Marangu coach,
Ana biashara zingine za usafirishaji Marekani,
Ni tajiri wa Kipato cha Kati, hayupo kwa matajiri wakubwa.
aliamua kuanza biashara ya Magari kumuenzi Baba yake aliykuwa na Mabasi miaka ya 1970 huko Marangu
Vita hio hua kubwa sana haswa kwa ndugu zetu wa kanda ile maana wao wana uchu wa mali sanaR.i.p
Ukishaitwa Tajiri ktk familia zetu za kiafrika,
siku ukifa UNAACHA VITA Kali Sana ya kugombea mali ulzotafta kwa jasho lako.
Mkuu mtu wa 1977 ana miaka 43, mbona kama huyo bint ni mkubwa tena umeandika alikua anaolewa anyway.anaitwa MAX MOSHI
MCHAGGA WA MARANGU .
kuzaliwa 1977
Shule :Chuo Kikuu Birmigham Uingereza
Huyo binti pembeni ni wake alikuwa anaolewa.
ana Mabasi 12 ya Marangu coach,
Ana biashara zingine za usafirishaji Marekani,
Ni tajiri wa Kipato cha Kati, hayupo kwa matajiri wakubwa.
aliamua kuanza biashara ya Magari kumuenzi Baba yake aliykuwa na Mabasi miaka ya 1970 huko Marangu
Je kama huyo binti anamika 23 kaka si tunda limeivaa kabisa hilo!!Mkuu mtu wa 1977 ana miaka 43, mbona kama huyo bint ni mkubwa tena umeandika alikua anaolewa anyway.
Apumzike panapo stahili..!
Kumbee! Nnavyopenda kuishi bora niachane na mafyucha[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787] kweli mkuu hata sio utani
Usipokuwa na future mara paaap 105 ileee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmiliki wa Mabasi ya Marangu Coach afariki dunia usiku wa kuamkia leo Agakhan Hospital. Rest in Peace tajiri wa Marangu
Kwani alikuwa hawezi kuhema na mbavu zilikuwa zina' mbana?
Yule mama aliyeko ICU ni mkewe? ambaye naye ana shida ya kupumua?
Watoto wake mbavu si zilisha achia?
Kila siku masema mataga ni empty headed huwa hamnielewHivi kila mfanyabiashara wa kichagga ni chadema[emoji848]
Mkuu ulitamani au ulitaka ufe wewe???Matajiri wanakufa sisi masikini tuendelea kupigikaa na maisha!
Why!???
Presha za mikopo ya bank hizo. Acheni kusingizia corona.
Kanda hiyo hawagombei wala hawapori Mali za Ndugu. Mali ni za Mke na Watoto. Kila Mtu huko hutoka kwenda kutafuta Chake.Vita hio hua kubwa sana haswa kwa ndugu zetu wa kanda ile maana wao wana uchu wa mali sana
Siku hizi hakuna kutoa tena sababu ya kifo watu wanajiongezaHabari iko nusu nusu mnaandika kama mnakimbizwa
Eeka sa Inanambo,kotaana sa?😂😂Kanda hiyo hawagombei wala hawapori Mali za Ndugu. Mali ni za Mke na Watoto. Kila Mtu huko hutoka kwenda kutafuta Chake.
Kiswahili hujui , kisukuma hujui, kebehi yes, kwa serikali yako inayosema wagonjwa wamebaki wanne , na ndiyo maana sijataja jina la ugonjwa ila dalil zake.Kama una Kebehi vile? There is 100% equal chances ungekuwa wewe