Ajakupaa namba ya huyoo.manzii tuifanyie kaziiiJuzi nilienda mchali kukata tiketi officin kwake nlinwona na tukasalimiana.Kifo ni siri asee
Sent using Jamii Forums mobile app
Yan hata mimi nimeshangaa kwa swali làkeUsifanye mambo kua magumu!
Kagerre analijibuu mkuu ashindwi KITU yes hatakwaa..atatumiaaYan hata mimi nimeshangaa kwa swali làke
Maana ni gumu na lenye ligi kuu usipojipanga[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajakupaa namba ya huyoo.manzii tuifanyie kaziii
RIP KIDUME
DAH 47 ANATUMIA.ZA KIENYEJI NN SHIDA WENGINE TINA 45 NA MOTO UKO SAWIAA
Msangi ni mpareAnalala guest au hotel!
Wanakutana na mabwawa ndio maana,inabidi mtunze mbunye vizuri.Miaka 47 anatumia vumbi la Congo/Viagra. Kweli wanaume wamebaki suruali tu.
Huwezi kuikomoa K. Hata siku moja. Mavumbi yanafaa uyatumie na wife, mnaanza kiduch halafu kiduchu baadae KIDUCHU. sio unapatamia jimama la kimachame limeenda juu eti unaliwekea vumbi la kongo.MZIGOOO MPWAA ACHA KUJITOA UFAHAMU
KAFIA GUEST ..ALIKWENDA KUSALI??
Huwezi kuikomoa K. Hata siku moja. Mavumbi yanafaa uyatumie na wife, mnaanza kiduch halafu kiduchu baadae KIDUCHU. sio unapatamia jimama la kimachame limeenda juu eti unaliwekea vumbi la kongo.
DAH KAMA NAMWONA KINGAST ANAVYOKUJA KUKAMATA MADARAKA NA KUULIZA GARI INA WANGAPI LEO MMEJAZAMmiliki wa mabasi ya Sahara, Abdalah Msangi (47) na mkazi wa Usangi mkoani Kilimanjaro amekutwa amefariki dunia kwenye moja ya chumba cha wageni mtaa wa Dar es Salaam mjini Moshi.
Wakazi wa Arusha, Moshi, Same, Usangi nina uhakika mnayajua vyema mabasi haya.
Allah Ampunguzie Adhabu Ya Kaburi Inshallah.
View attachment 1313052
Wewe umeanzisha mada halafu unaleta majibizano mengine,rudi kwenye mada yako upate ulichokuwa unakitafuta!!!.Wewe hilo andiko ulilipata kwenye kitabu gani.
"Zaburi 90:10. Siku za miaka yetu ni miaka sabini, Na ikiwa tuna nguvu miaka themanini; Na kiburi chake ni taabu na ubatili, Maana chapita upesi tukatokomea ... "Nilihudhuria msiba mmoja....
nikiwa kanisani nilimsikia mchungaji aki quote kifungu cha bibilia nimesahau......
ya kwamba kiumbe kilichozaliwa na mwanamke siku zake zimehesabiwa tena ni chache.....
miaka 77 ni ukomo zaidi ya hapo ni mateso
Asante sana kwa kifungu....."Zaburi 90:10. Siku za miaka yetu ni miaka sabini, Na ikiwa tuna nguvu miaka themanini; Na kiburi chake ni taabu na ubatili, Maana chapita upesi tukatokomea ... "
kaimu Kamanda Kanyama amethibitisha marehemu kufia nyumba ya kulala wageni akiwa na mwanamke ambaye alitoroka baada ya tukio. Na upekuzi katika gari la marehemu ulikuta dawa ya kienyeji ambayo inachunguzwa.Source Global publishersMsingi wa hii habari ni kifo cha mmiliki wa mabasi ya sahara na wewe unakiri jamaa amefariki kweli, kwahiyo hapa haukanushi hii habari bali umeiweka hii habari sawa.
Inawezekana pia alifikia guest kujipumzisha lkn ndio umauti ukamkuta akiwa huko lkn kutokumfiria marehemu vibaya familia au watu wake wakaribu wakaamua kukataa hajafia guest
FIKIRI MVUNGI ameshafanya yake.Mmiliki wa mabasi ya Sahara, Abdalah Msangi (47) na mkazi wa Usangi mkoani Kilimanjaro amekutwa amefariki dunia kwenye moja ya chumba cha wageni mtaa wa Dar es Salaam mjini Moshi.
Wakazi wa Arusha, Moshi, Same, Usangi nina uhakika mnayajua vyema mabasi haya.
Allah Ampunguzie Adhabu Ya Kaburi Inshallah.
View attachment 1313052
Washindiadhe...!Nakanusha hii habar sio ya kweri jamaa hajafia Dar wala iyo guest inayosemwa
Marehem alitoka Usangi mapema tuu kuelekea Mosh katika majukum yake ila wakat anatoka hakuwa anajihisi vzr baada ya kufika mosh hari yake haikuwa nzur ikazid kuwa mbaya zaid ikabid watu wa karibu wampeleke Hospital Mawez Mosh
Wakat wanafika hospital Ma Dr wakasema jamaa alishakufa kabla ya kufika hapo hospital
Na kwa wanaomjua uyo jamaa ni Bonge la MTU yawezekana ni Presha au matatizo ya Moyo
NB nimekanusha kama mtu wa karibu na Family
Sent using Jamii Forums mobile app