Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Ila huoni kama maneno yako yanafanya ionekane kuwa jamaa kafariki kwa mpango wa shetani.Nasema hayo ni maneno yako umesema siyo yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila huoni kama maneno yako yanafanya ionekane kuwa jamaa kafariki kwa mpango wa shetani.Nasema hayo ni maneno yako umesema siyo yangu.
Hayo ni maoni yako. Siwezi kukuzuia kutafsiri comment yangu unavyotakaIla huoni kama maneno yako yanafanya ionekane kuwa jamaa kafariki kwa mpango wa shetani.
Mimi sijasema ila wewe maelezo yako yanatoa picha ya moja kwa moja kuwa unamaanisha jamaa kafa kwa mpango wa shetani.Hayo ni maoni yako. Siwezi kukuzuia kutafsiri comment yangu unavyotaka
Mbona povuu hivyo unakumbuka hata ndg saa Saba alikuwa anavimba hivyo hivyo where is he now??[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa. Ndiyo maana nakwambia hayo ni maoni yako kwa ulivyoamua kutafsiri comment yangu. Kila anaweza kutafsiri anavyotaka. Na mm sikatai unaweza kuandika ulivyoelewa wewe ila itabakinkuwa hayo umesema wewe siyo mm.Mimi sijasema ila wewe maelezo yako yanatoa picha ya moja kwa moja kuwa unamaanisha jamaa kafa kwa mpango wa shetani.
Hayo umesema wewe mimi sijasema chochote kuhusu kifo chake. Umesema mwenyewe kumbuka.Sawa. Ndiyo maana nakwambia hayo ni maoni yako kwa ulivyoamua kutafsiri comment yangu. Kila anaweza kutafsiri anavyotaka. Na mm sikatai unaweza kuandika ulivyoelewa wewe ila itabakinkuwa hayo umesema wewe siyo mm.
Baba yake marehemu..Naye alikua na yake akaingiza kwenye kampuni..sahara ni kampuni iliyoanzishwa na baba yake. Wote sasa wametangulia...Amerithi kutoka kwa nani?
Sawa sawa boss. Mabasi yake yalikuwa ya kisasa au?Baba yake marehemu..Naye alikua na yake akaingiza kwenye kampuni..sahara ni kampuni iliyoanzishwa na baba yake. Wote sasa wametangulia...
Sio yote...ila ana safari za DSM - ,Usangi. Moshi,-Arsha- BabatiSawa sawa boss. Mabasi yake yalikuwa ya kisasa au?
Ngoja nitakibandika wacha nitafute...Unaweza kuuliza mwingine aliyekuwepo hapo msibani kama ana kumbukumbu na hicho kitabu.?
Sawa nasubiri kuona hicho kitabu.Ngoja nitakibandika wacha nitafute
Usikurupuke hajasema kafia Dar bali kasema kafia mtaa wa Daresalaam mjini Moshi au umande unasumbua..Nakanusha hii habar sio ya kweri jamaa hajafia Dar wala iyo guest inayosemwa
Marehem alitoka Usangi mapema tuu kuelekea Mosh katika majukum yake ila wakat anatoka hakuwa anajihisi vzr baada ya kufika mosh hari yake haikuwa nzur ikazid kuwa mbaya zaid ikabid watu wa karibu wampeleke Hospital Mawez Mosh
Wakat wanafika hospital Ma Dr wakasema jamaa alishakufa kabla ya kufika hapo hospital
Na kwa wanaomjua uyo jamaa ni Bonge la MTU yawezekana ni Presha au matatizo ya Moyo
NB nimekanusha kama mtu wa karibu na Family
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakanusha hii habar sio ya kweri jamaa hajafia Dar wala iyo guest inayosemwa
Marehem alitoka Usangi mapema tuu kuelekea Mosh katika majukum yake ila wakat anatoka hakuwa anajihisi vzr baada ya kufika mosh hari yake haikuwa nzur ikazid kuwa mbaya zaid ikabid watu wa karibu wampeleke Hospital Mawez Mosh
Wakat wanafika hospital Ma Dr wakasema jamaa alishakufa kabla ya kufika hapo hospital
Na kwa wanaomjua uyo jamaa ni Bonge la MTU yawezekana ni Presha au matatizo ya Moyo
NB nimekanusha kama mtu wa karibu na Family
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uzwazwa mkuu,hujui halafu unajuzwa hutaki kujuzika. Stori yenyewe kama umeisikia kijiwe cha kahawa juu juu,sijui wewe mwanamke wa wapiUnaweza kuuliza mwingine aliyekuwepo hapo msibani kama ana kumbukumbu na hicho kitabu.?
Umevulia chupi uume ambao siyo wako sasa jiandae kuukalia.Acha uzwazwa mkuu,hujui halafu unajuzwa hutaki kujuzika. Stori yenyewe kama umeisikia kijiwe cha kahawa juu juu,sijui wewe mwanamke wa wapi
Kumbe mwanamke wa kizaramo,basi sawa MwajumaUmevulia chupi uume ambao siyo wako sasa jiandae kuukalia.
Mimi ni mwanamke niliyekuwa nazurura na mama yako ni shoga wa mama yako najua uchafu wake ambao hata baba yako hajui.