TANZIA Mmiliki wa mabasi ya Sahara, Abdalah Msangi (47) afariki

TANZIA Mmiliki wa mabasi ya Sahara, Abdalah Msangi (47) afariki

Mmiliki wa mabasi ya Sahara, Abdalah Msangi (47) na mkazi wa Usangi mkoani Kilimanjaro amekutwa amefariki dunia kwenye moja ya chumba cha wageni mtaa wa Dar es Salaam mjini Moshi.

Wakazi wa Arusha, Moshi, Same, Usangi nina uhakika mnayajua vyema mabasi haya.

Allah Ampunguzie Adhabu Ya Kaburi Inshallah.


View attachment 1313052
Allah amlipe ya kheriii kwa yote aliyotenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom