TANZIA Mmiliki wa mabasi ya Sahara, Abdalah Msangi (47) afariki

TANZIA Mmiliki wa mabasi ya Sahara, Abdalah Msangi (47) afariki

Nakanusha hii habar sio ya kweri jamaa hajafia Dar wala iyo guest inayosemwa

Marehem alitoka Usangi mapema tuu kuelekea Mosh katika majukum yake ila wakat anatoka hakuwa anajihisi vzr baada ya kufika mosh hari yake haikuwa nzur ikazid kuwa mbaya zaid ikabid watu wa karibu wampeleke Hospital Mawez Mosh
Wakat wanafika hospital Ma Dr wakasema jamaa alishakufa kabla ya kufika hapo hospital

Na kwa wanaomjua uyo jamaa ni Bonge la MTU yawezekana ni Presha au matatizo ya Moyo

NB nimekanusha kama mtu wa karibu na Family

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante ,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakanusha hii habar sio ya kweri jamaa hajafia Dar wala iyo guest inayosemwa

Marehem alitoka Usangi mapema tuu kuelekea Mosh katika majukum yake ila wakat anatoka hakuwa anajihisi vzr baada ya kufika mosh hari yake haikuwa nzur ikazid kuwa mbaya zaid ikabid watu wa karibu wampeleke Hospital Mawez Mosh
Wakat wanafika hospital Ma Dr wakasema jamaa alishakufa kabla ya kufika hapo hospital

Na kwa wanaomjua uyo jamaa ni Bonge la MTU yawezekana ni Presha au matatizo ya Moyo

NB nimekanusha kama mtu wa karibu na Family

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmiliki wa mabasi ya Sahara, Abdalah Msangi (47) na mkazi wa Usangi mkoani Kilimanjaro amekutwa amefariki dunia kwenye moja ya chumba cha wageni mtaa wa Dar es Salaam mjini Moshi, polisi imethibitisha.

Wakazi wa Arusha, Moshi, Same, Usangi nina uhakika mnayajua vyema mabasi haya.

Allah Ampunguzie Adhabu Ya Kaburi Inshallah.

Credit by: MwananchiUpdates

View attachment 1313052

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa post omba moderator warekebishe taarifa yako
 
Gone too soon.. Rip
Mmiliki wa mabasi ya Sahara, Abdalah Msangi (47) na mkazi wa Usangi mkoani Kilimanjaro amekutwa amefariki dunia kwenye moja ya chumba cha wageni mtaa wa Dar es Salaam mjini Moshi, polisi imethibitisha.

Wakazi wa Arusha, Moshi, Same, Usangi nina uhakika mnayajua vyema mabasi haya.

Allah Ampunguzie Adhabu Ya Kaburi Inshallah.

Credit by: MwananchiUpdates

View attachment 1313052

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr[emoji769]
 
Nakanusha hii habar sio ya kweri jamaa hajafia Dar wala iyo guest inayosemwa

Marehem alitoka Usangi mapema tuu kuelekea Mosh katika majukum yake ila wakat anatoka hakuwa anajihisi vzr baada ya kufika mosh hari yake haikuwa nzur ikazid kuwa mbaya zaid ikabid watu wa karibu wampeleke Hospital Mawez Mosh
Wakat wanafika hospital Ma Dr wakasema jamaa alishakufa kabla ya kufika hapo hospital

Na kwa wanaomjua uyo jamaa ni Bonge la MTU yawezekana ni Presha au matatizo ya Moyo

NB nimekanusha kama mtu wa karibu na Family

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani walikuwa wanamaanisha dar street ya Moshi na siyo vinginevyo mkuu

$ There's clear light at the end of the Tannel $
 
Nakanusha hii habar sio ya kweri jamaa hajafia Dar wala iyo guest inayosemwa

Marehem alitoka Usangi mapema tuu kuelekea Mosh katika majukum yake ila wakat anatoka hakuwa anajihisi vzr baada ya kufika mosh hari yake haikuwa nzur ikazid kuwa mbaya zaid ikabid watu wa karibu wampeleke Hospital Mawez Mosh
Wakat wanafika hospital Ma Dr wakasema jamaa alishakufa kabla ya kufika hapo hospital

Na kwa wanaomjua uyo jamaa ni Bonge la MTU yawezekana ni Presha au matatizo ya Moyo

NB nimekanusha kama mtu wa karibu na Family

Sent using Jamii Forums mobile app
Msingi wa hii habari ni kifo cha mmiliki wa mabasi ya sahara na wewe unakiri jamaa amefariki kweli, kwahiyo hapa haukanushi hii habari bali umeiweka hii habari sawa.
Inawezekana pia alifikia guest kujipumzisha lkn ndio umauti ukamkuta akiwa huko lkn kutokumfiria marehemu vibaya familia au watu wake wakaribu wakaamua kukataa hajafia guest
 
Back
Top Bottom