Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Kwa maana hiyo shetani ana mamlaka na maisha yetu?Hauwezi kuwa. Shetani kafanya yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa maana hiyo shetani ana mamlaka na maisha yetu?Hauwezi kuwa. Shetani kafanya yake
Umehuzunika amefariki akiwa mdogo kiumri?Sijafurahi
Umesema pesa zina siri nzito inaonekana unajua machache kuhusu marehemu. Au ulikuwa unajisemea tu baada ya kukosa cha kusema.
Nitasema kafariki na umri mdogo pia, tatizo liko wapi?Kwa hiyo anaefariki akiwa na mwaka m1 yeye utasemaje. Usijali mkuu teki iti ize
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ukimuendekeza siyo. Lazima akuzidi maarifaKwa maana hiyo shetani ana mamlaka na maisha yetu?
Kwahiyo jamaa alikuwa mfuasi wa shetani kutokana na maelezo yako?Kama ukimuendekeza siyo. Lazima akuzidi maarifa
Wosia wa nini?
Hayo ni wewe unasemaKwahiyo jamaa alikuwa mfuasi wa shetani kutokana na maelezo yako?
Upoyoyo wangu umeathiri vipi maisha yako?
Wewe hujasema kuwa kufa chini ya miaka 70 si mpango wa Mungu. Kwa maana hiyo unataka kusema amekufa kifo cha shetani.Hayo ni wewe unasema
Nilihudhuria msiba mmoja....Wewe hilo andiko ulilipata kwenye kitabu gani.
Unaweza kuuliza mwingine aliyekuwepo hapo msibani kama ana kumbukumbu na hicho kitabu.?Nilihudhuria msiba mmoja....
nikiwa kanisani nilimsikia mchungaji aki quote kifungu cha bibilia nimesahau......
ya kwamba kiumbe kilichozaliwa na mwanamke siku zake zimehesabiwa tena ni chache.....
miaka 77 ni ukomo zaidi ya hapo ni mateso
Gone too soon.. Rip
Jr[emoji769]
Kampuni kairithi kutoka kwa marehemu baba yake..ambae alifariki sio muda mrefu pia....Umesema pesa zina siri nzito inaonekana unajua machache kuhusu marehemu. Au ulikuwa unajisemea tu baada ya kukosa cha kusema.
Kwahiyo rumors zinadai kuna nguvu isiyo ya kawaida kwenye huo utajiri?Kampuni kairithi kutoka kwa marehemu baba yake..ambae alifariki sio muda mrefu pia....
Sidhani....Mzee wake alikua dereva enzi ya vyama vya msingi vya kununua kahawa..alianzia mbali mpaka kupata jina..mtoto nae akaendeleza japo sio muda mrefu.Kwahiyo rumors zinadai kuna nguvu isiyo ya kawaida kwenye huo utajiri?
Gesti ni kwa wazee wa shoti taimu.Guest wanalala wakina nani na Hotel ipo kwaajili ya nani?