Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Mzee nimesema kafa kwa umri mdogo, umri sahihi ama usio sahihi umeyaleta wewe.Ambao siyo sahihi unapatikana vipi kama hakuna sahihi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee nimesema kafa kwa umri mdogo, umri sahihi ama usio sahihi umeyaleta wewe.Ambao siyo sahihi unapatikana vipi kama hakuna sahihi.
Mkuu hiyo signature hapo mwisho ulimaanisha Tunnel?Mtaa wa Dar es salaam Mjini Moshi akimaanisha Dar es salaam street
$ There's clear light at the end of the Tannel $
Kauli yako kama vile ni ya malalamiko ndiyo maana nikataka kujua umri sahihi aliopaswa kufariki ni upi?Mzee nimesema kafa kwa umri mdogo, umri sahihi ama usio sahihi umeyaleta wewe.
Ndio kuna wanaofariki na umri mdogo, na wanaofariki na umri mkubwa, huyu nimesema kafariki na umri mdogoNikupe point yangu mkuu, usijeitafsili tofauti. Maana yangu ni kuwa mtu wa umri wowote anafariki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe hilo andiko ulilipata kwenye kitabu gani.Unaweza kujaribu.....
sio mbaya
Allah amlipe ya kheriii kwa yote aliyotendaMmiliki wa mabasi ya Sahara, Abdalah Msangi (47) na mkazi wa Usangi mkoani Kilimanjaro amekutwa amefariki dunia kwenye moja ya chumba cha wageni mtaa wa Dar es Salaam mjini Moshi.
Wakazi wa Arusha, Moshi, Same, Usangi nina uhakika mnayajua vyema mabasi haya.
Allah Ampunguzie Adhabu Ya Kaburi Inshallah.
View attachment 1313052
Kilichoonyesha ni malalamiko ni nini..mtu anaweza kufariki akiwa na umri mkubwa ama mdogo, hakuna cha sahihi au sio sahihiKauli yako kama vile ni ya malalamiko ndiyo maana nikataka kujua umri sahihi aliopaswa kufariki ni upi?
Kwanini unasikitika yeye kufariki akiwa na miaka 47?Kilichoonyesha ni malalamiko ni nini..mtu anaweza kufariki akiwa na umri mkubwa ama mdogo, hakuna cha sahihi au sio sahihi
Umri sahihi wa mtu kufa ni miaka mingapi?
Wa kumpuuza ingawa anakera na vijiswali vyakeUsifanye mambo kua magumu!
SijasikitikaKwanini unasikitika yeye kufariki akiwa na miaka 47?
Kwahiyo huo msiba siyo mpango wa Mungu?Biblia inatuambia tumepewa miaka 70 ya kuishi ikizidi ni miaka 80 zaidi ya hapo ni bonus. Zaburi 90:10
Kufariki mapema kabla ya miaka 70 siyo mpango wa Mungu.
Kwahiyo umefurahi jamaa kufariki?Sijasikitika
Hauwezi kuwa. Shetani kafanya yakeKwahiyo huo msiba siyo mpango wa Mungu?
Kwa hiyo anaefariki akiwa na mwaka m1 yeye utasemaje. Usijali mkuu teki iti izeNdio kuna wanaofariki na umri mdogo, na wanaofariki na umri mkubwa, huyu nimesema kafariki na umri mdogo
SijafurahiKwahiyo umefurahi jamaa kufariki?